hapo inategemea sasa,,nilishawahi kua mahusiano na mdada mmoja ukimpelekea zawadi ya gazeti la mwananchi anafurahi sanaMmmmh mnatia chaka
Mie nilishapeleka zawadi sehemu nikaambiwa hizo situamiagi bora ungeniuliza mwenyewe au ungenipa hela... Toka siku mtu akiniambia.zawadi ni bora aseme yeye nn nimchukulie kama.zawadi na sio nikakurupuka kumchukulia
Mkuu we nakushauri ,ungemuuliza muhusika angependa zawadi gani toka kwako, mshirikishe tu sio mbayaHabari ya asubuhi waungwana.
Ninapenda kumnunulia mchumba wangu wa kike zawadi kidogo kwa kutambua thamani yake kwangu, kwa uwezo wangu mdogo wa bajeti ya kuanzia shilingi 10,000 --- 50,000 ningependa kununua zawadi ya thamani hiyo.
Nitashukuru kupata mapendekezo ya aina nzuri ya zawadi kutoka kwenu wana jamvi, nafahamu wengi wameshawahi kulifanya hili, eidha kwa kupokea kutoka kwa wachumba au kumpatia mchumba wako na akafurahi.
Asanteni, Karibuni!
Sijasema kama kuhonga ni dhambi, alafu usipende sana kutoa judgement kwa mtu usiyemfahamu kwa kufuata hisia zako.kuhonga siozambi ila nimekushauri utafute hela kwanza mana unaonekana unapanda kutunza ila mfukowako nimfupi mkuu
mimi nilikuwa sihongi kabisa kipindi Niko kwenye 20s lakini sasa hivi nahonga hadi nyumba kwakuwa nishajipata
jitafute ukijipata utahonga mabilioni sio elfuhamsini dogo langu
Muulize tu ukiwa unaenda Leejay49 nipo njiani ungependa nikueletee zawadi gani?Asee . Hii inafaa mkuu au itapoteza ladha? Nafikiri ukiletewa zawadi pasipo kutarajia inakuwa na mzuka zaidi
Hahahahahaha,dahNilimnunulia calculator tukiwa chuo alifurahi sana, ila alivyoniacha nikaifuata calculator yanguππ
Hahahahahaha,yeye asihofu sioZawadi yoyote tu itafaa bana ili mradi mnapendana hata ukimnunulia chocolate tu atashukuru mno
TUKANA UONE πMikunyubenga!
Sijui kwanini sijawahi kua na majibu nikiulizwa nataka zawadi gani... ila Yoyote tu ni nzuri ukipewa na mtu unayempendaMuulize tu ukiwa unaenda Leejay49 nipo njiani ungependa nikueletee zawadi gani?
Atakayokwambia hata km ni chocolate beba hio hio zama supermarket nunua good chocolate mpelekee au hata akisema niletee eat some more kuna hio mibiskuti fulani wanaipenda mitamu mitamu inauzwa buku 4 beba peleka mchezo umeisha si zawadi au ulitaka iweje mkuu?
Ukiambiwa peleka kile umeambiwa upeleke usijitungie cha kwako Wala usiongeze Wala usipunguze
Kua specific sema zawadi gani nikuletee? Wewe jichagulie unayoipenda unataka nini bracelate au mkufu wa dhahabu?ila Yoyote tu ni nzuri ukipewa na mtu unayempenda
πππππππkuhonga siozambi ila nimekushauri utafute hela kwanza mana unaonekana unapanda kutunza ila mfukowako nimfupi mkuu
mimi nilikuwa sihongi kabisa kipindi Niko kwenye 20s lakini sasa hivi nahonga hadi nyumba kwakuwa nishajipata
jitafute ukijipata utahonga mabilioni sio elfuhamsini dogo langu
Mimi napenda sana hizi picha ila zenye rangi!Halafu niliona ni 5k Ila kama ni 50k.
Mpelekee picha hizi za kuchora maana ni zawadi bora kabisa na mara nyingi watu huziweka sitting room au bedroom, na kuifanya kuwa memorable zaidi
View attachment 2826452
Sawa Basi, niletee tu yogurt na chocolate zile zinachorwa 100dollars, ni 5k tu moja... nadhani huwezi kushindwaKua specific sema zawadi gani nikuletee? Wewe jichagulie unayoipenda unataka nini bracelate au mkufu wa dhahabu?
kumbe hata wanawake mna tabia hiiππNilimnunulia calculator tukiwa chuo alifurahi sana, ila alivyoniacha nikaifuata calculator yanguππ
Hapo sasa ndio penyewe unaona umesema zawadi gani unayopenda km ningenunua chochote usichokitaka ingekuaje lawama km zoteSawa Basi, niletee tu yogurt na chocolate zile zinachorwa 100dollars, ni 5k tu moja... nadhani huwezi kushindwa
Sawa,Hapo sasa ndio penyewe unaona umesema zawadi gani unayopenda km ningenunua chochote usichokitaka ingekuaje lawama km zote