Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,986
Huo ni mkoa tu acheni kujitutumuaHuo ndio uhalisia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni mkoa tu acheni kujitutumuaHuo ndio uhalisia.
Chokochoko za muungano, hatukuzoea kuyasikia haya huko nyuma, kuna watu wanasenguliwa kijanja huko visiwani
Sisi tunawafahamu nyinyi NI wakoloni weusi na kunasiku mtangoka tuu mapambano yanaendeleaSi tulikubaliana sisi ni nchi moja na kila mtanzani a ana haki ya kuishi popote ndani ya hii nchi iwe bara hata visiwani chamsingi asivunje sheria za nchi.?
Au ninyi huko visiwani sio Tanzania?
Kwani Unalala nyumba ipi Mtanganyika??Kama umetokea Bara na upo ugenini Znz, utakula nyumbani ipi?
Huku bara migahawa ya waiskamu ipo wazi 24/7. Unafiki mtupu.
Yaani mungu wao anaogopa ushindani🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna dini zinaogopa competition ya kiimani toka dini zingine
Utakuwa hujaelewa hicho Kiingereza kilichoandikwa kwenye huyo barua! Zilizozuiliwa ni migahawa ya mitaani kwenye public lakini mahotel yameruhusiwa lakini huduma ziishie kwenye maeneo ya hotel hizo! Kwa hiyo hata mweusi kama uko kwenye hotel unapiga menu kama kawaida!Hiyo marufuku ni kwa niggers tu lkn 5 Star Hotels wanauza siyo tu chakula hata drugs na Ukahaba rukhsa!
Dini inayosimamiwa na serikali inatia shaka, imani inatakiwa iwe hiari ya mtu kwani hata Mungu halazimishagi!
Ya Watanganyika mtajuana wenyeweHu
Huku bara migahawa ya waiskamu ipo wazi 24/7. Unafiki mtupu.
Serikali isiposimamia ndio mtashika adabu zenu mna haki ya kulindwa vyenginevyo msingekula hata humo ndaniDini inayosimamiwa na serikali inatia shaka, imani inatakiwa iwe hiari ya mtu kwani hata Mungu halazimishagi!
Pole kwa mmeoSerikali isiposimamia ndio mtashika adabu zenu mna haki ya kulindwa vyenginevyo msingekula hata humo ndani
Mi nafahamu sehemu nyingi alizotawala mzungu ndiyo kuna vita, njaa na ujinga mkubwa.Mwarabu sehemu yeyote aliyokaa na kutawala Africa Kuna vita, njaa na ujinga mkubwa saana.
Mwarabu Hana akili tu Kama mwafrica.
Mwarabu simkubali saana.
Wewe nilishakwambia..utakufa zenji bado ni koloni la Tanganyika..Sisi tunawafahamu nyinyi NI wakoloni weusi na kunasiku mtangoka tuu mapambano yanaendelea
Nchi??unajua mana ya nchi au unaongea tu.Mlisha ambiwa Hiyo ni nchi kando Tena na imani Yao inajulikana mnataka kutafuta sababu
So hapo unasema ni kama matendo yaliyokua yafanyike mchana yanafanywa usiku..........Huwa wanabadili ratiba ya mlo kutoka mchana kwenda usiku..
Mana jua likizama tu wanakula usiku kucha kama viwavijeshi.
#MaendeleoHayanaChama
Na Jamii forum je,Mzee ukienda hospital huulizwagi Dini yako kwenye kadi?
Halafu Google Ni mtandao wa makafiri