Zanzibar ni nchi huru au ni sehemu ya Tanzania?

Ndani ya Tanzania Zanzibar ni nchi huru kwa kuwa wanauhuru wa kujifanyia chochote wanachokitaka na Rais anayeitwa Rais wa Muungano hana mamlaka yoyote ya kuwaamlia wazanzibar hata mkuu wa wilaya hawezi akawateulia,nje Tanzania Zanzibar siyo nchi huru kwa kuwa haina ubavu wa kujifanyia jambo lolote la kimataifa.
 
Sasa nijibu ujinga?

Mngekuwa mmeuwawa muda huu ungekuwa Online JF?
Kwani ungalikuwa hujapewa ile Huduma, ungaliandika haya ?usiwafanyie uchoyo vijana Na tungaliuwawa usingaliipata kitu yako uipendayo
 
Muungano huu ni mzigo kwa watanganyika!
 
Zanzibar siyo dola huru kwa sababu:

Haina kiti UN na haitambuliki Kimataifa kama dola yaani state. Vigezo vingine vya kuwa dola vipo ila kimojawapo pekee cha uhuru wa Kimataifa yaani external sovereignty haina.
Hoja ya kutokuwa na kiti UN au kutotambulika ni hoja mufilisi kabisa na zimekaa kisiasa.
Vigezo vikuu vya dola ni hivi ambavyo Zanzibar imekidhi:
1. Government
2. Population
3. Territory
4. Sovereignty (Both Internal and External Sovereignty)

Ambacho Advocate Tundu Lissu amewapotosha watanzania wengi ni lile la kusema kwamba Zanzibar haina External Sovereignty. Hili siyo kweli, Zanzibar ina External Sovereignty kwasababu imewahi kuwa nchi huru hapo awali, lakini External Sovereignty yake inaendeshwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano ambayo Zanzibar ni dola mshirika (Composite State)

Niende mbali zaidi na kusema kwamba, Zanzibar ina External Sovereignty kwasababu ina uwezo wa kuingia makubaliano ya kimataifa (Treaties, Pacts, Covenants and Concessions) peke yake bila kuingiliwa au kuathiriwa na Serikali ya Muungano na Tanganyika. Hapa utasemaje Zanzibar haina Sovereignty wewe ???
 
Kwa kifupi ni muungano wa kipuuzi kuwahi kutokea duniani..yani haueleweki.

#MaendeleoHayanaChama
 
Griii!!! 😖😖, kwani kuna editing nyingine zimefanyika😫? Nachojua tulishamaliza na Mizengo!!!! Samahani kwa kuwapigia kelele!!😏
 
Safi kabisa!
 
Internal sovereignty ipo nusu maana Zanzibar inaweza kusimamia sheria zake ila kwa upande mwingine haiwezi kusimamia usalama wake.

External sovereignty haina kwa sababu haiwezi kujihusisha naa masuala ya Kimataifa na pia haitambuliki kama dola na Taifa huru
 
ni wakati sasa wa kuanza huu mjadala kwa mapana zaidi lakini sihuoni muungano miaka 20 ijayo,
ila wazanzibar wajiandae kisaikolojia
Ewaaa!

Binafsi hiki kitendo cha Zanzibar kukopa kwa kutumia Jamhuri ya Muungano kinanikera sana. Wakati uwezo wa wao kukopa wanao. Huu mzigo unamuangukia JMT ambaye ni Tanganyika. Hili suala linaonekana ni la makusudi kabisa!
 
Walisemaaaa weeeeeee,
Leo munasemaaaaa weeeeee,
Mwisho wa siku kwenye pande zote mbili kuna wanaotaka uwepo na wanaotaka uvunjike
 
Kisa mnapata gawio la bure...hamchangii hata senti kwenye bajeti ya the so called muungano.

#MaendeleoHayanaChama
Mukiuvunja mutakaohasirika ni nyie,
Sie hatutaki kuuvunja
Ila mukilazimisha na uvunjike tu
Hasara nyingi kukiko faida
 
Ni mkoa maalum wa Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…