Zanzibar yaweka marufuku ya kuuza vyakula wakati wa Ramadhan

Zanzibar yaweka marufuku ya kuuza vyakula wakati wa Ramadhan

Ni jambo dogo sana. Zanzibar wana utamaduni wao. Na huo ndio unaoitambulisha ile ni Zanzibar. Acheni uheshimiwe.
Shida sio utamaduni..shida ni unafiki wazungu wanakula na kutembea nusu uchi ndani ka kisiwa bila shida..ila wanajifanya kuwakazia wamatumbi wenzao..waanze kwanza kupiga marufuku na hotel zote za kitalii zisipike chakula mchana..ndio waje kwa wamatumbi wenzao..halafu hakuna mahali katiba imesema zenji ni secular.

#MaendeleoHayanaChama
 
Bora warudi bara...nashangaa unapapendaje Zanzibar wakati ni mji uliokufa kama Kilwa, Bagamoyo e.t.c Hii ni miji ilitakuwa ibaki kuwa makumbusho tu.

Kama Zanzibar nchi lakini haija hata lift moja inayofanya kazi. Watu wananing'inia kwenye magorofa mabovu na yananuka Dunia nzima.

C'moooon Kama Kuna mbara anakomalia Zanzibar namuonea huruma. Bora niende Uganda kutafuta maisha na kuishi kuliko kukaa kwenye kisiwa chenye magofu Kama Bagamoyo au Kilwa tu.

Sikai jumba la makumbusho hata siku moja Mimi.

Sasa kwanini wanang'ang'ania mkuu? mana wapo wengi sana kule
 
Wakristo tuliopo Zanzibar tunanyanyaswa kiukweli🙆 kanisani Anglican huwa wanapika, ngoja tuone kama watazuia na pale...
Yaani hata ndani ya chombo ni unyanyasaji tu, although kuna uwezekano wa kutenga maeneo si kulazimisha.
 
Mliopo mjini mje mle kanisani Anglican hapa pako salama kabisa tunalindwa na askari kabisa 😆
 
Back
Top Bottom