mkuu wa kijiji
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 966
- 1,052
Tupo hapa makanyagio makaburini tulikuwa tunachimba kaburi na kwenye saa nne tulikuwa tumemaliza sasa tumekaa tunapiga story Tunasubiri kipimo cha sanduku na kuna shabiki wa jiwe akaanzisha story za kumuongezea jiwe mitano tena baada 2025 ghafla mwenye kipimo cha sanduku akaja na kipimo na ndoo mbili. Za msosi wa waliokuwa wanachimba kaburi mwenye kipimo baada kuangalia kaburi akatwambia tuongeze tena kuchumba futi nane maana wafiwa wametuongezea ndoo moja ya msosi
Shabiki wa jiwe akaangalia ndoo kuona ni wali wa Maji na pilau akashika sululu akaingia kuchimba hizo futi nane mpya
Tumebaki na MITANDAO tu ambayo angalau inathubutu kuhoji, kutoa mawazo mbadala, inakosoa, hayo mnayofanya serikali. BUNGE mmeua. Limekuwa NEC ya CCM. Vyombo vya habari mmevikaba koo. Vingine vimejifia kimyakimya. Upinzani ni kama haupo. Sasa mnatuwinda mitandaoni. Baadaye iweje?Msafara wa Waziri Mkuu wiki hii hapa Iringa umekuwa si wa kawaida.
Si wa kawaida kwa kuwa tumezoea viongozi wa kitaifa wakianza Ziara kwa Mkoa fulani, huifanya yote mpaka imalizike.
Lakini nahisi waliopanga Ziara ya Waziri Mkuu kwenye Mkoa wa Njombe hawajaipanga kiumakini.
Juzi Waziri Mkuu alipita hapa ikisemwa anatokea Njombe kwenda Dodoma. Jana alipita tena ikisemwa anatokea Dodoma kwenda Njombe kuendelea na Ziara ya Mkoa wa Njombe.
Leo inaonesha alitakiwa awe Manda bandarini huko Ludewa, na inasemwa kuwa watu walikuwa tayari wamekusanyika ,lakini tena inasemwa anarudi tena Dodoma.
Nani ameipanga hovyo hii Ziara ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kiasi kwamba inaonekana haina utulivu?
Sijui kwa nini siku za hivi karibuni nmekuwa na ham sana ya kutazama TBC.Niko naskiliza TBC leo tangu asubui natamani naskie habari njema hata ya uchumi wa kati
Mshana tupigie RAMLI tujue rais yupo wapi tuzime hii hali ya taharukiNamiliki kilinge cha uchawi ..kina washirikina 400 na ushee
Inasikitisha. Huyu ndege kule kwa mabeberu anatumika kama alama ya hekima na busara. Taasisi kadhaa za great thinkers zimemuweka kwenye nembo zao.
Huku kwetu bongo, anatumika kupigia ramli chonganishi! Tusahau kabisa maendeleo ya viwanda na uchumi wa kati! [emoji15]
Huyu kigogo Leo atafuta acc zake zote maana hakuna mtu atakae muamin tena
Kumbe umemfollowHuyu kigogo Leo atafuta acc zake zote maana hakuna mtu atakae muamin tena
Nimemfollow leo nimeangalia post zake aisee atapata aibu kubwa jion hii acha tuangalie TVKumbe umemfollow
Limewaminisha wajinga jion hii kuna taarifa kubwa Leo anafuta acc zoteKwa nini mkuu
Ni kweli hii ratiba ilikuwa Kama ilivyo Leo ilibidi awe ubaruku lakini naona imehairishwa jamani wenye mapenzi na raisi tunaanza kuwa na Shaka sasa
Limewaminisha wajinga jion hii kuna taarifa kubwa Leo anafuta acc zote