Zelensky: Ni bora kufa ukiwa umesimama kuliko kuishi umempigia mtu magoti

Ukraine ni kama mtu aliyefuga mbwa Kwa kutegemea kinyesi Cha mlevi wale waliomhamasisha kupigana hawampi tena misaada hapo ndio utaelewa siasa za misaada hawatoi bure wanasababisha vita ili wakuuzie silaha wachukue rasilimali
Wakina nani hao walioanzisha vita and how??
 
Urusi ilitoa ofa ya kukaa mezani na Ukraine au bunduki ndio zitoe suluhisho.
Hata wew ungekuwa Zelensky ofa hizo hazibebeki. Ni ngumu sana nchi itaanguka ndio maana jamaa kaona ni bora nchi ianguke akiwa anapigana kuliko kuiachia kirahisi anajua Kuna vizazi kwa miaka mingine mingi vinakuja Hivyo anaweka Alama kwamba japo tulishindwa lakini tulijaribu
 
Zelensky angetakiwa pia amkubushe JD Vance kuwa Alisha sapoti misimamo ya hilter wazi wazi na akaja kuomba msamaha Hivyo haoni tabu kwa yeye kum sapoti Putin.

Ila nimependa msimamo wa raisi wa Ukraine waafrika tuige mfano
JD ndio muanzilishi wa ulemkutano kuharibika kiasikile, ukimsimiliza utaona anavyo jipendekeza kwa Tramp kichawachawa.

Mpaka anamkumbusha Zelensk maneno aliyoongea Penslovania kipindi cha campeni zauchaguzi kitu ambacho hakikuwa na maana yoyote.



Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Trump Hana regac za uongozi sijui watu wa USA wanafikiria nini ??
 
KWAHIYO ZELENSKY HAKUPANIKI?
 
Ilionesha wazi JD na mwenzake wana chuki ya wazi wazi kisa tu jamaa kagoma kuwa mnyonge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…