Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sa tutafanyaje na ye ndio nguvu kazi ya taifa?
Kuna vitu vilivyokuwa vinafanywa miaka ya zamani nikwasababu tu ya zama za ujinga za kipindi hicho na sio desturiMila na desturi zetu halis "OG" ni kutembea uchi. Ni ujuha kuongoza nchi kwa mila na desturi, hayo mambo ni ya Kitaliban.
🤣🤣🤣🤣🤣Zanzibar ni nchi ya kiislamu?
===
Maulid Hussein Abdallah maarufu kama Mauzinde (29) amefikishwa Mahakama ya Mwanzo katika Kijiji cha Mwera Wilaya ya Magharibi Unguja Kisiwani Zanzibar, kwa tuhuma ya kukata viuno hadharani.
Kijana huyo mkazi wa Rahaleo anatuhumiwa kutenda kosa hilo huko Kibole, Wilaya ya Kati, Kusini Unguja saa 11 jioni, ambapo mshitakiwa akiwa amevalia mtandio alicheza kwa kukata kiuno mbele ya hadhara jambo ambalo ni kosa kisheria.
Mshitakiwa huyo amepinga mashtaka hayo na kuiomba Mahakama kumpa dhamana kwa kuwa yupo kituo cha polisi siku nyingi.
Amri ya kupelekwa rumande imetolewa na Hakimu Safia Waziri, baada ya mshitakiwa kushindwa kutekeleza masharti ya dhamana ambayo yalimtaka kuwa na mdhamini mmoja ambaye atasaini bondi ya TZS 100,000 pamoja na barua zikiambatana na kopi ya kitambulisho cha Mzanzibar.
Mshitakiwa baada ya kushindwa kutekeleza masharti hayo, mahakama ilimuamuriwa kwenda rumande hadi Aprili 25, 2022 kwa ajili ya kuanza kusikilizwa ushahidi.
Source: Swahilitimes
Katazo la kula mwezi huu wa ramadhani Zanzibar limefika bomba mbili?Kwani urais wa Samia unaishia Kigamboni?
Dah
Baby wako nn? Pole bro.Kwani akikata mauno wewe hapo ulipo unapungukiwa nini?
Kama ndio huyu wala wasimpeleke mahakamani. Wamuhukumu tu kifungo cha maisha akakate viuno vizuri jelakwa watakaoomba picha,nimeweka hapo chiniView attachment 2186280
Mambo ya zenji hayo au sio?Wengine hawa hapa
NB:hakuna mwanamke hata mmoja hapoView attachment 2186290View attachment 2186291View attachment 2186292
Innocent untill proven guiltysasa Mwanaume alivaa mta'ndio na kukata uno kwanini asidakwe ? unatete nini hapo
Tukubali tu sehemu walizopita waarabu zina haya mambo sana yenye kuashiria ushoga ukiitoa Tabora.
Huyu shoga wala hajifichi, Kuna siku kamshika kijana muuza chips ubo..00 pale mtoni jeshini kaanza kusifia aisee sometimes anakera acha wamweke ndani mwezi huu.Huyu ni shoga maarufu mjini unguja
[emoji848][emoji848][emoji848]Dah uwo niuwonez jaman mbona 2napangiwa matumiz ya kiuno
Tatizo umewaza kipumbavu. Unadhani nimeongea kama ulivyowaza wewe kwamba nimetumia mahaba ya dini. Kijana mimi sipo kwenye hizo imani zenu mbili za kipumbavu.Ficha ujinga wako mkuu, Na je Ulaya na America pia wamepita waarabu?
Mwendazake, mwache aende zake! Watu na heshima zao, walikuwa tayari kujitoa heshima na utu wao, ili mradi tu, wamfurahishe!