Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
Pengine aliwatamanisha siunajua jamaa kwa kula ndogo hawajambo wale Yakhe [emoji56]Kiuno kiuno chake akikate yeye halafu wengine ndio waumie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pengine aliwatamanisha siunajua jamaa kwa kula ndogo hawajambo wale Yakhe [emoji56]Kiuno kiuno chake akikate yeye halafu wengine ndio waumie.
Kwani urais wa Samia unaishia Kigamboni?Tanzania ama zanzibar?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]kwa watakaoomba picha,nimeweka hapo chiniView attachment 2186280
Kosa ni lipi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa Mwanaume alivaa mta'ndio na kukata uno kwanini asidakwe ? unatete nini hapo
Shangaa nawee, khaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kiuno kiuno chake akikate yeye halafu wengine ndio waumie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mauzinde anacheza chura hadharani, astaghfirullah!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda WALINYEGESHWA!
Ila, kiuno cha KIUME, sijui kimewatesaje! Au, ni mwanamke. Lakini jina, la kiume. Bado, tunaambiwa alivaa MTANDIO! Huyo ni DUMEEE au JIKEEE?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe kama sio mtoto wa Kinondoni basi Sinza maana uko ndipo munapo patikana akina J.lokole
Wanapoteza muda buree tyuuh. Waache watu na fantasy zao bhana.Huyo jamaa ni shoga maarufu hapa Zanzibar, hayo mambo hakuna sheria inayomzuia kufanya hivyo, huwa akienda mahakaman anaachiwa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Swaumu inawachanganya, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama kukata kiuno ni kiashiria cha ushoga, basi Diamond Platinumz atakua ni shoga papa.
Wazanzibari wanafanya maisha yawe magumu.
Itoshe kusema Zanzibar ni Islamic State
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umepasahau na Tabata mkuu, hayo maeneo ni hatari san kwa watoto wakiume.
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] watu mna mambo, nimemuona fulaaan uwiiiihWengine hawa hapa
NB:hakuna mwanamke hata mmoja hapoView attachment 2186290View attachment 2186291View attachment 2186292
Umetagia huko hatareeeh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tukubali tu sehemu walizopita waarabu zina haya mambo sana yenye kuashiria ushoga ukiitoa Tabora.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah.Kuna kavideo chake miaka ya nyuma kidogo anahesabu shuka za kimasai..huku akimsifu basha'ake boda boda anajua kumtunza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] khaaaaahAngeulizwa anakata kiuno mtoto wa kiume hadharani anamkatia nani au anataka wamtoboe .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ana matashtiti sana eeeeh.HUYU MWANA 2020 alijaribu kuchukua form ya kugombea U rais kupitia ccm walimpa kichapo kikali sana kilai kwelikweli ni shoga maarufu sana