Zelensky: Ni bora kufa ukiwa umesimama kuliko kuishi umempigia mtu magoti

Wale mnaoenda marakni ikulu kijinga ndio wajifunxeee kule kumejaaa wapashunatii kibaoo wanakuchekea ukifika wanakata kama mabinti wanakuchambaa loh
 
Ni maeneo gani Trump ametumia utashi wake vizuri so far?
 
Ungekuwa wewe ndio raisi wa Ukraine ungefanya nini kwa kipindi hiki?
 
Watu wangu n MUHIMU zaidi kuliko madini ya Ukraine....chochote kitakachokuwa kwenye mkataba lazima kiwe kinajali MASLAHI ya Wana nchi WA Ukraine

Huyu mwamba nisipomkuta Mbinguni narudi kah
Africa tukipata wakina Zelensky 10 tu wasiopepesa macho mbele ya mabeberu tumetoboa
 
Nyie ndio mnatakiwa kupigwa risasi mchana kweupee
 
Tumetoboa MWAMBAA

Wacha niagize wine Yangu red kwa HESHIMA ya master zelesnky popoe ulipo
 
LAKINI SASA mbona na yeye ANAKUWA haelewani na KILA MTU NA misimamo yake haitabiriki? YEYE haoni KAMA raia wanakufa NCHINI KWAKE? Hilo halimuumi?

Ni sawa , lakini msaada wa marekani ni wenye maumivu ya muda mrefu kwa ukraine.Na personally sijapenda US walichotaka kufanya.

Ni sawa na kumpa msaada mwanamke mwenye shida kwa lengo la kutaka baadaye kumuingilia kimwili.Anayejielewan akikustukia ataukataa msaada wako kutunza staha yake na mahusiano yake na Mungu wake
 
Uandishi wako haupo organized, typically we can't understand what is the logic behind your writing.
 
Umetoa mfano ambao watu wengi ambao hawaelewi huu mgogoro wataelewa
 
Trump unayeita Takataka ana akili za kuondoa umaskini kwenye ukoo wako mpaka kizazi cha 50 toka wewe hapo. Kuwa makini na matumizi ya vidole usiandike uharo tu.
Unafahamu kuwa alisema akiingia madarakani atamaliza vita hii ndani ya saa 24? why is he still struggling???
 
Mwamba mwenyewe Zele man of the people.
 
Fact!
 
Babu Trump Kwa Sasa ni aibu tupu 😁 😁 πŸ‘‡ πŸ‘‡

View: https://x.com/millardayo/status/1896162389348712496?t=3gy57b1NxGZM0olNrxe6jA&s=19
 
Walipanga kumdhalilisha Rais Zelensky wakiona ndio mbinu ya kufanya akubaliane na Kila wanachokitaka.
 
Trump anajiamin yupo smart sana lakini nadhani hamfahamu vizuri huyu Putin ni mtu wa aina gani viongozi wa serikali zilizopita sio wajinga kumtilia mashaka Putin they know what Trump probably doesn't know about Vladimir.
Huyu Mzee (Trump) anadhani ana uwezo wa kumcontrol Putin kuliko Marais waliomtangulia ila baadae sana atajua hajui.
 
Hili andiko lako halina c
Hili andiko lako halina credibility kwa zelenkys kwakuw alishindw kufanya maamuz tangu awali na kuelewa falsafa za dunia .
Zelenkys hana Tofaut na mwanamke anataka kuhudumiwa tuu bila kuhudumia so lipakuja swala la exchange of interest anazngua ,

Pesa zote alipopew ilibd apme kuw atawez malz vta kwa ushind na azlpe sio ajifanye hajui
 
Trump amepatwa na nini? Mbona amekuwa mjinga na katili namna hii?
Kiukweli na mm alivyoanza nilimkubali siku za mwanzoni ila hasa hv anaonekana ni tatizo sio kwa nvhi zingine hata ndani ya taifa lao mfano watu wanapambana kuwapa ajira watu wao ww unakuja kuwaachisha watu badala ya kuongeza ajira kisa kubana matumiz mbona yy kautafuta urais ambayo ni kazi kifupi anachokifanya anaharibu sana hasa ndani ya chama chake atakuja kukipa tabu mgombea ajae ili kushinda maana watu wa record memory huko mbelen watatumia. Lakin pia nadhan hata kichwa hakiko sawa hadi unajiulizaje waliwezaje kumpitisha mtu wa dizaini hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…