Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Hawazuii. Kuna restaurants mjini haifungwi kwa sbb ya wageni.Wakristo tuliopo Zanzibar tunanyanyaswa kiukweli[emoji134] kanisani Anglican huwa wanapika, ngoja tuone kama watazuia na pale...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawazuii. Kuna restaurants mjini haifungwi kwa sbb ya wageni.Wakristo tuliopo Zanzibar tunanyanyaswa kiukweli[emoji134] kanisani Anglican huwa wanapika, ngoja tuone kama watazuia na pale...
Za wageni hazifungwi kulingana na hilo tangazo ila zile local zinafungwaHawazuii. Kuna restaurants mjini haifungwi kwa sbb ya wageni.
Kabla hizo fukwe na Hotel za kitalii hao watalii walianza kuja kuangalia hayo majumba mnayoyaita mabovu na yananuka waliyoyawacha waarabu [emoji2957]Bila fukwe na hoteli za kitalii..hakuna mji mbovu kama zenji..bora mtu ukaishi hata mafia huko ama chiwata...pamenyata sana.
Sema nink tunadumisha muungano
#MaendeleoHayanaChama
Nchi nzima kwenye necta hamna division one!!!?Ni kweli sababu... Tunawang'ang'ani tuwafokoe sababu ni wajinga. We nchi nzima kwenye Necta hamna division one? You must be dumb and fool.
Na inafika muda unaona ubongo wa nyuma ukiwa na dysfunctional au impairment haileti shida kwenye afya ya akili.. unajielewa kweli Makame? [emoji16]
Rudi kwenu TanganyikaaWakristo tuliopo Zanzibar tunanyanyaswa kiukweli[emoji134] kanisani Anglican huwa wanapika, ngoja tuone kama watazuia na pale...
Hata wewe huzuiliwi Kula ndani mwakoHiyo marufuku ni kwa niggers tu lkn 5 Star Hotels wanauza siyo tu chakula hata drugs na Ukahaba rukhsa!
Unazidi kumpandisha hasira [emoji1787]Punguza jazba. Hata mzungu atafuata raratibu na mila na desturi za Zanzibar. Na akivunja sheria atakula bakora tu. Hakuna namna.
Hata wewe kama unataka kula mchana kula hadi uvimbiwe; ila sio hadgarani.
Very simple tu. Sjui unakwazika wapi. Huu ni utamaduni wa Zanzibar lazima uheshimiwe. Ala!
Unataka zanzibar ipokee kila aina ya uchafu? No way. Lazima waenzi utamaduni wao na mgeni akija afuate. Akizingua tia bskra tu.
Mimi na washangaa Sana hawa wapumbavu rudini kwenuRudini kwenu Bara mkalime nyie
Itabidi nifanye hivo mkuuRudi kwenu Tanganyikaa
NI Mila zetu KUHESHIMU huu mwezi usipowafikiana na Mila za wenyeji wako kuna ttzo gani si urud kwenuKwa nini wanawapangia watu wale vifichoni?Ili tukujue umefunga kwa nia njema unapaswa kuvuka mitihani ya kuwaona wengine wakila bila weye kupata sonona.
Njoo uone wamakonde mlivyojazana huku Hadi kerooBila fukwe na hoteli za kitalii..hakuna mji mbovu kama zenji..bora mtu ukaishi hata mafia huko ama chiwata...pamenyata sana.
Sema nink tunadumisha muungano
#MaendeleoHayanaChama
[emoji23][emoji23][emoji23] unapotea sana ndugu yanguMzee ukienda hospital huulizwagi Dini yako kwenye kadi?
Halafu Google Ni mtandao wa makafiri
[emoji23][emoji23][emoji23] Duuuh aliyekuroga alikuwa makini sanaBila fitna Za wakoloni wa CCM Zanzibar ingekuwa Qatar
Mila?Naamini huwa mnaenda/maishi kwa kutegemea kitabu chenu cha dini.Ni wapi kinawapa maelekezo hayo?NI Mila zetu KUHESHIMU huu mwezi usipowafikiana na Mila za wenyeji wako kuna ttzo gani si urud kwenu