Zanzibar 2020 Zanzibar: Waliouawa wafikia 10 - (October 27, 2020 Update)

Zanzibar 2020 Zanzibar: Waliouawa wafikia 10 - (October 27, 2020 Update)

ALERT [emoji599]: Waliouawa Zanzibar Wafikia Tisa (9)

Mwananchi mwengine mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na Vyombo vya Dola Zanzibar, aliyeuawa ni Omar Juma Mohammed wa Mwembe Makumbi, Unguja.

Kuuawa kwa Omar kunafanya idadi ya waliouawa tangu Jana kufikia 9

#ZanzibarLivesMatter


Nyie wapumbavu. So mmewapanga Vijana wa watu kwenda kuvunja sheria kurusha mawe mkijua kuwa mawe Ni silaha na Polisi lazima watajilinda. Ili risasi zipigwe. My God. Mnalipwa Nini kwa kutaka fujo Tansania.
 
Propaganda za kijinga, na ni uchochezi!

Kwa waliopitia jeshini hata mgambo wanafahamu kabisa kuwa unachokionyesha kwenye picha ni risasi nzima ambayo haijatumika!

Sasa anayedaiwa kuuawa kwa risasi hiyo alivurumishiwa kwa manati?
Lugha ya picha hiyo wewe.RUDI SHULE KAMA HUWEZI KUELEWA ALICHO MAANISHA MWANDISHI.
 
ALERT
emoji599.png
: Waliouawa Zanzibar Wafikia Tisa (9)

Mwananchi mwengine mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na Vyombo vya Dola Zanzibar, aliyeuawa ni Omar Juma Mohammed wa Mwembe Makumbi, Unguja.

Kuuawa kwa Omar kunafanya idadi ya waliouawa tangu Jana kufikia 9

#ZanzibarLivesMatter

Hivi huu muungano ambao ni lazima siku zote ulindwe kwa gharama ya damu na utu wa Wanzanzibari kuna ulazima gani uwepo? Waacheni Wanzanzibari uhuru wa kuamua wa kuwatawala.
 
Ujinga wenu ACT Wazalendo mnahamasisha watu wavunje sheria huku mkijua wazi outcome yake ni nini? Sasa hivi mlivyo na roho mbaya ndiyo mnajifanya reportes wa matukio. Shame on you. Mnataka kusema mnapoingia kwenye huu uchaguzi hamkujua kama kuna sheria ya kura ya mapema? Sasa kwa urafi wenu wa madaraka mmehamasisha vijana waende eti kupiga kura leo huku mkijua wazi leo si siku yao ya kupiga kura. Hivi huwa mnapotosha vitu kwa maslahi ya nani? Mkiona watu wanakufa ndio mnachukulia mtaji wa kisiasa enheee? Kwa laana ya damu hii inayomwagika hamtakuja kushika dola hata siku moja. Na pengine ndio maana vyama vyenu vya upinzani kila siku ni migawanyiko. Mtajitahidi sana kutumia nguvu kulaumu vyombo vya usalama na serikali lakini haitasaidia kwa sababu imeamriwa tuheshimu mamlaka.

Wakati mnaingia kwenye uchaguzi hamkusoma vinzuri sheria ya uchaguzi Zanzibar inasemaje? Ifike wakati watanzania tuache unafiki kwenye mambo yanayohusu maisha ya watu. Zitto na ACT Wazalendo muwaombeni radhi wananchi mliowadanganya waende leo wakapige kura mwishowe wameishia kupata matatizo. Hii sheria mliijua mapema kabisa lakini mmeamua kutumia ujinga wa wananchi kuweza kuangamiza roho zao.

kura_ya_mapema.jpg
 
Propaganda za kijinga, na ni uchochezi!

Kwa waliopitia jeshini hata mgambo wanafahamu kabisa kuwa unachokionyesha kwenye picha ni risasi nzima ambayo haijatumika!

Sasa anayedaiwa kuuawa kwa risasi hiyo alivurumishiwa kwa manati?
Sasa iliyotumika ataipataje?
 
Happy waliouwawa walikua wapi na walikua wanafanya mini? Acheni propaganda zenu. Nipo Zanzibar name shughuli zinaendelea kama kawida kila mtu yupo nyumbani kwake salama.

Haya kama zinaelea vizuri basi twaomba ututumie ushahidi wa hicho unachodai. Nyie vibaraka wa mboga mboga nanyi hamuaminiki..!
 
Mahakama zinamuogopa Magufuli Polisi wanamuogopa Magufuli Wanajeshi wanamuogopa Magufuli sasa sisi wananchi tukimbilie wapi wakati anatuua?

Je, tukiingia Msituni na kuanza harakati nani wa kulaumiwa?
Mtanyooshwa tuu, kwani msituni niye ndio mtakuwa wa kwanza. Wapalestina waliingia tangu 1948 mpaka leo na wanaendelea kunyooshwa. Kichwa ngumu piga nondo.
 
Mahakama zinamuogopa Magufuli Polisi wanamuogopa Magufuli Wanajeshi wanamuogopa Magufuli sasa sisi wananchi tukimbilie wapi wakati anatuua?

Je, tukiingia Msituni na kuanza harakati nani wa kulaumiwa?
Ingia faster ....
 
Back
Top Bottom