Blackamoor
Member
- Nov 23, 2021
- 25
- 73
Na kimini kavaa, daadek
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajiona mjanja mwenyewe..senileWewe kama sio mtoto wa Kinondoni basi Sinza maana uko ndipo munapo patikana akina J.lokole
Picha tumeona Mkuu, "KA-VIDEO" basi ili tuone hilo "UNO" linavyokatwa.kwa watakaoomba picha,nimeweka hapo chiniView attachment 2186280
Huogopi Ndugu yangu?“Maulid Hussein” ili jina halishangazi sana
Atakuwa kawasababishia msisimko wenzieKiuno kiuno chake akikate yeye halafu wengine ndio waumie.
Neno UHURU na MIPAKA haviwezi kukaa katika sentence moja. Endapo niko huru sina mipaka endapo nina mipaka siko huru.Achana na hizo mambo wewe. Uhuru nao una mipaka yake. Mwanaume unaanzaje kukata mauno hadharani hukiwa umevaa mtandio unaovaliwa na wanawake?
video ipo youtube Mkuu, sija iplay si unajua tena mambo ya bundle hivo siwezi ileta hapa ila uki search unaikuta MAUZINDEPicha tumeona Mkuu, "KA-VIDEO" basi ili tuone hilo "UNO" linavyokatwa.
Wewe mzalendo uliyechanganyikiwa na haupendi ukweli, huu mkasa umetokea Tanzania sio Marekani.Kuna nchi zingine mimi siendi tu. Najivunia kuwa mtanzania, japo tuna matatizo yetu jla sio to this extenti.
Ushaona akina Rutagwerera wanatokea huko?Kwakuwa ni nyumbani au 🤔
Huogopi Ndugu yangu?
kukaza kwenyewe kwa vyuma au?kwa watakaoomba picha,nimeweka hapo chiniView attachment 2186280
Tanzania ama zanzibar?Wewe mzalendo uliyechanganyikiwa na haupendi ukweli, huu mkasa umetokea Tanzania sio Marekani.