Ziara ya Rais kwenye nchi moja (US) kwa zaidi ya siku 5 haina tija. Muda mwingi wapo "idle" hotelini

Ziara ya Rais kwenye nchi moja (US) kwa zaidi ya siku 5 haina tija. Muda mwingi wapo "idle" hotelini

Hivi rais anaweza kuwa kwenye nchi ya watu halafu asionane na rais wa nchi hiyo inawezekana kweli? Rais wetu ameonana na Beaden au ndio hana nafasi ya kumwona?

Schedule ya Biden haiwezi kuwa na slot ya kuonana na gate crashers. Chief Hangaya hayuko pale kwa mwaliko wa U.S. Government. Ana bahati hata kuonana na VP Harris. Angeweza kuambulia kukutana na Blinken (U.S. Secretary of State) tu!
 
Mkuu wa nchi/serikali anayesafiri kwa mkakati haishii kukutana na msaidizi au wasaidizi wa mkuu wa nchi/serikali wa nchi mwenyeji. Uliona hata joint press conference yao jinsi ambavyo ilikuwa empty (haikuwa na cha maana)!
Ulalamishi usio wa msingi ulitaka akae siku mbili !!! tofauti yake ni nini hasa na siku tano kama hata kuna mikutano ya uwekezaji au world bank .... zote hizi zipo US
 
Ulalamishi usio wa msingi ulitaka akae siku mbili !!! tofauti yake ni nini hasa na siku tano kama hata kuna mikutano ya uwekezaji au world bank .... zote hizi zipo US

Ulisoma na kuelewa nilichondika katika andiko langu la kwanza au ulirukia kujibu kabla ya kusoma na kuelewa?
 
Ulisoma na kuelewa nilichondika katika andiko langu la kwanza au ulirukia kujibu kabla ya kusoma na kuelewa?
Pumba tupu kapumzike. Utamwelewa Raisi Samia baada ya miaka huko mbele hii imekuzidi upeo. Kama hujui biashara za kitaifa, mahusiano ya kitaifa na jinsi ya kuleta utalii nchini huwezi kumwelewa.
 
hata sijui hii report ya CAG ataiosoma saa ngapi na kutoa maamuzi saa ngapi!!!
alale pema peponi kamandaaaa!R.I.P ChumaJPM
dua ya mwewe hiyo mungu c wa kuchezewa anajuwa fika unyama alioufanya magufuli hapa duniani kwa hivyo mungu atamuweka anapostahili
 
Schedule ya Biden haiwezi kuwa na slot ya kuonana na gate crashers. Chief Hangaya hayuko pale kwa mwaliko wa U.S. Government. Ana bahati hata kuonana na VP Harris. Angeweza kuambulia kukutana na Blinken (U.S. Secretary of State) tu!
Hata Blinken yuko busy sana,ana maswala mengi sana ya kimataifa ya kudeal nayo.huyo Hangaya labda aonane na mayor tu ndio size yake.
 
Pumba tupu kapumzike. Utamwelewa Raisi Samia baada ya miaka huko mbele hii imekuzidi upeo. Kama hujui biashara za kitaifa, mahusiano ya kitaifa na jinsi ya kuleta utalii nchini huwezi kumwelewa.

Wewe ni wa kuhurumiwa tu, kwasababu hujui leadership ni nini na majukumu ya Rais katika nchi ni yapi.

Voters and taxpayers of your kind are the engine of foolish leadership! Pengine wewe ni chawa.
 
Alafu akirudi anashangiliwa nakupokelewa kwa shangwe.
 
Nimeangalia CBC, Fox, abc, CNN,MSNBC, NBC, nk kote rais wetu haonekani, leo asubuhi nikasema ngoja nicheki wazee wa udaku TMZ hapo napo haonekani kipenzi cha watanzania badala yake wanamuonyesha Mme wa Kamala Harris! Balozi wetu huko huna kazi wewe!
 
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
bila shaka anaangalia series za netflix
 
Unajali kodi wewee? Kodi zetu matrilion yameenda kwa uwanja wa ndege hovyo porini na kutapanywa kwa mahawara
Mmmh ila viongozi wa Kiafrika wakiwa wanaume Wana tabu sana hata wizi unakua mkubwa mana wanawekeza kwenye michepuko na watoto wengi wanaofichwa.
 
Watu walipokuwa wakienda kuishi Chato zaidi ya mwezi mmoja walikuwa hawalipwi?
Okay, posho zimeliwa Chato Ikulu ilipohamia kijijini mwezi mzima, hiyo inaifanya posho kuliwa Marekanu kuwa sawa?

Samia na yeye, the lightweight that she is, anawaza hivyo hivyo, alichokifanya Magu, hata cha ovyo, na yeye sawa kukifanya. Mtu wenu Samia hataweza kuwa bora kuliko JPM kama kipimo cha ufanisi wake ni ubaya wa JPM.
 
Hata hajui kama anatangulizwa kwa mambo apendayo huku wajanja wafanye yao. Anapenda sana safari hizo sijui shida iko wapi?!
 
Hata hajui kama anatangulizwa kwa mambo apendayo huku wajanja wafanye yao. Anapenda sana safari hizo sijui shida iko wapi?!
Si ndio watoto wa mjini hao wazee wa kula bata hata Kikwete aliona urais ulikuwa unambana baadhi ya starehe zake ila tunajua alisafiri sana.
 
Back
Top Bottom