Zelensky athibitisha kuwa Bakhmut yote imetekwa na Urusi

Ila mkuu hapa majuzi, wewe ukiongozwa na BBC mlituaminisha Wagner wame retreat leo yako wapi mkuu.
Waliokimbia ni wanajeshi wa Urusi waliokuwa walinzi wa Franks ili Wagner waendelee kupiga deeply.ndio maana Ukraine Bado haijaretreat kwa kuwa Bado wanapigana kwenye frank for encircement.Ili utangagaze lazima ushikurie franks zote ili Baki salama katikati
 
Tatizo uko nyuma ya wakati!! Unanukuu taarifa ya jana jumamosi wakati wenzako wanakupa taarifa ya leo jumapili!!
 
Ndio maana siku zote usema wakati mwingine ni vigumu kumuelewa MK-254, leo hii Rais Zelensky mwenyewe kakiri kwamba amepoteza Bakhamut - lakini yeye anaganganiza kutuletea habari za jana kutoka. kwa highly questionable General.
Hakuna sehemu Zelesky kakiri Bakmut kuchukuliwa leo amekanusha acheni propaganda na unafiki
 
Zele amejichanganya sana mpaka anatia huruma.Wakaja makamanda wake wakajaribu kusahihisha kumbe ndio wanazidi kukoroga,Wanasema wapo kwenye sehemu ambayo si muhimu kamwe lakini wako karibu kuizunguka Bakhmut yote.
Mrusi amejua siku ya kutoa tangazo wakati Zelensky yuko mbele ya mabosi wake.Baada ya kuondoka pale kwenye ukumbi wa waandishi wa habari akajitoa kimasomaso kwenye telegram.Eti hawezi kutoa siri zote za vita lakini Bakhmut bado haiko mikononi mwa Urusi.
 
Vyombo vya habari ni tool muhimu propaganda

Urusi inawalipa CNN na Chombo.cha habari cha Ujerumani cha Dw

Russia baada ya vyombo vyao vya habari kupigwa pini kimataifa wanahonga CNN na DW

Rushwa iko kona
 
Vyombo vya habari ni tool muhimu propaganda

Urusi inawalipa CNN na Chombo.cha habari cha Ujerumani cha Dw

Russia baada ya vyombo vyao vya habari kupigwa pini kimataifa wanahonga CNN na DW

Rushwa iko kona
Wewe maji yamekufika shingoni tulia dozi ikuingie taratibu.
 
 

Attachments

  • Screenshot_20230521-173150.png
    106 KB · Views: 3
Kwa Majina hizo siraha zinatisha, ila UWANJANI hazieleweki wajameni!
 
Acha uongooo mkuu nyinyi pro putin mnaishi kwa uongo sanaa





Hiyo ni breaking news Aljazeera baada Russia kudai wameichukua bakhmut, nadhan kiingereza kinakupiga chenga maneno ya Zelensky ni hayo sio hayo uliyopika wewe na pro putini wenzakoo

Marekani wametoa 37$ Milioni kuzidi kumshughulikia huyo kenge wako, hizi ni habari mbaya ambazo putin hapendi kuzisikia kila mara
 
Kazi imeisha jamaa wameshamaliza kazi waliyotumwa na president Putin angalia hapo.
Elon anataka kutembelea hilo jimbo baada ya kuwa chini ya Russia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…