TANZIA Zanzibar: Salim Turky, Mwanasiasa Mkongwe na Mgombea Jimbo la Mpendae Zanzibar, afariki dunia

Mwenyezi Mungu amrehemu Mh. Salim Turky apumzike kwa amani. Kitendo cha kukodi ile ndege iliyompeleka Lissu Nairobi baada ya kukoswakoswa kuuwawa ni ubinadamu uliopitiliza. Lissu anapaswa kuahirisha kampeni zake akamzike huyu shujaa.
 
Rip Mzee Turku, huyu mzee alisaidia kulipia ndege ya kumsafirisha lissu kwenda Nairobi, mashetani yalipo mshambulia kwa risasi 38
Mzee Turky alifanikisha upatikanaji wa ndege ya kumsafirisha Lissu kwenda Nairobi ikiwa ni pamoja na udhamini, lakini malipo ya ndege yalifanywa na Chadema.
 
Siyo mahali pake kwa sasa. Uccm hadi kwenye misiba? Tabia hii mtakoma lini?? Ndiyo maana mageuzi ya kimfumo ni muhimu sana kwenye nchi yetu kwa sasa.
 
R I P Bilionea, Mgombea na kada wa CCM ndugu Salim Turkey.
 
Ubinadamu hauna siasa.
 
Mengi, Mafuruki, Turky, Manji(kafa kisaikolojia baada ya kupewa kesi), Mo (kafa kiuhuru tangu atekwe), Rostam ( kafa kiuhuru tangu mdogo wake apewe kesi), Seth na Rugemalira ( Wao gerezani) Lowasa na Sumaye ( walishajisalimisha), Dialo ( anapumulia mashine) ZAKARIA (huyu ni mwanaume wa Tarime...).

Kwa kifupi MATAJIRI AIDHA WAISHI KAMA MASHETANI AU WAREST IN PEACE!

"hapa kazi tu".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…