Zelensky amemjibu Trump kwamba alipokea dola bilioni 100 tu za msaada wa Marekani kama ruzuku, sio mkopo

Zelensky amemjibu Trump kwamba alipokea dola bilioni 100 tu za msaada wa Marekani kama ruzuku, sio mkopo

Trump ni mpuuzi sana
Upuuzi wake nini ,,,, au kutaka kukata misaada ya silaha kwa unawaowapenda wewe? Kwani msaada lazima? Kawasaidie wewe basi hizo silaha, kwanini watusi mnapenda sana vita na kujikuta nyie ndo special people mbwa nyie,, dawa kuwakimbiza tu apa bongo wasehnge nyie mnachukulia poa mnakula gud time ubongoni hapa..
 
Upuuzi wake nini ,,,, au kutaka kukata misaada ya silaha kwa unawaowapenda wewe? Kwani msaada lazima? Kawasaidie wewe basi hizo silaha, kwanini watusi mnapenda sana vita na kujikuta nyie ndo special people mbwa nyie,, dawa kuwakimbiza tu apa bongo wasehnge nyie mnachukulia poa mnakula gud time ubongoni hapa..
Hasira za nini dogo.

Umechanganyikiwa sasa watutsi wana husika vipi na mgogoro wa Ukraine mwehu wewe
 
Hii sio mechi ya Simba na Yanga kwamba iandikwe kishabiki kirahisi rahisi hivi. Unavyoona Urusi ilikuwa ikisherehekea hii miaka mitatu ya “special operation”? - badala ya wiki tatu walizopanga mwanzoni?
Nani alikwambia Urusi walipanga wiki 3 ya SO?
 
NATO na Marekani wasingeingia kama Zelenskyy na wapiganaji wa Ukraine wasingeonyesha ujasiri na ushujaa wa kukabiliana na Urusi kama walivyofanya. Walitegemea mambo yatakuwa kama jinsi jeshi la Afghanistan lilivyotoweka mbele ya Taliban pamoja na kuachiwa mabilioni ya pesa, silaha na vifaa.
Kwa hiyo NATO na Ukraine wamefanikiwa nini kwenye hili?
 
Hasira za nini dogo.

Umechanganyikiwa sasa watutsi wana husika vipi na mgogoro wa Ukraine mwehu wewe
Najua mpo wengi operesheni yenu inakuja,,, huyu jamaa Yoda Ni mtusi mwenzio kumbe, ni mtu anaeshabikia vita humu jukwaani pengine kuliko hata kp kipanya44 ,, ana chuki ya wazi kabisa kwa wakongomani, wapalestina, warusi etc. Yani kinachondelea huko yeye kwake furaha wakati yeye kakimbia kwao rwanda anaishi kwa amani bongo.
 
Show some respect to Zelenskyy and the gallant Ukrainian fighters AND keep watching this space uone kitakachotokea mwishowe. Hizo tabiri za kishabiki zibakie huku uswahilini tu.
Zelensky is on a losing side and can not win. Trump does want to carry a loser with him

No other country will fight against Russia, even the NATO and Europe, why drag the war on any longer

After this is all over he’s going to be just a grease spot in history

 
Wewe unaona zelensky yuko sahihi kuchukua hela za marekani burebure tuu?
Ni bure bure kivipi wakati Marekani iliwaambia Ukraine wawape Russia silaha zao za nulear wakati USSR inavunjika na kuwahaidi watakuwa salama tu bila hizo silaha?
 
Zele na Ukraine wote ni losers

Alitegemea atapata ulinzi kwa kuwa mwanachama wa NATO imeshindikana wamemkataa

Madini yatakayochimbwa yatakuwa na thamani zaidi ya hiyo misaada aliyopewa, Marekani itafadika zaidi kuliko Ukraine

Wakati huo Russia imeshachukua 20% ya ardhi ya Ukraine yenye utajiri wa madini na ardhi yenye rutuba katika uzalishaji wa ngano

Ukraine imeambulia kupoteza mamia ya maelfu ya askari, mamilioni ya Waukraine wamekimbia nchi yao, wamepoteza karibu 20% ya ardhi yao na uchumi na miundombinu mingi imeharibiwa
Putin, Xi Jinping, Ayatollah na Kim Kiduku ni watu waovu sana wanaopaswa kulaaniwa na kila mtu mwenye akili, hawa watu ni axis of evil.
 
Najua mpo wengi operesheni yenu inakuja,,, huyu jamaa Yoda Ni mtusi mwenzio kumbe, ni mtu anaeshabikia vita humu jukwaani pengine kuliko hata kp kipanya44 ,, ana chuki ya wazi kabisa kwa wakongomani, wapalestina, warusi etc. Yani kinachondelea huko yeye kwake furaha wakati yeye kakimbia kwao rwanda anaishi kwa amani bongo.
Wewe kiazi Watusi ni kundi mojawapo la raia wa Congo, kama mnawapenda sana Wacongoman mlitakiwa muwe mmeshawalazimisha mapema marais wa Congo wawakubali raia wao Watusi badala ya kukaa wanapora uchaguzi na kuuza ardhi yenye madini tu mashariki ya DRC bila kuwashirikisha raia wanaoishi hayo maeneo.
 
Wanaukimbi.

Zelensky anasema kwamba alipokea msaada wa dola bilioni 100 pekee kama ruzuku, sio mkopo.

"Hatutambui deni la Ukraine la dola bilioni 500 kwa Marekani.

Sitambui hata dola bilioni 100. Tulikubaliana na Biden kwamba ilikuwa ruzuku, sio deni."
===============
JUST IN: Zelensky says that he received only $100 billion in U.S. aid as grant, not a loan.

"We don't recognize Ukraine's $500 billion debt to the US.

I don't even recognize $100 billion. We agreed with Biden that it was a grant, not a debt.


1740392170829.png


Maigizo yamehamia kwenye bangi
 
Hii sio mechi ya Simba na Yanga kwamba iandikwe kishabiki kirahisi rahisi hivi. Unavyoona Urusi ilikuwa ikisherehekea hii miaka mitatu ya “special operation”? - badala ya wiki tatu walizopanga mwanzoni?

NATO na Marekani wasingeingia kama Zelenskyy na wapiganaji wa Ukraine wasingeonyesha ujasiri na ushujaa wa kukabiliana na Urusi kama walivyofanya. Walitegemea mambo yatakuwa kama jinsi jeshi la Afghanistan lilivyotoweka mbele ya Taliban pamoja na kuachiwa mabilioni ya pesa, silaha na vifaa.

Wasingeweza kutoa msaada wa wapiganaji kuilinda Ukraine.

Show some respect to Zelenskyy and the gallant Ukrainian fighters AND keep watching this space uone kitakachotokea mwishowe. Hizo tabiri za kishabiki zibakie huku uswahilini tu.
... magharibi waliipanga vita hii kabla haijaanza na uchokozi waliufanya wakijua matokeo na watakachofanya!
HII ILIKUWA VITA YA NATO VS RUSSIA TOKA MWANZO!
 
Ila Trump ni kigeugeu pia ni katapeli fulani.
Kama kweli utawala uliopita ulimpatia hicho kiasi kama grant kwanini amgeuke na anadai ni mkopo. Ambane tu kuanzia sasa si kuleta ulaghai kwa kugeuza mambo.
Nasikia na starlink wanaenda kuwazimia internet pia.
Zelensky siku zake ziko numbered na bila shaka kitakachofuata ataanza kutuhumiwa kwa kutumia vibaya pesa ya misaada kwa kujinufaisha.
Big Balls & Co sasa wanatia timu kwa Zele!
KUMOTO!
 
Zelensky aliigizwa kwenye mess na Biden! Hakuna msaada wa bure unaotolewa na US kwa nchi yo yote.
 
Big Balls & Co sasa wanatia timu kwa Zele!
KUMOTO!
Trump hakuna cha bure na hajifichi ni pure business. Alimwambia bwana zele nipe rare earth mineral deal worth $500 bilions. Bwana zele akajizungusha so sasa anaanza kumwekea pressure.
Our next stop itakuwa taiwan.
Ulaya hawaamini wanachokiona wazee wa kufuata mkumbo. Naona wao wanadeal na makampuni makubwa ya tech ya US tu.
 
Back
Top Bottom