Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,057
- 10,367
Linani? Ha ha ha haLiacheni litawale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Linani? Ha ha ha haLiacheni litawale
Tuna haki ya kumuuliza Mzee Mkapa kwa nini hakushauri wagombea wapimwe kwanza afya zao za ubongo kabla ya kinyang'anyiro?Kwani anadhani Dr. Shein anasaini stahiki za mpinzani wake (Maalim Seif) kwa hiyari yake? Huyo baba Jesca hajui kwamba kuna taratibu za kisheria zimewekwa na zimetajwa kwenye katiba kuhusu stahiki za wastaafu level ya Maalim Seif au ndo anadhihirisha ile tabia yake ya kutofuata utawala wa sheria?
That means mikoa ambayo alipata kura kidogo "hatosaini maratasi yao"ndio maana hajaenda mbeya hawakumpa mkono.
Kaokota dodo kwenye mparachichiHiyo kauli inaonesha huyu jamaa hakujiandaa kuwa Rais.
Maccm hayaelewi.Yanajua ni hisani ya shein kusaini.Hivi magufuli hasomi katiba na hana washauri?Kwani Shein anaamua yeye au katiba ya nchi ndo inamfanya asaini
atafakari ili iweje?Hivi huwa anapata muda wa kutafakari matamko yake? Au bora liende!!
tuna miaka mitano au kumi kwa nchi yetu kuendeshwa kwa 'matamko' na si kwa mujibu wa sheria! MUNGU WETU TUHURUMIE..So lowassa alilazimika au??!
Lakini sio kwa kauli tatanishi kama hiziAcha nchi inyooshwe mlizoea ujingaujinga, kwa sasa ujinga hauna nafac na mtavmba mpaka mtapasuka.
There is nothing good to talk about CCM leaders except from Mwalimu. They are all looters, looting their own country, JK inclusive. The only addition is that the current one is introducing the rule of terror and division.Naanza kumkumbuka marehemu Chiluba jinsi alivyoingia madarakani na kudharau waliomtangulia kama Mzee Kaunda. Kilichotokea ni kuwa baada ya yeye kuondoka madarakani aliyoyafanya kwa mwenzie yakajirudi kwake na alikaa sana "Segerea" ya Zambia na hakuna aliyemuunga mkono tena akajihisi upweke sana na ndio uliochangia safari yake ya peponi au jehanamu mapema. Madaraka ni dhamana unayoipata miongoni mwa wengi sio ujanja wako, hebu muoneni JK jinsi alivyoishi kwa kauli za hekima kiasi kuwa hata kama kamuumiza mtu bado unamuona binadamu.
Apoo sasa.Huenda washapatana
wacha uwongo huo.. mara ya mwisho alipoenda matibabu india Serikali ndiyo iliyolipa gharama zote.. Naona una goldfish memory.. kwani hiyo habari ilienea kila sehemu.. tafuta chengine cha kudanganya
Kwa kuvunja katiba?Huo ndio ukweli Seif ilibidi afunzwe adabu.
Kwani stahiki ni fadhila?Hakuna laana mbaya kama kukakataa kumshika mkono rais wa nchi anayesaini posho zako..!
from
Nakuunga mkono asilimia mia kwa miaRaisi wa VISASI na KIBURI hawezi kuleta maendeleo kwa nchi yoyote ile.
NEVER!
Shein sasa nenda katoe mkono haraka.