Ziara ya viongozi wa nchi 4 nchini Ukraine: Sura zao hazioneshi matumaini

Ziara ya viongozi wa nchi 4 nchini Ukraine: Sura zao hazioneshi matumaini

dah nyiny ndo mnajiita waafrika sipat picha mngekuwa kile kizaz cha ukoron mngekuwa kila mkipigwa biti mnatoa had wake zenu kwa wafaransa , na ss hv ndo mnakuwaga wa kwanza kuwatukana akina Nyerere eti waliiongoza wapumbav , weny akili ndo nyiny hamjitambui , at the end of the day Urusi kashajifungulia njia mbaya iwe leo au baada ya miaka 5 ila tambua Urusi atashindwa tu na Ukraine ndo anafungua njia ya kujitenga na Urusi , hata akina Hitler na Napoleon walianza kwa kushinda maeneo makubwa zaid ya haya Putin kayateka ila mwishowe walishindwa , Hata huyo China inaeza fika point akamgeuka Urusi kwa sabab ya misimamo ya Urusi , kwasasa China anataka kuhakikishiwa kutoingiliwa maslai yake huko Hongkong na Taiwan , pia India sio wa Kutegemea kbs maana wanaujua uchumi wao so hawawez jiingiza kwenye mgogoro mzito namna hii , wahindi sio wa kuhamini kbs
Ume analyse ukijenga hoja ipi.

Katika kujenga hoja wewe unaongea as if, Dunia imeanza Leo na huu ni mgogoro namba moja wa Kwanza. Nooo.

Umeongea as if una hakika na hatua itayofata baada ya Aidha Ukraine kusalimu,au kifutwa kwenye ramani.

Mimi nilianaangia Finland na Sweden kufanya kile kilichomuudhi Russia Kwa kutaka kujaribu kujiunga na NATO, na Ili urusi achukie awavamie Sweden na Finland Kwa namna wanavyotaka kujaribu kutaka kujiunga. Lloh hawez kufanya hivyo, badala yake ataimarisha Mazoez kuleee eneo la karib na Poland, Latvia, Lithuania nk. Nikatika mbinu z kivita na kujihami.

Narudia kusema kwamba msisahau kuwa vita ya pili ya Dunia walioumizwa sio kwelykwamba wamesahau. German hajasahau,lkn hawez kujitoa ufahamu,itali na wengine, uingereza anakumbukumbu nyingi, Hawa watu hawawezi kufanya mnchofikiria, Russia bado ana uwezo wa kusoma vita. Polar la NATO bado itaendelea kuwa na nguvu lkn inajihani Sana kujihusisha individual
 
ww unaeza kubali bint yako umpe uhuru binafs ila bado anakaa kwako yaan ndan ya nyumba yako yy awe na maamuz binafs na yaheshimiwe , akitaka kulala nje sawa ila akipata matatizo unayabeba ww , muda mwingine muache ushabiki maandaz , Ipo siku yakitokea kwenye nchi yako ndo utaelewa ,Putin kuvamia Crimea ndo alivunja makubaliano ya Uhuru wa Ukraine kutoka USSR kuwa Urusi haitokuja kuivamia Ukraine au kuhatarisha usalama wake ( hili ndio lilikuwa la kwanza mulizungumzuie ila mmeruka hadi matukio ya mbele kbs , najiulizaga tu hizi chuki zenu kwa MAREKANI na huku huyo MAREKAN ndo anawajengea vyoo watoto zenu shuleni wanye na pia mnatibiwa kwa misaada ya dawa za marekani bila kisahau vitabu mashuleni ni misaada ya Marekank hata bajeti yenu misaada ya Marekani , Siku USA ikijitoa kbs nchinI mwenu ndo mnakuwaga wakwanza kusema mbona zaman ilikuwa hv , waafrika bado tuna element za wanyama wa mwituni hatujitambui , Kobaz umeweka mbele kuliko akili )
Nataman vyote unavyovitetea na kuvishangilia kwamba vinafanywa na huyo USA hapa nchini ifike siku au hata sasa aache. Nachukia mtu anaedhangilia kupewa vya bure au misaada pasipo kuwa na plan wala ndoto ya kujitegemea siku moja. Bora ulale njaa, bora utembee uchi, bora uishi nyumba mbovu ila kicheani na katika matendo umekubali na unamihangaiko ya kujitengenezea maisha yako ya uhuru wa kujitegemea kwa hapo baadae.
 
That is the last shake hand of zeleski
Hahaahaha unamlaani Mkuu.

Niulize swali ambalo siku zote huwa linaniumiza,
Huyu Urussi kwa mfano juzi kati hapo kalipua na mabomu eneo lililokuwa limetumika kuhifadhi silaha za msaada toka Marekani.

Je anashindwaga nini kulipua ikulu pwaaa huyu jamaa alipo kuteketea na vita kuisha,

Mfano huu mkutano haukuwa siri, ukumbi, eneo na muda vinajulikana ni kwa nini hapalipuliwi??
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bure kabisa.
Zele.komaaaa baba usiwe kama.wanaume. baadhi wa JF hata panya Road wakipita traffic light wao mbio wanamlilia mama Samia
 
Hahaahaha unamlaani Mkuu.

Niulize swali ambalo siku zote huwa linaniumiza,
Huyu Urussi kwa mfano juzi kati hapo kalipua na mabomu eneo lililokuwa limetumika kuhifadhi silaha za msaada toka Marekani.

Je anashindwaga nini kulipua ikulu pwaaa huyu jamaa alipo kuteketea na vita kuisha,

Mfano huu mkutano haukuwa siri, ukumbi, eneo na muda vinajulikana ni kwa nini hapalipuliwi??
Hawezi kulipua hata Zelensky aende Zeveredonesk halipuliwi tu!
 
Hiyo ziara nimiuonyesha dunia kuwa Ukraine maeneo yako salama

Urusi ilijitia kuwa I geiteka Kyiv ndaninya saa 72 ilishindwa

Sasa viongozi kutembelea wanatumia ujumbe kwa Russia kuwa hana chochote cha kuwafanya ukraine
Uzuri nikwamba UKRAINE kuna vifusi vyakutosha kila mji
PUT IN aendelee kuwanyoosha mnanyooka taratib taratiib
 
dah nyiny ndo mnajiita waafrika sipat picha mngekuwa kile kizaz cha ukoron mngekuwa kila mkipigwa biti mnatoa had wake zenu kwa wafaransa , na ss hv ndo mnakuwaga wa kwanza kuwatukana akina Nyerere eti waliiongoza wapumbav , weny akili ndo nyiny hamjitambui , at the end of the day Urusi kashajifungulia njia mbaya iwe leo au baada ya miaka 5 ila tambua Urusi atashindwa tu na Ukraine ndo anafungua njia ya kujitenga na Urusi , hata akina Hitler na Napoleon walianza kwa kushinda maeneo makubwa zaid ya haya Putin kayateka ila mwishowe walishindwa , Hata huyo China inaeza fika point akamgeuka Urusi kwa sabab ya misimamo ya Urusi , kwasasa China anataka kuhakikishiwa kutoingiliwa maslai yake huko Hongkong na Taiwan , pia India sio wa Kutegemea kbs maana wanaujua uchumi wao so hawawez jiingiza kwenye mgogoro mzito namna hii , wahindi sio wa kuhamini kbs
Putin anafanya kweli wewe unaleta zilipendwa ?,pathetic
 
Mwezi 5 sasa taja eneo lilotangazwa rasmi na urusi kwamba wamefanikiwa kumega, russia anatumia zaidi ya $milioni 16 kwa siku vita ya Ukraine, na kwa taarifa za uhakika walizotoa Ukraine juzi Russia hupoteza askari 250 kila baada ya masaa 24., sasa kama bajeti ya Putin ni miezi 6 maana yake ni kwamba bado mwezi mmoja aendelee kufilisika bila ya mafanikio., Marekani wamepitisha bajeti ya miaka 5 kuisaidia Ukraine ikibidi vita kufikia muda huo., sasa inamisha kichwa chini ufikirie nani anaenda kuumia kwenye hii muiitayo operesheni.
Hakuna anaeumia MKUU na URUSI hajafanikiwa kumega chochote ila UKRAINE muda huu imefika SOCHI
FB_IMG_16542554697688120.jpg
 
Hahaahaha unamlaani Mkuu.

Niulize swali ambalo siku zote huwa linaniumiza,
Huyu Urussi kwa mfano juzi kati hapo kalipua na mabomu eneo lililokuwa limetumika kuhifadhi silaha za msaada toka Marekani.

Je anashindwaga nini kulipua ikulu pwaaa huyu jamaa alipo kuteketea na vita kuisha,

Mfano huu mkutano haukuwa siri, ukumbi, eneo na muda vinajulikana ni kwa nini hapalipuliwi??
Kwasababu sheria zakinataifa au sheria za vita haziruhusu RAIS ama kiongozi wanchi husika
Kuuwawa ama kuuliwa wakati wa VITA
(Kuna mtu alinijibu hivi nluvyomuuliza swali kama lako)
 
20% kwa miezi 5 ni aibu kubwa sana., na hii 20% sio sasa ilivyo maeneo mengi Ukraine wamegomboa na kuru wenyewe
Wagomboe ila kufa watakufa sanaaaa nandio OP inaendelea hata miaka mia
 
ebu twende kwa hoja , Ukraine aliikosea nini Urusi mpk ivamiwe ? ( ila km upo tyr kwa debate , km unaeka mahaba bas tuishie hapa )

Ukraine na Urusi walikua ni kama ndugu, kuna Warusi kibao wanaishi Ukraine hada katika majimbo ya DONBASS ambako pia Kirusi kinaongelewa sana lakini kwa kiaka kama 8 ukraine imekua ikipinga Kitusi kutumika ndani ya Ukraini hata mashuleni walipiga matufuku.

Utamaduni wa kirusi pia ulipigwa marufuku ndio harakati za hayo majimbo kujitenga zikaanza. Ukraine ikapeleka askari wake katika hayo maeneo kuzima vuguvugu la hao watu kujitenga na wameshambulia kwa takribani miaka 8 na hili linajulikana Dunia nzima.

Jambo jingine kuna makubaliano kati ya Urusi na Ukraine kwamba bwana Ukraine siku zote atakua neutral ila hivi karibuni akawa anajifanya kujitoa ufahamu na kutaka ajiunge NATO. Kwa hayo tu inatosha kuonyesha jinsi gani hao jamaa wakorofi.

Hili halitaishia hapo tu kuna wengine janga kama la Ukraine litawakumba pia. Finland na Sweden na swala la muda tu pia watachakazwa.
 
Issue kubwa mkuu hapo ni Ukraine kujiunga na European union ambayo Putin aliapa ukraine wakijiunga atawasha moto., sasa Zelensky anataka kwa haraka Ukraine wakubaliwe ndio mjadala tu

Putin hajaizuia ukraine kujiunga na EU ambacho hataki na wanamakubaliano kabisa ni Ukraine kutojiunga NATO maana akiingia kule tu US ataweka military base zake pale Ukraine na usalama wa Russia utakua hatalini. Rejea hata jana kwenye SPIEF kaliongea hili Putin kuwa yeye hana tatizo lolote na Ukraine kujiunga EU
 
Kwa nini Finland ambayo imeomba rasmi kujiunga na NATO ila Putin hajaivamia mpaka sasa wakati Ukraine ambayo haijawahi kabisa kuomba kujiunga na NATO kaivamia??
Putin hajaizuia ukraine kujiunga na EU ambacho hataki na wanamakubaliano kabisa ni Ukraine kutojiunga NATO maana akiingia kule tu US ataweka military base zake pale Ukraine na usalama wa Russia utakua hatalini. Rejea hata jana kwenye SPIEF kaliongea hili Putin kuwa yeye hana tatizo lolote na Ukraine kujiunga EU
 
Back
Top Bottom