Zanzibar: Mwanaume afikishwa Mahakamani kwa kukata viuno hadharani

Zanzibar: Mwanaume afikishwa Mahakamani kwa kukata viuno hadharani

Hii habari inachanganya sana,Kukata kiuno Hadharani Zanzibar ni kosa kweli??sehemu ambako ndiko makao makuu ya taarabu na nyimbo za kukata mauno?

Mi nahisi huyo jamaa labda ni Shoga sasa wakaona wamtafutie namna ya kumshtaki,maana ukisoma kuna mahali wanasema kavaa mtandio,mwanaume anayeweza kuvaa mtandio ni mwenye tabia hizo a tu,vinginevyo niambiwe maana ya mtandio kwa muktadha wa huko Kisiwani.
watu hawaelewi jamaa anatumika mlango wa reverse na hiyo ndiyo kesi yake
 
Zanzibar ni nchi ya kiislamu?

===
Maulid Hussein Abdallah maarufu kama Mauzinde (29) amefikishwa Mahakama ya Mwanzo katika Kijiji cha Mwera Wilaya ya Magharibi Unguja Kisiwani Zanzibar, kwa tuhuma ya kukata viuno hadharani.

Kijana huyo mkazi wa Rahaleo anatuhumiwa kutenda kosa hilo huko Kibole, Wilaya ya Kati, Kusini Unguja saa 11 jioni, ambapo mshitakiwa akiwa amevalia mtandio alicheza kwa kukata kiuno mbele ya hadhara jambo ambalo ni kosa kisheria.

Mshitakiwa huyo amepinga mashtaka hayo na kuiomba Mahakama kumpa dhamana kwa kuwa yupo kituo cha polisi siku nyingi.

Amri ya kupelekwa rumande imetolewa na Hakimu Safia Waziri, baada ya mshitakiwa kushindwa kutekeleza masharti ya dhamana ambayo yalimtaka kuwa na mdhamini mmoja ambaye atasaini bondi ya TZS 100,000 pamoja na barua zikiambatana na kopi ya kitambulisho cha Mzanzibar.

Mshitakiwa baada ya kushindwa kutekeleza masharti hayo, mahakama ilimuamuriwa kwenda rumande hadi Aprili 25, 2022 kwa ajili ya kuanza kusikilizwa ushahidi.

Source: Swahilitimes
Huyo jamaa ni shoga maarufu hapa Zanzibar, hayo mambo hakuna sheria inayomzuia kufanya hivyo, huwa akienda mahakaman anaachiwa
 
Sijatetea,ni kosa kwa mujibu wa sheria gani?
IMG_3248.JPG

ni huyu dume kabisa
 
Zanzibar ni nchi ya kiislamu?

===
Maulid Hussein Abdallah maarufu kama Mauzinde (29) amefikishwa Mahakama ya Mwanzo katika Kijiji cha Mwera Wilaya ya Magharibi Unguja Kisiwani Zanzibar, kwa tuhuma ya kukata viuno hadharani.

Kijana huyo mkazi wa Rahaleo anatuhumiwa kutenda kosa hilo huko Kibole, Wilaya ya Kati, Kusini Unguja saa 11 jioni, ambapo mshitakiwa akiwa amevalia mtandio alicheza kwa kukata kiuno mbele ya hadhara jambo ambalo ni kosa kisheria.

Mshitakiwa huyo amepinga mashtaka hayo na kuiomba Mahakama kumpa dhamana kwa kuwa yupo kituo cha polisi siku nyingi.

Amri ya kupelekwa rumande imetolewa na Hakimu Safia Waziri, baada ya mshitakiwa kushindwa kutekeleza masharti ya dhamana ambayo yalimtaka kuwa na mdhamini mmoja ambaye atasaini bondi ya TZS 100,000 pamoja na barua zikiambatana na kopi ya kitambulisho cha Mzanzibar.

Mshitakiwa baada ya kushindwa kutekeleza masharti hayo, mahakama ilimuamuriwa kwenda rumande hadi Aprili 25, 2022 kwa ajili ya kuanza kusikilizwa ushahidi.

Source: Swahilitimes
SURATI%20ZUBAA%20%20Ndio%20surati%20zubaa%2C%20pengine%20tumesomewa%2C%20Sivyo%20tusingebung'a...jpg
 
Kama kukata kiuno ni kiashiria cha ushoga, basi Diamond Platinumz atakua ni shoga papa.
Wazanzibari wanafanya maisha yawe magumu.

Itoshe kusema Zanzibar ni Islamic State
 
Kumbe mwanaume mwenyewe Mwisilamu?!

Waliomshitaki wanaume au wanawake?
Kama ni wanaume, kinawatamanisha nini kiuno cha mwanaume mwenzao kama sio ubasha tu unawasumbua kutamani kiuno cha dume mwenzao![emoji3][emoji3]
 
Mila na desturi zetu halis "OG" ni kutembea uchi. Ni ujuha kuongoza nchi kwa mila na desturi, hayo mambo ni ya Kitaliban.
Siyo kila kitu lazima kitengenezewe/ kiwemo kwenye sheria. Mfano hakuna sheria yoyote inayopiga marufuku mtu kutembea uchi! Ila kupitia mila na desturi zetu tulizo jiwekea, ukitembea uchi! Utakamatwa tu.
 
Sheria zingine niacheni nicheke mie🤣
 
Back
Top Bottom