Usemavyo ni kweli kabisa, Uhuru Kenyatta mjanja sana, tena amefurahi kakubaliwa hoja zake kirahisi sana, yeye ndiye alipaswa afanye ziara nchini kwa mazungumzo kwa sababu yeye ndiye alikuwa muhitaji.Unaandika vizungu viiingiii ushuzi mtupu!
Monopolistik sijui manini nini!
Uhuru Kenyatta ni mjanja wa mjini yule.
Kashampiga bao Bibi SASHA.
Unadhani wanapenda kutumia mkaa?Acha kudanganya watu,watanzania wengi tumekuwa masikini kwa sababu ya kutumia nishati duni kama mikaa na kuni. Leo hii umeme ni ghali kwa matumizi ya multpurporse ukija kwenye ges ndo balaa kabisa, laiti kama gesi ingesambazwa majumbani na viwandani tusengekuja hapa kulalamika.gesi ni ya kwetu,itutosheleze kwanza sisi wenye nayo ndo kisha tuitoe nje kama kama itatosheleza . Mfumo ni uleule hatukuwauzia mahindi wakenya kabla hatukujihakikishia kuwa tuna mahindi ya kutosha nchini.
SUKUMA GANG MNAPATA TABU SANATanzania ghafla inakuwa nchi ya ajabu ni aibu kubwa sana
Awamu ya ngapi hiyo ?Uliposema viwanda na gesi, nimekumbuka, Dangote alinyimwa gesi akaamua kutumia Makaa, wakamkatalia pia.
Bakhresa, akanyimwa gesi pale Mwandege.
Gesi ya serikali iliyobaki imesambazwa majumbani kwa staffs wa TPDC na Kinyerezi Tanesco.
Ngoja tuone viwanda vyetu hivi vya mikocheni(TPDC) na Kinyerezi vitakavyoshindana na vile vya urithi vya Kenya vitakavyozalisha kwa urahisi wa gesi yetu wenyewe.
Hoja nyepesi, viwanda si lazima viwe Dar tu, itengenezwe distribution network kwa nchi nzima halafu ndio lije swali la ULIIFANYIA NINI.Jibu wewe uliifanyia nini? Au unafikiri yote tungetumia sisi bila kutafuta masoko??
Sijui tunahesabuje awamu ila ni wakati wa Mkwere na Magu alipoingia hakuligusa jambo hilo kwa kusema gesi si yetu, iliuzwa.Awamu ya ngapi hiyo ?
Mkuu kwa nini unaona haitekelezeki?Kwenye ile mikataba hamna hata kitakachotekelekeza mkuu,wala tusiumize kichwa
Urusi wanauza gesi nje kwa sababu wanayo ya ziada, kila mwananchi urusi na viwanda vyao wqnatumia gesi wakati huku sisi wenyewe hatutumii gesi sanasana imewekwa kwenye nyumba za wqfanyakazi wa TPDCNilisikia kwenye hotuba gesi huwa inasafirishwa kwa njia ya barabara kwenda kenya hivyo gharama inakuwa kubwa ndio maana wameomba bomba.
Kumbe biashara ilianza muda mrefu, kitakachobadirika ni jinsi ya kuisafirisha
Nawaomba mkaisikilize tena ile summury ya hotuba .
Tukumbuke Kenya imetuzidi uchumi kwa 80% .
Elfu 10000 ya Kenya more than100000 ya Tz.
Urusi huuza gesi ulaya na china ila hawana viwanda kama ulaya, Iran huuza gesi China ila hawana viwanda kama China.
Japan ilikuwa inatumia resource za mataifa mengine kuzakisha bidhaa na kuzirudisha bidhaa kuwauzia hao wenye material, Japan iliongoza viwanda bara Asia.
Makaa ya mawe ya Njombe yanasafirishwa hadi Nairobi lakini Njombe hakuna kiwanda chochote kinachotumia makaa ya mawe.
Kwani wakenya wqkinunua mazao wanatumia wao, maparachichi wanauza ulaya, mahindi wanauza Sudan kusiniSiasa za ki magufuli za kishamba zilishapitwa na wakati huu sio muda wake, haya miaka yote hiyo alifanya figisu nini cha maana alikipata?waulize wakulima wa mikoa ya kaskazini nini kiliwapata baada ya mazao yao kukuosa soko, kisa wakenya hawaji kuyanunua!!nchi ya tano duniani kwa kuwekeza Tz, badala ya kuweka mikakati ili uone na wewe unatoka vipi, unawaza kumkwamisha!!sasa rafiki yako awe burundi kuna faida gani hapo?
Mama hana mawazo hayo ya kizamani, hivyo ndio maana umeona heshima aliyopewa, mtu ameajiri watu 50, 000 nchini kwako bado, unamuona tishio?
Wewe usha wekeza huko? Au uko una implement Idea ya wanaume wenzako then unasema twende tukawekeze kenyaUZI WA VILAZA HUU,WENYE POOR I.Q SHOULD BE IGNORED....!
*GES ITAUZWA KENYA
*UMEME TUTAUZA KENYA
*MAMA AMESISITIZA UJAZO WA KIBIASHARA
BAINA YA NCHI ZETU.
*KUONDOA MAKWAZO MIPAKANI
*KODI ZA MIPAKANI KUANGALIWA UPYA
*KAMATI ZA BIASHARA KUKUTANA MARA KWA MARA
*TWENDENI TUKAWEKEZE KENYA,SIONI UBAYA MOJA YA BANK ZETU KUFUNGUA TAWI KENYA KURAHISISHA BIASHARA ZA WATANZANIA KENYA KAMA WAO NA KCB YAO HAPA.A
Urusi wanauza gesi ulaya nzima na wanawauzia mpaka waliowazidi warusi kiuchumi ina maana waache kuwauzia halafu wakae nayo kwa faida gani.? Hayo mawazo ya kichoyo yanaonyesha tabia yako. Unakuta mtu anakataa kukodishia mwingine shamba kisha mwaka jana alivuna mazao mengi kuliko yeye na analiacha shamba linalala na kutengeneza msitu.Kazi ya gesi si kupikia, kujaza Ac, pia kuna gari sasa hivi zinatumia gesi
Kiwanda gani kimenyimwa gesi au unajisemea vitu usivyovijua??Kinacholalamikiwa ni viwanda vya ndani kunyimwa gesi halafu unaenda kumpa mtu wa nje, kwani ukatumia hata 1% tu ya ubongo wako, utapungukiwa na nini?
Shida sio kuuza nje..Tunauza nje kwa faida ipi je sisi wenyewe imetutosheleza kwanza?
Kama uwekejazi wa gas ulitokana na kodi za watanzania basi watanzania hao hao kwanza ndio wafaidike na kodi zao..
Tuuze gas baada ya sisi kuwa imetutosheleza kile kinachozidi (surplus)ndio kiuuzwe..
Viwanda vyetu wenyewe vinahitaji gas lakini gas hiyo hiyo hawapewi..inakuwaje unakwenda kumpa jirani yako!..
Kama kuuza nje kutaingiza fedha za kigeni na kuleta faida zaidi kwanini isiuzwe nje, mi nashauri ipelekwe tu hata IsraelShida sio kuuza nje..Tunauza nje kwa faida ipi je sisi wenyewe imetutosheleza kwanza?
Kama uwekejazi wa gas ulitokana na kodi za watanzania basi watanzania hao hao kwanza ndio wafaidike na kodi zao..
Tuuze gas baada ya sisi kuwa imetutosheleza kile kinachozidi (surplus)ndio kiuuzwe..
Viwanda vyetu wenyewe vinahitaji gas lakini gas hiyo hiyo hawapewi..inakuwaje unakwenda kumpa jirani yako!..