Zelensky: Vita ya Urusi imefanya Afrika kuwa "Mateka"

Zelensky: Vita ya Urusi imefanya Afrika kuwa "Mateka"

Pamoja na matokeo haya bado kuna watu Africa wanaishabikia Russia na Putin kuivamia Ukraine., waafrika wengi wamelala usingizi wa pono katika hili nadhan Zelensky anawaamsha Africa kumtambua aduni Putin
 
Akihutubia Umoja wa Afrika (AU), Rais Volodymyr Zelensky amesema Afrika ni "mateka" katika Vita ya Urusi dhidi ya Taifa lake, kwani kuzuiwa kwa usafirishaji wa Nafaka Ukraine kumepelekea uhaba ambao unaweka Mamilioni ya watu katika hatari ya njaa.

Amesema inawezekana Vita inaendelea mbali na Mataifa ya Afrika, lakini ongezeko katika bei za Vyakula tayari limeileta Vita hiyo kwa Mamilioni ya Familia.

Inaripotiwa kuwa Viongozi 55 wa Nchi walikaribishwa kushiriki Majadiliano hayo kwa Njia ya Mtandao, lakini kwa mujibu wa BBC walioshiriki ni Wanne, huku wengine wakituma Wawakilishi.

===

Ukrainian President Volodymyr Zelensky has called Africa "a hostage" of Russia's war during an address to the African Union (AU) on Monday.

Russia's invasion, and its blockade of Ukraine's grain exports, have sparked grain and fertiliser shortages and put millions of people at risk of hunger.

The chair of the AU commission said there was an "urgent need for dialogue" to restore global stability.

Western countries have urged Russia to release Ukraine's vast grain stores.
The blockade has sent food prices soaring.

"Africa is actually a hostage... of those who unleashed war against our state", Mr Zelensky said in his speech.

He said his government was engaged in "complex negotiations" to unblock grain reserves trapped in Ukraine's Black Sea ports.

"This war may seem very distant to you and your countries," he told the AU. "But the food prices that are catastrophically rising have already brought [the war] to the homes of millions of African families."

Mr Zelensky's AU speech comes nearly 10 weeks after he first asked to address the continental body.

The BBC understands that 55 heads of state were invited to the virtual session, but only four attended. The rest of the countries sent representatives.
Awache usanii wake na kututisha.Sisi si watoto wadogo.Tuna ardhi za rutba zinazoota kila kitu kama za kwake.Apigane mwenyewe.Sisi hatutaki ugomvi wake wa kijinga.
 
Duh hivi Zelensky anahisi nchi yake Ni Bora kuliko wengine wote duniani?

Afrika tuna matatizo yet meengi Sana! Vita ipo! Dhuluma zipo! Njaa ipo kote hata kabla ya Vita. Ndio ipo na itaendelea kuwepo! Ni ajabu? Si ajabu!

Hivi Afrika Ni lini tuliskia DRC ikionewa huruma na Ukraine? Wakongo wana Vita kwa miaka 60+ Sasa. lakini Ukraine haijawahi kukemea? Iwe sisi leo?

Kweli waukren wanachofanyiwa na warusi hata Mimi sipendi. Ndio sipendi na inatisha. Lakini ifikie kipindi mabeberu wakitumika na maberu kuumizana tuwaache waumizane! Waumie Sana. Pengine siku inakuja ya wao kuikumbuka na kutuonea huruma Afrika!

Oh Libya ! Libya kutoka taifa tajiri zaidi miongoni mwa Afrika! Leo Libya Ni Kama kaburini!
Sababu Ni wao!

Sina huruma kwao Kama njaa tulishaanza kufa nayo miaka kabla ya kristo.
Hii koment ukiiona inasambaa huko social media kwengne inasambaa usiulize aloisambaza MKUU
Kiufupi UKRAINE waendelee kufa kwa Dozen ili wajue machungu wanayosababishiwa ndugu zetu Kongo Sudan Libya nakwengineko Afrique kote
Bila kusahau madhila wapitiayo IRAQ SYRIA LEBANON PHALESTINE
Kwakweli waache wafe ingawaje ukweli mchungu wanakufa wasio hatia tena kwenye ardhi yakwao
RUSSIA TAIFA TEULE
 
Pamoja na matokeo haya bado kuna watu Africa wanaishabikia Russia na Putin kuivamia Ukraine., waafrika wengi wamelala usingizi wa pono katika hili nadhan Zelensky anawaamsha Africa kumtambua aduni Putin
Tena kazidi kutufanya tumsapot Kamanda PUT IN
Aende akawaambie NATO waingie wapeleke majeshi kama LIBYA sisi Waafrika tuliowengi hatumsapoti
Yeye ndio kalala naanazidi kulala kwaupuuzi wake
PUT IN nyoosha haswa hio PUNDA
 
Akihutubia Umoja wa Afrika (AU), Rais Volodymyr Zelensky amesema Afrika ni "mateka" katika Vita ya Urusi dhidi ya Taifa lake, kwani kuzuiwa kwa usafirishaji wa Nafaka Ukraine kumepelekea uhaba ambao unaweka Mamilioni ya watu katika hatari ya njaa.

Amesema inawezekana Vita inaendelea mbali na Mataifa ya Afrika, lakini ongezeko katika bei za Vyakula tayari limeileta Vita hiyo kwa Mamilioni ya Familia.

Inaripotiwa kuwa Viongozi 55 wa Nchi walikaribishwa kushiriki Majadiliano hayo kwa Njia ya Mtandao, lakini kwa mujibu wa BBC walioshiriki ni Wanne, huku wengine wakituma Wawakilishi.

===

Ukrainian President Volodymyr Zelensky has called Africa "a hostage" of Russia's war during an address to the African Union (AU) on Monday.

Russia's invasion, and its blockade of Ukraine's grain exports, have sparked grain and fertiliser shortages and put millions of people at risk of hunger.

The chair of the AU commission said there was an "urgent need for dialogue" to restore global stability.

Western countries have urged Russia to release Ukraine's vast grain stores.
The blockade has sent food prices soaring.

"Africa is actually a hostage... of those who unleashed war against our state", Mr Zelensky said in his speech.

He said his government was engaged in "complex negotiations" to unblock grain reserves trapped in Ukraine's Black Sea ports.

"This war may seem very distant to you and your countries," he told the AU. "But the food prices that are catastrophically rising have already brought [the war] to the homes of millions of African families."

Mr Zelensky's AU speech comes nearly 10 weeks after he first asked to address the continental body.

The BBC understands that 55 heads of state were invited to the virtual session, but only four attended. The rest of the countries sent representatives.
Anajipendekeza kenge huyo wakati wanaokoa raia wao walikua wanatubagua Waafrika
 
Unawachukia America wakati Kama wasingekuwa wao hata hapa husingebwabwaja, mkeo anategemea kupata chanjo ya Bure ya Kansa ya mlango wa kizazi, mtoto wako atapata bure chanjo za Surua, polio, pepopunda, saver za JF Ni za US, afu unabwabwaja,,, ng'ombe
Aliyekwambia marekani wanatoa hizo chanjo bure ni nani?...acha kuwasifia wanyonyaji hao.. We unajua ni utajiri kiasi gani wanaoiba huku afrika kila mwaka..magonjwa mwengi yanatoka kwao hukohuko wewe wanakufanya kuwa teja..ukikuta mtu anawapenda marekani kuna mawili au hajui kabisa historia ya hao watu ya uovu mwingi wanoufanya kwa mtu mweusi au ndio wale malcom x aliokuwa anawaita house negro yaani ni mtumwa anayenufaika na mateso ya watu wake mwenyewe ili kumfurahisha bwana wake (slave master)

Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nchi 55 lakini viongozi wanne tu jamani khaa, zele kachokwa mazima.
[emoji38][emoji38][emoji38] this time African leaders wamechoka kutumika as toilet paper
 
Back
Top Bottom