Ziara hii ya Waziri Mkuu mbona haina utulivu?


πŸ™„πŸ™„
 
Hivi nyie watu mbona mna Mambo ya ajabu sana ni kwa nini mnatia hasira nyie kwa hiyo mnataka kumpangia waziri mkuu nia yenu ni nini maana naona sijui mnataka kusikia Tanzania imekuwa ya ajabu sana hii miaka.
Anayesebabisha huo upumbavu ni huyo jamaa yenu anayejiita Jiwe na kuwaambia wenzie waache mavi nyumbani hadharani. The most stupid president ever!! Na hilo linalosemwa kama ni kweli basi na iwe hivyo.
 
Aheri hata wewe umeleta Tumaini kidogo tofauti na wengi wetu kuzua tafrani kwa interest
 
Ikulu ipi? Chamwino? Chato? Magogoni?
 
Kuna kitu kinawasumbua
 
Huwa nawaza kwa sauti..utakuta Magufuli anapitia tweets za wabaya wake.

Kama ilivyokuwa kwa Kim wa Korea..CNN ikamchafua,Ila TRUMP akashtukia mchezo akaiambia dunia KIM ni mzima wa afya na atarudi kwenye shughuli zao.[emoji23][emoji23]
 
Oh mara ikisemwa mara inasemekana sijui inasemwa sijui nini, blah blah tupu kama za mbelgiji Tundu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…