Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajui anachoongea huyo...shida ni hizi movie za hollywood wanaona kana mmarekani ni mungu wao....hawajui kama leo ikitokea marekani na washirika wake wakapotea chance ya dunia kuwa sehemu salama ni kubwakweli wewe ni mtoto wa mbu "unajua thamani ya utu". Hizi vita afrAfr hawazioni nani ni msababishi ? Na Kama kila mtu abaki na ya kwake Africa anaishirikisha ili iweje ? Tumsaidie nini ? Si kuna supa bawa huko a.k.a Epson and canon, huyo ndie amsaidie.
Wakati putin kapitisha msosi kuja Afrika wakabweka ila kingepita ulaya kimya. Shtuka thamini utu Kwanza mambo sijui ya internet , chanjo mwarobaini upo.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Nani katekwa?, Miji yake kutekwa anasema Africa imetekwa, sisi tulishatekwa miaka kibao ni sehemu yetu ya maisha, ajinasue yeye mwenye sisi atuache.
Jinga HiloHizo chanjo unazochoma ww wakati wa kujifungua wazungu hawachomi hizo, watu wanapiga biashara na malengo yao ya siri ww unaona kama ni msaada pumbaaavv
Wanaogopa kuonekana wanaipinga Urusiviongozi wa Africa ni waoga sana
Karma [emoji38][emoji38]Ukraine ilipeleka majeshi Iraq wkt wa kumng'oa Saddam,kwa hio ilichangia kuiharibu Iraq mpk ikawa hivi ilivyo leo.So acha ukraine ipigwe pumbuh tu.
We jamaa lazima umeangukiwa na kitu kizito.....unasema marekani anatoa hela nyingi ili vita ziishe? Au umekosea kutype umweahi kujiuliza anaewafadhili hao magaidi ni nani?, matoyota mapya tena new model nan supplier wao?.anayengoza kuhalibu nchi nyingi na kuziingiza kwenye machafuko ni nan(libya congo iraq Afghanistan n.k) . nenda kajifanyie uchunguzi kwanza kabla ya kuongea usiyoyafahamuhv Afrika kuna nchi imevamia jirani yake ? Una jua maana ya civil wars ww ? Huon alichopata Marekani pale Somalia ? Civil wars huwa sio nzur kuingilia instead una maslai binafs , all in all USA anatoa pesa ndefu kuendesha operation za Amani huko Somalia na DRC ila sisi waafrika ndo tunaviendeleza vita ili tuendelew kuipiga hiyo ela , lzm tuone makosa yetu ili tupige hatua , adui wa mwafrika ni mwafrika mwenyew , tawala mbovu zilizojaa rushwa hlf unawalaumu west
sio urusi ni marekaniWanaogopa kuonekana wanaipinga Urusi
Nashangaa eti wanne tu ndio walimsikilizaviongozi wa Africa ni waoga sana
Tanzania inategemea sana Ukraine kwenye chakulaHuyo Zenkily sijui nani' atukome kabisa hatutegemei chakula chao, asitafute huruma kwetu ili aungwe mkono na upuuzi wake, acha wafe na sisi tunapambana hali zetu,
Ukrain alikua na majeshi ya kulinda amani congo vita ilivyo anza wakaitwa woteDuh hivi Zelensky anahisi nchi yake Ni Bora kuliko wengine wote duniani?
Afrika tuna matatizo yet meengi Sana! Vita ipo! Dhuluma zipo! Njaa ipo kote hata kabla ya Vita. Ndio ipo na itaendelea kuwepo! Ni ajabu? Si ajabu!
Hivi Afrika Ni lini tuliskia DRC ikionewa huruma na Ukraine? Wakongo wana Vita kwa miaka 60+ Sasa. lakini Ukraine haijawahi kukemea? Iwe sisi leo?
Kweli waukren wanachofanyiwa na warusi hata Mimi sipendi. Ndio sipendi na inatisha. Lakini ifikie kipindi mabeberu wakitumika na maberu kuumizana tuwaache waumizane! Waumie Sana. Pengine siku inakuja ya wao kuikumbuka na kutuonea huruma Afrika!
Oh Libya ! Libya kutoka taifa tajiri zaidi miongoni mwa Afrika! Leo Libya Ni Kama kaburini!
Sababu Ni wao!
Sina huruma kwao Kama njaa tulishaanza kufa nayo miaka kabla ya kristo.
Alipeleka majeshi DRC KONGO Hakuna wanalolifanya, wanakimbia risasi na KUNUNUA madini kwa uranguzi.Akihutubia Umoja wa Afrika (AU), Rais Volodymyr Zelensky amesema Afrika ni "mateka" katika Vita ya Urusi dhidi ya Taifa lake, kwani kuzuiwa kwa usafirishaji wa Nafaka Ukraine kumepelekea uhaba ambao unaweka Mamilioni ya watu katika hatari ya njaa.
Amesema inawezekana Vita inaendelea mbali na Mataifa ya Afrika, lakini ongezeko katika bei za Vyakula tayari limeileta Vita hiyo kwa Mamilioni ya Familia.
Inaripotiwa kuwa Viongozi 55 wa Nchi walikaribishwa kushiriki Majadiliano hayo kwa Njia ya Mtandao, lakini kwa mujibu wa BBC walioshiriki ni Wanne, huku wengine wakituma Wawakilishi.
===
Ukrainian President Volodymyr Zelensky has called Africa "a hostage" of Russia's war during an address to the African Union (AU) on Monday.
Russia's invasion, and its blockade of Ukraine's grain exports, have sparked grain and fertiliser shortages and put millions of people at risk of hunger.
The chair of the AU commission said there was an "urgent need for dialogue" to restore global stability.
Western countries have urged Russia to release Ukraine's vast grain stores.
The blockade has sent food prices soaring.
"Africa is actually a hostage... of those who unleashed war against our state", Mr Zelensky said in his speech.
He said his government was engaged in "complex negotiations" to unblock grain reserves trapped in Ukraine's Black Sea ports.
"This war may seem very distant to you and your countries," he told the AU. "But the food prices that are catastrophically rising have already brought [the war] to the homes of millions of African families."
Mr Zelensky's AU speech comes nearly 10 weeks after he first asked to address the continental body.
The BBC understands that 55 heads of state were invited to the virtual session, but only four attended. The rest of the countries sent representatives.
Wamsikilize nn wakati kajitakiaNashangaa eti wanne tu ndio walimsikiliza
Huu ni ushahidi kuwa viongozi wa kiafrika hawathamini freedom of expression
Fikiria kama kumsikiliza Raisi mwenzao wanajizuia sembuse raia wao
Kwani wangemdikiliza wangeumwa malaria?