Zelensky: Vita ya Urusi imefanya Afrika kuwa "Mateka"

Belarusi imekusanya karibu askari elfu 4 karibu na mipaka ya Ukraine, Urusi linaweza kuhamisha askari wake haraka huko na kuandaa mapigano mpya, - msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Ukraine Motuzyanik[emoji845]
 
kipind ukolon unaingia pwan za Afrika wapo wajinga walikuwa wanasema km ww , kila tabia huanza kidogo then inakomaa , soon Afrika mkae wa kula
Jifunze kuandika hoja au reply bila matusi . Unaweza kuelewesha TU lakini ukinzani wa kimtizamo si Jambo la kuleta chuki na matusi
 
Kumbe inatembea . Mi hata simo kote huko
 
Ukrain alikua na majeshi ya kulinda amani congo vita ilivyo anza wakaitwa wote
Kongo Kuna majeshi ya nchi kibao. Hadi Pakistan, Brazil, tz , Uganda na hata Russia wanna majeshi kule chini ya mwamvuli wa UN.
 
Kama unapiga ulabu,agiza me ntalipia,nmependa uo mstari "i hate america" naomba niongeze with every breath of my lyf
 
Nani katekwa?, Miji yake kutekwa anasema Africa imetekwa, sisi tulishatekwa miaka kibao ni sehemu yetu ya maisha, ajinasue yeye mwenye sisi atuache.
🤣🤣🤣🤣🤣 Hvyo hvyoooo👍👍👍
 
Unawachukia America wakati Kama wasingekuwa wao hata hapa husingebwabwaja, mkeo anategemea kupata chanjo ya Bure ya Kansa ya mlango wa kizazi, mtoto wako atapata bure chanjo za Surua, polio, pepopunda, saver za JF Ni za US, afu unabwabwaja,,, ng'ombe
Hee,ndio tuipende??? So tuipende German na Britain as well ama wabelgium waliokata sana mikono ya ndugu zetu wakongo kisa now kuna kitu wanaofa, do they ofa for free mate? Si wao walioleta aya majanga?
 
Africa ina majuha wengi
Pamoja na matokeo haya bado kuna watu Africa wanaishabikia Russia na Putin kuivamia Ukraine., waafrika wengi wamelala usingizi wa pono katika hili nadhan Zelensky anawaamsha Africa kumtambua aduni Putin
 
AU na SADC zinafanya kazi gani ??
Msumbiji pale kuna machafuko makubwa na mauaji Yana endelea sijawahi kusikia hata wakitafuta namna ya kuikomboa msumbiji ila kwakuwa this time around wazungu Wana kong'otwa wao Wana taka tuwaunge mkono .. period. Blood faken
 
Wengi ni aina ya jiwe.
Nashangaa eti wanne tu ndio walimsikiliza
Huu ni ushahidi kuwa viongozi wa kiafrika hawathamini freedom of expression

Fikiria kama kumsikiliza Raisi mwenzao wanajizuia sembuse raia wao
Kwani wangemdikiliza wangeumwa malaria?
 
Konde boy Zelenski anaropoka bila kujielewa
 
Kama unapiga ulabu,agiza me ntalipia,nmependa uo mstari "i hate america" naomba niongeze with every breath of my lyf
We ni mswahili safi sana.Itakuwa unatokea maeneo ya Kisarawe.
 
Wa Congo wanasubumbuliwa na kijitu kirefu ambacho kina 49Kgs wanashindwa kukifurusha.
 
We ni mswahili safi sana.Itakuwa unatokea maeneo ya Kisarawe.
🤣🤣🤣Asante mkuu kwa kunipa utaifa ila hapo kwa kisarawe umekosea mzee,me wa bara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…