Zelensky: Tumewapa hasara kubwa hurusi

Zelensky: Tumewapa hasara kubwa hurusi

Kifaru kimoja kinabeba crew watatu, kuna video moja inaonesha mjeda wa urusi anatoka ndani ya kifaru na kutoka nduki sio mchezo. Ukiona operation ya kijeshi mmepoteza askari zaidi ya kombania moja kuna tatizo sehemu. Inawezekana Russia hakufanya logistic kutambua uwezo wa jeshi la ukraine. Pia ni kama aliichukulia poa back up ya mabeberu maana operation inapokuwa ndefu hasara zake ni kubwa
Ahahaha hiyo video naikumbuka, hata humu kuna thread jamaa flan aliipost.
 
Vita vilikuwepo, vipo na vitaendelea kuwepo hadi mwisho wa dahali

Ninyi mabingwa wa kumtukana Zele nendeni mkawatukane na wapalestina ambao wakikubali kutii na kutawaliwa na waisraeli watoto na wake zao na wao wenye wataishi kwa amani

Kuna watu humu wakivamiwa na majambazi watakua radhi hata kushikishwa ukuta ili “kuokoa” familia zao
 
... Katiba za nchi haziko hivyo wewe; hata Katiba ya JMT hairuhusu Amiri Jeshi Mkuu ku-surrender nchi kwa nchi vamizi kasome Katiba uelewe.
Hivi wewe unajua hata kwanini Russia aliingia ukraine in the first place?
Hapa hatuongelei hisia tunaongelea uhalisia wa maisha na roho za watu.
 
Mwanaume Mchele Mchele kama wewe ndo atakubali kuwekewa masharti na mwanaume mwenzia kwenye mji wake, lakini mwanaume thabiti kama Zelensky, kiduku na hata Putin mwenyewe hawezi kukubali kuwekewa masharti lazima atapambana kama tu anavyopambana Zelensky. Zelensky ni shujaa.
Matusi hata mimi nayaweza tena vizuri sana.
Haya mambo ya kitaifa kwako wewe bado sana mkuu, mimi naongelea facts na uhalisia wewe unaleta ushabiki.
 
Ukrainian President Volodymyr Zelensky said the Ukrainian army has already destroyed more than 1,000 Russian tanks, nearly 200 Russian aircraft, and almost 2,500 armored fighting vehicles.

Despite these losses, Russian troops still have equipment to launch additional attacks, Zelensky said.
Source CNN today 1/05/2022
Kama kuna kaukweli basi urusi kazi wanayo,huwenda ikawa ndio maana wamekimbia kiaina wakidai lengo lao ni East.
Tuwekee hapa na hasara iliyopata ukreini ili twende sawa
 
Umeongea kwa hisia bila logic, punguza mihemko kisha leta nondo za kueleweka. Russia alianza kupika propaganda kitambo kuwa ( ukraine is an artificial country ) so iko chini ya kivuli cha Russia, stalini aliwahi kuwasulubu ukraine kwa kuwanyanganya mashamba then wakadead kama million nne na kidogo. Mgogoro huu umeanza tangu 2014 mpaka inatokea leo. Ukraine sio wajinga wamekaa sana kwenye meza ya maridhiano lakini imeshindikana. Kuna watu wanajali hadhi na heshima ya taifa leo. Kama kiongozi wao angekuwa amekosea nguvu ya umma ingemuondoa hata kabla ya Russia kuvamia. Niukweli mchungu Russia amekosa ushawishi ndani ya ukraine ndio maana raia na jeshi hawajaogopa military superiority yake wameamua zichapwe. Kusurrender tunaweza sisi tu ambao mkuu wa mkoa anaweza kutukataza mjini bila kuoga ila wenzetu wana nguvu za kiume kwelikweli ( strong balls ).
Ona na wewe unaongelea ushabiki vilevile kwenye issue zinazohitaji tremendous critical thinking.
Wale wanawake na watoto wanaokufa kule Ukraine nao wana strong balls?

Hizi ndio akili za zelenskyy, mtu mwenye akili angelinda maisha ya wananchi wake na nchi isingechukuliwa ni mwendo wa diplomacy na akili nguvu zitakuja baadae sio unaingia kichwa kichwa kwa taifa lilokuzidi nguvu.
The calculation of risk and it's consequences.

Idiot comedian leader.
 
Umeongea na kutoa povu sana., Zelensky anasema hatamuachia Mrusi hata Inch 1 kwenye ardhi yake, ndio mana Ukraine inapigana kupambania taifa lao, halafu inaonyesha hujui chochote kwenye hili sakata, Zelensky akisema akubali masharti ya Putini maana yake eneo kubwa tena la kiuchumi akubali liwe sehemu ya Urusi, mfano kule kwenu Tanzania mulikuwa tayari kupeleka majeshi na kupiga na Malawi kwa sababu Malawi walisema lile ziwa Nyasa ni la kwao kwanini sasa mlitaka kuanzisha vita? kwanini?

Ukrean ni Taifa kama ilivyo Tanzania, wana katiba yao, jeshi lao, na kila kitu chao ni nchi yenye mamlaka yake kamili kwanini walazimishwe masharti kutoka nchi nyengine huru ambayo na wao wana maamuzi yao kule na rais wao., enzi za utumwa zimeisha kama wewe bado ni mtumwa hapo ulipo siyo kila mtu na kila nchi

Wacha wapambane mpaka Mrusi atakapomaliza kufurushwa kabisa kabisa na kurudi kwao kama alivyofurushwa Kyiv na kurudi zake Donbas
SAWASAWA KABISA.
 
Ona na wewe unaongelea ushabiki vilevile kwenye issue zinazohitaji tremendous critical thinking.
Wale wanawake na watoto wanaokufa kule Ukraine nao wana strong balls?

Hizi ndio akili za zelenskyy, mtu mwenye akili angelinda maisha ya wananchi wake na nchi isingechukuliwa ni mwendo wa diplomacy na akili nguvu zitakuja baadae sio unaingia kichwa kichwa kwa taifa lilokuzidi nguvu.
The calculation of risk and it's consequences.

Idiot comedian leader.
Hiyo ndio critical thinking yako, waulize watu waliosoma political science wakusaidie angalau ujue kuwa war is an alternative of peace. Ukraine sio wajinga ndio maana wameungana na kiongozi wao, like ni taifa huru wana interest zao hata kujilinda dhidi ya uvamizi wowote. Meza ya maridhiano wamekaa sana kuleta upatanishi. Russia ina tabia ya kufanya territorial invasion pale panye maslahi yake. Yaani wewe critical thinker umeshindwa kujiuliza kwanini Russia kaamua kuvamia kwamba yeye ndio ana haki ya kufanya hivyo. Heshima na matakwa yao lazima vilindwe hata kwa damu na jasho. Una feel sympathy with irationalities, acha wanaume wazichape nidhamu yako ibaki huko kwenu wanzako wameamua kufia vitani kuliko kufuata matakwa ya warusi
 
Hivi wewe unajua hata kwanini Russia aliingia ukraine in the first place?
Hapa hatuongelei hisia tunaongelea uhalisia wa maisha na roho za watu.
Ivi wewe ni mwehu eeeh sasa unabisha nini apa jamaa ajataka ubishi na wewe kakupeleka moja kwa moja kwenye jukumu no moja la Raisi katika nchi husika, katiba zote duniani jukumu la raisi la kwanza ni kuilinda mipaka ya nchi yake sasa wewe sijui unachobishania ni nini je unabishana na katiba au umelewa gongo?
 
Ukifikiri nje ya box utaelewa! Zele ni puppet leader kama mlivyo wengi hapa Afrika! Mawazo yako yananifanya niamini na wewe ni miongoni mwa viongozi vibaraka wa magharibi!
Wewe Mwenye akili mbona unahangaika na kuipamba ccm tu
 
Ujinga wake ni kuongoza Vita vya kuwaondoa wavamizi kwenye taifa lake ?....angekaa kimya mngembeza na kumuita dhaifu na mnyonge bora akomae tu.


Rais Ronald Reagan alikuwa pia msanii ila ndiye aliyeiangusha na kuisambaratisha USSR iliyokuwa kubwa yenye kutisha kuliko Urusi ya sasa,hii kauli ya kujumuisha 'wote' ni makosa.
Watoto wa 1996 hawajui hii
 
Matusi hata mimi nayaweza tena vizuri sana.
Haya mambo ya kitaifa kwako wewe bado sana mkuu, mimi naongelea facts na uhalisia wewe unaleta ushabiki.
Wewe ni mwehu huna fact zozote asee hakuna mwanaume kamili mwenye akili kama za kwako kwamba nyumbani kwako jirani yako akikuvamia na kukupangia masharti unapaswa kumpigia magoti na kumkabidhi familia yako yote ili akuonee huruma acha ubwege wewe mwanaume kamili ni yule anayeipambania familia yake kwa jasho na damu na siyo kuwa na akili za komoni eti ukubali kuvuliwa chupi na mwanaume mwenzio kisa eti ukibisha familia yako itapata maumivu huu ujonga wa design hii kawshauri nduguzo na mkeo!!
 
Ukrainian President Volodymyr Zelensky said the Ukrainian army has already destroyed more than 1,000 Russian tanks, nearly 200 Russian aircraft, and almost 2,500 armored fighting vehicles.

Despite these losses, Russian troops still have equipment to launch additional attacks, Zelensky said.
Source CNN today 1/05/2022
Kama kuna kaukweli basi urusi kazi wanayo,huwenda ikawa ndio maana wamekimbia kiaina wakidai lengo lao ni East.
Hurusi ndio nini?
 
Ivi wewe ni mwehu eeeh sasa unabisha nini apa jamaa ajataka ubishi na wewe kakupeleka moja kwa moja kwenye jukumu no moja la Raisi katika nchi husika, katiba zote duniani jukumu la raisi la kwanza ni kuilinda mipaka ya nchi yake sasa wewe sijui unachobishania ni nini je unabishana na katiba au umelewa gongo?
Sasa matusi ya nini badala ya kutumia hoja?
Hapana mimi sio mwehu ila bila shaka mwehu atakuwa mama yako mkuu.
Mimi nimetoa Opinion yangu kama haukubali nayo then nakwambia how about you stop suckin my Dik?

Mimi sipendi ligi za matusi.
 
Hiyo ndio critical thinking yako, waulize watu waliosoma political science wakusaidie angalau ujue kuwa war is an alternative of peace. Ukraine sio wajinga ndio maana wameungana na kiongozi wao, like ni taifa huru wana interest zao hata kujilinda dhidi ya uvamizi wowote. Meza ya maridhiano wamekaa sana kuleta upatanishi. Russia ina tabia ya kufanya territorial invasion pale panye maslahi yake. Yaani wewe critical thinker umeshindwa kujiuliza kwanini Russia kaamua kuvamia kwamba yeye ndio ana haki ya kufanya hivyo. Heshima na matakwa yao lazima vilindwe hata kwa damu na jasho. Una feel sympathy with irationalities, acha wanaume wazichape nidhamu yako ibaki huko kwenu wanzako wameamua kufia vitani kuliko kufuata matakwa ya warusi
Sawasawa kabisa, ukizingatia mimi silipwi hapa.
 
Back
Top Bottom