jerrysonkiria
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 2,228
- 2,901
Sio kauli nzur hata kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Too low to argue with me.Yeye kugoma kutoa salamu mbele ya hadhira tena msibani mahali watu wanapotegemea kufarijiana hiyo sio chuki !?? .......huwa mnajipa muda wa kufikiri ?
Dini yangu mimi inanifundisha kuwa unafiki ni mmbaya kuliko kitu chochote.Na mtu mnafiki ni muuaji.Rais anapaswa kua wa kuliunganisha taifa sio kutenganisha, acheni kusifia ata yasiyofaa, au wewe dini gani inayokufundisha hayo?
Baadhi ya wanajamii forum mnashangaza et JPM kumwambia Shein asisaini posho za SEIF anajenga chuki lkn SEIF kuukataa mkono wa Shein sio kujenga chuki.
elimu yako ni lasaba feliaBaadhi ya wanajamii forum mnashangaza et JPM kumwambia Shein asisaini posho za SEIF anajenga chuki lkn SEIF kuukataa mkono wa Shein sio kujenga chuki.
Hata km hakutambui. Lkn kumbuka ww ni raisi wa wote. Mfano. Ww ni dokta, kaja mgomvi wako, tena jana tu mlipigana. Je, utamhudumia au hautamhudumia?Dini yangu mimi inanifundisha kuwa unafiki ni mmbaya kuliko kitu chochote.Na mtu mnafiki ni muuaji.
Labda nikuulize kidogo hayo Makaratas ya Maalim ambayo Shein anassin,yeye Shein anasain kama nani kwa Maalim ukizingatia kuwa Seif hamtambui Shein na serikali yake.
Kama ilivyo haki yake kikatiba Seif kupata stahiki zake pia ni haki kikatiba seif kumpatia heshima rais wa nchi
Maigizo at workSeif hamtambui shein kama ni rais so why amsainie
elimu yako ni lasaba felia
Samahani mleta mada, imeishia darasa la ngapi?
Huyu ni wa kupuuzwa tu inatosha, msijisumbue kumjibuKukataa mkono kwa ajili ya salamu haliko kwenye sheria au katiba, hivo hilo sio la kisheria. Kumzuia shein asimlipe seif is against the law. Muwe waelewa..
Mfano. Mm ni daktari, amekuja jirani yangu anaumwa, anahitaji matibu. Ukizingatia jana tulikuwa na ugomvi naye. Je, nitamuhudumia au sitamuhudumia?
Unapokuwa kiongozi mkubwa, ww ni kiungo cha amani. Unaposimama mbele za wananchi wako, ww uwe msaada. Uwapende wote haijalishi kakuudhi au la.
Sisi wakristo hatujafundishwa kuwa na visasi. Ndiyo maana tuliambiwa samehe 7x70. Km mtu unamuabudu Mungu, huwezi kuwa mtu wa visasi.
Inasikitisha.
Si Shein wala Magufuli mwenye uwezo wa Kukataa kusign pesa za Maalim SeifBaadhi ya wanajamii forum mnashangaza et JPM kumwambia Shein asisaini posho za SEIF anajenga chuki lkn SEIF kuukataa mkono wa Shein sio kujenga chuki.