Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

Tuna haki ya kumuuliza Mzee Mkapa kwa nini hakushauri wagombea wapimwe kwanza afya zao za ubongo kabla ya kinyang'anyiro?
 
There is nothing good to talk about CCM leaders except from Mwalimu. They are all looters, looting their own country, JK inclusive. The only addition is that the current one is introducing the rule of terror and division.
 
wacha uwongo huo.. mara ya mwisho alipoenda matibabu india Serikali ndiyo iliyolipa gharama zote.. Naona una goldfish memory.. kwani hiyo habari ilienea kila sehemu.. tafuta chengine cha kudanganya

Kumbe Mupo Nyie Magu-Fanboys ambao Ni BrainWashed??

Kabla Ya Kunita mimi Muongo Je Wewe Umekuja Na Evidence Gani Hapa Kuback up Your Claim??

I guess Kama Unavyodai Alipewa Gharama Za Matibabu Kwenda Kutibiwa India! Basi Zipo "Written documents" ZiUpload Hapa Uproove Kama Wewe Mkweli na Mimi Muongo!!

Usiwe Unakariri Yasemwayo Majukwaani Wakati Huwezi Kuyathibitisha Ukweli Wake.
 
Kauli hii imeawaacha hadi viongozi wa CCM na mshangao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…