Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
Twende Kwa facts.... ubongo wa nyuma unaaffect Nini uwezo wa kufikiria??Sasa ndugu yangu kama huoni uspecial wa ubongo wa nyuma hili mbona tatizo sasa. Au unatania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twende Kwa facts.... ubongo wa nyuma unaaffect Nini uwezo wa kufikiria??Sasa ndugu yangu kama huoni uspecial wa ubongo wa nyuma hili mbona tatizo sasa. Au unatania?
Hapo umewakusanya kwenye kijiwe cha kahawa huku unasindikizia kashata unaonekana mtu wa maana sana.Swadakta zanzibar ni nchi ya kiislamu lazima isimamie misingi ya dini ya kiislamu ngoja wanaofungisha ndoa za jinsia moja kanisani na kuvaa nusu uchi wakienda kuabudu na wanakula mnyama mwenye hedhi .
Wakigombana nchini kwao wanakimbilia huko huko wanakosema kuna ushoga, ila hatuoni mashoga wakikimbilia kwenye uislamNyie ambao sio makafiri kwanini mmeshindwa kuunda search engine yenu mnatumia google ya makafiri,au akili zenu ndio zimeishia kwenye kutukana tu?
Ndugu yangu nirudie tena. Kama huoni advantage ya ubongo na vile unaplay part kwenye ubongo wote kiujumla basi hakuna haja ya kuilaumu NECTA.Twende Kwa facts.... ubongo wa nyuma unaaffect Nini uwezo wa kufikiria??
Mbona kwenye sensa Hiko kipengele Cha dini hakipo we umejuajeKivipi??Kwanza Kwa idadi hata Bara waislam ndiyo wengi Kuliko dini nyingine
Unatafuta vita na waarabu weusiMwarabu sehemu yeyote aliyokaa na kutawala Africa Kuna vita, njaa na ujinga mkubwa saana.
Mwarabu Hana akili tu Kama mwafrica.
Mwarabu simkubali saana.
Hii ya utokua na division one ni kweli imeshawahi kutokeaNi kweli sababu... Tunawang'ang'ani tuwafokoe sababu ni wajinga. We nchi nzima kwenye Necta hamna division one? You must be dumb and fool.
Na inafika muda unaona ubongo wa nyuma ukiwa na dysfunctional au impairment haileti shida kwenye afya ya akili.. unajielewa kweli Makame? [emoji16]
Wacha wee!
Mnang’ang’ania hayo Magofu hapo stone town eti kivutio cha Utalii? UNESCO wanawazuia kubadilisha Madhari ya Nchi yenu kwa Kigezo Cha historia?
Waoman waliwapa nini nyie?
Ukifika Zanzibar unakutana na Magofu ya waoman?
Leo mnataka kujifananisha na Qatar?
Hao wazungu wakija hapo Zenji wanakaa Hotel za 5star, hayo Magofu yenu wala hawana muda nayo.
badilikeni Wazenji, nyinyi sio Jamhuri ya Kiislamu na Hamtakuwa.
Polepole msomi... niambie ubongo wa nyuma unahusianaje Na thinking?? Bora hata ubongo wa katiNdugu yangu nirudie tena. Kama huoni advantage ya ubongo na vile unaplay part kwenye ubongo wote kiujumla basi hakuna haja ya kuilaumu NECTA.
Hospital huulizwagi Dini yako kwenye kadi?Mbona kwenye sensa Hiko kipengele Cha dini hakipo we umejuaje
Hii ni kila Ramadhani, sio jambo geni.
Koloni la Tanganyika hilo..maisha.Basi ni koloni la roman mkuu
We mmakonde rudi kwenuBila fukwe na hoteli za kitalii..hakuna mji mbovu kama zenji..bora mtu ukaishi hata mafia huko ama chiwata...pamenyata sana.
Sema nink tunadumisha muungano
#MaendeleoHayanaChama
[emoji28][emoji28] mkuu hii nchi yetu sote bara na visiwani acha tuenjoy.We mmakonde rudi kwenu
Ni jambo dogo sana. Zanzibar wana utamaduni wao. Na huo ndio unaoitambulisha ile ni Zanzibar. Acheni uheshimiwe.[emoji28][emoji28] mkuu hii nchi yetu sote bara na visiwani acha tuenjoy.
#MaendeleoHayanaChama
Zanzibar sio nchi ya kiislamu ni nchi yenye waislamu wengi tuu. Nchi ya kiislam ni lazima ifuate sharia za kiislam kitu ambacho akiwezekani kwa sababu wapo ndani ya muungano ndio maana hata kujiunga OIC waligomewa.Swadakta zanzibar ni nchi ya kiislamu lazima isimamie misingi ya dini ya kiislamu ngoja wanaofungisha ndoa za jinsia moja kanisani na kuvaa nusu uchi wakienda kuabudu na wanakula mnyama mwenye hedhi .
Bora warudi bara...nashangaa unapapendaje Zanzibar wakati ni mji uliokufa kama Kilwa, Bagamoyo e.t.c Hii ni miji ilitakuwa ibaki kuwa makumbusho tu.
Kama Zanzibar nchi lakini haija hata lift moja inayofanya kazi. Watu wananing'inia kwenye magorofa mabovu na yananuka Dunia nzima.
C'moooon Kama Kuna mbara anakomalia Zanzibar namuonea huruma. Bora niende Uganda kutafuta maisha na kuishi kuliko kukaa kwenye kisiwa chenye magofu Kama Bagamoyo au Kilwa tu.
Sikai jumba la makumbusho hata siku moja Mimi.