Zanzibar: Mwanaume afikishwa Mahakamani kwa kukata viuno hadharani

Zanzibar: Mwanaume afikishwa Mahakamani kwa kukata viuno hadharani

Zanzibar Ina vijimambooo.
Utafikiri wanaomtuhumu hawakati mauno.
 
Achana na hizo mambo wewe. Uhuru nao una mipaka yake. Mwanaume unaanzaje kukata mauno hadharani hukiwa umevaa mtandio unaovaliwa na wanawake?
Neno UHURU na MIPAKA haviwezi kukaa katika sentence moja. Endapo niko huru sina mipaka endapo nina mipaka siko huru.
Kwani huyo mtu akikatika akiwa kavaa mtandio wewe unadhurika na nini? Tako lake likitikisika na wewe unaona lako linatikisika ama
 
Znz banaaa wanajifanya wa dini kweliiii , wakijaga bara huku ni kujimwaga na ufuksaaaaaa
 
[emoji848][emoji848][emoji848]Dah uwo niuwonez jaman mbona 2napangiwa matumiz ya kiono
 
HUYU MWANA 2020 alijaribu kuchukua form ya kugombea U rais kupitia ccm walimpa kichapo kikali sana kilai kwelikweli ni shoga maarufu sana
 
Back
Top Bottom