Zanzibar: Mwanaume afikishwa Mahakamani kwa kukata viuno hadharani

HUYU MWANA 2020 alijaribu kuchukua form ya kugombea U rais kupitia ccm walimpa kichapo kikali sana kilai kwelikweli ni shoga maarufu sana
😁😁😁mwamba alitaka kuwa prezdaa ahalalishe upungazeze, akakutaba na wajuba, wazee wa kazi chafu, wakurungwa

Urais wa zenji au JMT kabisa?
 
Sheria ipi, ya Iran au Tanzania?
 
Kuna watu humu wana mtetea huyo jamaa kukata miuno hadharani...

Kuna watu wana ma.vi vichwani mwao
 
IMANI YA HOVYO SANA
KULA WAKATI WA MFUNGO NI KOSA
KUFANYA USHOGA RUKSA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…