Nchi iko kwenye Auto Pilot!
Inajiendea tu yenyewe kwa uwezo wa Mungu!.
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Inajiendea tu yenyewe kwa uwezo wa Mungu!.
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu uzi umeletwa na MATAGA kutokana na wivu baada ya kuona Mama anaupiga mwingi!Ulikuwa nao na kuona walivyokuwa wanafanya?
Ni upigaji wa pesa za umma tupuNdugu zangu,
Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.
Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.
Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.
Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.
Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
Watanzania hatuchukii mafisadi,, ila tunawaonea Wivu....tunatamani kuwa sisi.....
Chuki ni kwanini sio sisi... ndio maana tukipewa hvyo vyeo tunafanya kama wao.
Na hili ndio jipu linalotakiwa kutumbuliwa,,kila mtu ajitumbue... hapo maendeleo yatakuja...
Wenye dhambi, wanaochukia wenye dhambi wengine,, kwasabu wamefanya dhambi tofauti na dhambi yao
Hawezi kurejesha chochote maana sahivi anajitahidi kuweka kwenye mfumo yale majangili tupuAcha wakae hotelini mkuu hao wameshavuka mto wako ng'ambo huko.
Wafuje wanavyoweza ila watarejesha mahesabu yao eventually.
Ni fikra za kimasikini Raisi anasafiri kwa mikakati sio kukurupuka. Unafikiri Mwigulu angeweza kukutana na makamu wa Raisi wa USA?Mzee wa Msoga (mwalimu wake) aliifanya USA kama sebule yake, lakini alituachia nchi ambayo haikuwa na uwezo wa kulipa hata mishahara ya watumishi wake on time!
Serikali inayoamini Rais ndiye mwenye uwezo wa kutafuta wawekezaji nje ya nchi ni foolish government. Wazifunge tu diplomatic missions zetu zote; wanapoteza taxpayers money bila sababu ya msingi.
HuweziWewe endelea kuniandama tu. Nitadukua account yako ya crypto na kukuibia vicoin vyako vyote uchwara ubaki kulialia.
Utaona basiHuwezi
Hivi rais anaweza kuwa kwenye nchi ya watu halafu asionane na rais wa nchi hiyo inawezekana kweli? Rais wetu ameonana na Beaden au ndio hana nafasi ya kumwona?Ndugu zangu,
Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.
Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.
Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.
Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.
Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
Ulitaka wakafanye wizara chato kwenye kaburi??? Mbona magufuli aliishia kwenye barabara za lami tu huko mikoani huku akizungukwa na mitutu ulishawahi kuhoji hilo?Ndugu zangu,
Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.
Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.
Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.
Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.
Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
Mkuu Nas Jr nakusalimu kwa jina la JMT. Natumaini wahusika watasoma ulichoandika hapa ili kiwe mwongozo wa kufanya "VETTING" ya kuwapata viongozi wazuri (Wasio Mafisadi AU wasioweza kuwa Mafisadi) katika nchi yetu. Mungu atuwezeshe kufikia kiwango cha kuwa "Selfless Leaders"
Ahsante
Ni fikra za kimasikini Raisi anasafiri kwa mikakati sio kukurupuka. Unafikiri Mwigulu angeweza kukutana na makamu wa Raisi wa USA?
sis kw sasa hatuna rais tuvumilie tu hakuna namnaNdugu zangu,
Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.
Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.
Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.
Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.
Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.