Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu hawaelewi jamaa anatumika mlango wa reverse na hiyo ndiyo kesi yakeHii habari inachanganya sana,Kukata kiuno Hadharani Zanzibar ni kosa kweli??sehemu ambako ndiko makao makuu ya taarabu na nyimbo za kukata mauno?
Mi nahisi huyo jamaa labda ni Shoga sasa wakaona wamtafutie namna ya kumshtaki,maana ukisoma kuna mahali wanasema kavaa mtandio,mwanaume anayeweza kuvaa mtandio ni mwenye tabia hizo a tu,vinginevyo niambiwe maana ya mtandio kwa muktadha wa huko Kisiwani.
Huyo jamaa ni shoga maarufu hapa Zanzibar, hayo mambo hakuna sheria inayomzuia kufanya hivyo, huwa akienda mahakaman anaachiwaZanzibar ni nchi ya kiislamu?
===
Maulid Hussein Abdallah maarufu kama Mauzinde (29) amefikishwa Mahakama ya Mwanzo katika Kijiji cha Mwera Wilaya ya Magharibi Unguja Kisiwani Zanzibar, kwa tuhuma ya kukata viuno hadharani.
Kijana huyo mkazi wa Rahaleo anatuhumiwa kutenda kosa hilo huko Kibole, Wilaya ya Kati, Kusini Unguja saa 11 jioni, ambapo mshitakiwa akiwa amevalia mtandio alicheza kwa kukata kiuno mbele ya hadhara jambo ambalo ni kosa kisheria.
Mshitakiwa huyo amepinga mashtaka hayo na kuiomba Mahakama kumpa dhamana kwa kuwa yupo kituo cha polisi siku nyingi.
Amri ya kupelekwa rumande imetolewa na Hakimu Safia Waziri, baada ya mshitakiwa kushindwa kutekeleza masharti ya dhamana ambayo yalimtaka kuwa na mdhamini mmoja ambaye atasaini bondi ya TZS 100,000 pamoja na barua zikiambatana na kopi ya kitambulisho cha Mzanzibar.
Mshitakiwa baada ya kushindwa kutekeleza masharti hayo, mahakama ilimuamuriwa kwenda rumande hadi Aprili 25, 2022 kwa ajili ya kuanza kusikilizwa ushahidi.
Source: Swahilitimes
huzijui sheria za mnyaazi mungu ? kwamba amekataza Mwanaume kujifanya mwanamke .sasa jama alivaa kikeSijatetea,ni kosa kwa mujibu wa sheria gani?
Sijatetea,ni kosa kwa mujibu wa sheria gani?
Zanzibar ni nchi ya kiislamu?
===
Maulid Hussein Abdallah maarufu kama Mauzinde (29) amefikishwa Mahakama ya Mwanzo katika Kijiji cha Mwera Wilaya ya Magharibi Unguja Kisiwani Zanzibar, kwa tuhuma ya kukata viuno hadharani.
Kijana huyo mkazi wa Rahaleo anatuhumiwa kutenda kosa hilo huko Kibole, Wilaya ya Kati, Kusini Unguja saa 11 jioni, ambapo mshitakiwa akiwa amevalia mtandio alicheza kwa kukata kiuno mbele ya hadhara jambo ambalo ni kosa kisheria.
Mshitakiwa huyo amepinga mashtaka hayo na kuiomba Mahakama kumpa dhamana kwa kuwa yupo kituo cha polisi siku nyingi.
Amri ya kupelekwa rumande imetolewa na Hakimu Safia Waziri, baada ya mshitakiwa kushindwa kutekeleza masharti ya dhamana ambayo yalimtaka kuwa na mdhamini mmoja ambaye atasaini bondi ya TZS 100,000 pamoja na barua zikiambatana na kopi ya kitambulisho cha Mzanzibar.
Mshitakiwa baada ya kushindwa kutekeleza masharti hayo, mahakama ilimuamuriwa kwenda rumande hadi Aprili 25, 2022 kwa ajili ya kuanza kusikilizwa ushahidi.
Source: Swahilitimes
Uchumi waburuuu.ila utalii umeharibu sana vijana was kizanzibar
Achana na hizo mambo wewe. Uhuru nao una mipaka yake. Mwanaume unaanzaje kukata mauno hadharani hukiwa umevaa mtandio unaovaliwa na wanawake?Kuna nchi zingine mimi siendi tu. Najivunia kuwa mtanzania, japo tuna matatizo yetu jla sio to this extenti.
umepasahau na Tabata mkuu, hayo maeneo ni hatari san kwa watoto wakiume.Wewe kama sio mtoto wa Kinondoni basi Sinza maana uko ndipo munapo patikana akina J.lokole
Siyo kila kitu lazima kitengenezewe/ kiwemo kwenye sheria. Mfano hakuna sheria yoyote inayopiga marufuku mtu kutembea uchi! Ila kupitia mila na desturi zetu tulizo jiwekea, ukitembea uchi! Utakamatwa tu.Sheria ipi inazuia?
Kiuno kiuno chake akikate yeye halafu wengine ndio waumie.
Siyo kila kitu lazima kitengenezewe/ kiwemo kwenye sheria. Mfano hakuna sheria yoyote inayopiga marufuku mtu kutembea uchi! Ila kupitia mila na desturi zetu tulizo jiwekea, ukitembea uchi! Utakamatwa tu.
Ni kweli ukisoma kwa akili utaelewawatu hawaelewi jamaa anatumika mlango wa reverse na hiyo ndiyo kesi yake