mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Zele suti zote zinampwaya sasa anavaa kama muhuni wa magomeni!!
Aachane na kubembeleza kupewa silaha alinde watu wake alinde taifa lake,akae mezani na Mwamba wamalize tofauti maisha yaendeleeHuyu Zele suti zote zinampwaya sasa anavaa kama muhuni wa magomeni!!
Zele.komaaaa baba usiwe kama.wanaume. baadhi wa JF hata panya Road wakipita traffic light wao mbio wanamlilia mama SamiaAachane na kubembeleza kupewa silaha alinde watu wake alinde taifa lake,akae mezani na Mwamba wamalize tofauti maisha yaendelee
Huyu anatuigizia na kutafta huruma za US na wenzieHivi Zele ndio hana nguo za kubadilisha au anavaa hivo ili aonewe huruma
hahahahaaaa we jamaa punguza unafiki , Urusi haikulipi kituHuyu Zele suti zote zinampwaya sasa anavaa kama muhuni wa magomeni!!
dah nyiny ndo mnajiita waafrika sipat picha mngekuwa kile kizaz cha ukoron mngekuwa kila mkipigwa biti mnatoa had wake zenu kwa wafaransa , na ss hv ndo mnakuwaga wa kwanza kuwatukana akina Nyerere eti waliiongoza wapumbav , weny akili ndo nyiny hamjitambui , at the end of the day Urusi kashajifungulia njia mbaya iwe leo au baada ya miaka 5 ila tambua Urusi atashindwa tu na Ukraine ndo anafungua njia ya kujitenga na Urusi , hata akina Hitler na Napoleon walianza kwa kushinda maeneo makubwa zaid ya haya Putin kayateka ila mwishowe walishindwa , Hata huyo China inaeza fika point akamgeuka Urusi kwa sabab ya misimamo ya Urusi , kwasasa China anataka kuhakikishiwa kutoingiliwa maslai yake huko Hongkong na Taiwan , pia India sio wa Kutegemea kbs maana wanaujua uchumi wao so hawawez jiingiza kwenye mgogoro mzito namna hii , wahindi sio wa kuhamini kbsAachane na kubembeleza kupewa silaha alinde watu wake alinde taifa lake,akae mezani na Mwamba wamalize tofauti maisha yaendelee
ww unaeza kubali bint yako umpe uhuru binafs ila bado anakaa kwako yaan ndan ya nyumba yako yy awe na maamuz binafs na yaheshimiwe , akitaka kulala nje sawa ila akipata matatizo unayabeba ww , muda mwingine muache ushabiki maandaz , Ipo siku yakitokea kwenye nchi yako ndo utaelewa ,Putin kuvamia Crimea ndo alivunja makubaliano ya Uhuru wa Ukraine kutoka USSR kuwa Urusi haitokuja kuivamia Ukraine au kuhatarisha usalama wake ( hili ndio lilikuwa la kwanza mulizungumzuie ila mmeruka hadi matukio ya mbele kbs , najiulizaga tu hizi chuki zenu kwa MAREKANI na huku huyo MAREKAN ndo anawajengea vyoo watoto zenu shuleni wanye na pia mnatibiwa kwa misaada ya dawa za marekani bila kisahau vitabu mashuleni ni misaada ya Marekank hata bajeti yenu misaada ya Marekani , Siku USA ikijitoa kbs nchinI mwenu ndo mnakuwaga wakwanza kusema mbona zaman ilikuwa hv , waafrika bado tuna element za wanyama wa mwituni hatujitambui , Kobaz umeweka mbele kuliko akili )Alichokikataa na alichokipata sijui anajifikiriaje? Mkataba wa Minsky ulikuwa mzuri sana, ilikuwa ni kutoa tu madaraka ya ndani kwa jimbo la Donbas na bado likawa chini ya Ukraine kama ilivyo Hongkong. Alikataa hilo matokeo yake jimbo limejitenga na kujitangazia uhuru wake na Urisi imeamua kuwakingia kifua na kuwalinda!!
ttzo ww muafrika mtaji wa mabeberu, bado upo na low IQ unawaza kupendeza tu , Nchi ipo vitaniHivi Zele ndio hana nguo za kubadilisha au anavaa hivo ili aonewe huruma