Prezidah
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 750
- 182
Jamani msimshambulie Diamond bure; halali na kila mtu, analala na wanawake wazuri wenye hadhi fulani tu: kubalini hilo kwanza. Muda mfupi baada ya kusoma post hii nimepitia pale global publishesrs kusearch wanawake waliowahi kualala na diamond nikakuta list inaonyesha kuwa wengi wao ni mastaa wenye hadhi zao. Majina niliyopata haraka haraka ni haya: Rehema Fabian (Simfahamu), Jacqueline Wolper (Ni star wa hadhi), Upendo Moshi (simfahamu), Natasha (simfahamu), Wema Spepetu (Star mwenye hadhi), Aunt Ezekiel (Staa Mwenye hadhi), Jokate Mwengelo (Star mwenye hadhi), Irene Uwoya (Star mwenye hadhi), Penniel Mgimwa (Star mwenye hadhi), Avril (Star mwenye hadhi), Victoria Kimani (Star mwenye hadhi) na sasa Zari Hassan (Star mwenye hadhi ya kutisha). Kwa hiyo mwacheni Diamondn atumia muda wake; akichoka ataacha, siyo kumtupia matusi yasiytokuwa na maana. Yeye siyo zoa zoa vile; after alll Zari ,wenyewe ndiye aliyempaparikia. Kumbukeni hawa wanawake kwakwe huwa ni sememu ya kujitangza katika biashara yake ya Muziki. Ni jukumu lao kujipima kama ni sahihi kulala naye, siyo jukumu lake.
Well said