BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Siku si nyingi Zele ataanza kujiita yatima ili anao waomba msaada wamfikirie kwa huruma zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binadamu tunatofautiana. Wako wanaopenda kunyenyekea miamba (subservience) na wako wasiokubali kunyanyaswa na wako tayari kujitoa mhanga.Aachane na kubembeleza kupewa silaha alinde watu wake alinde taifa lake,akae mezani na Mwamba wamalize tofauti maisha yaendelee
Asante Mkuu kwa jibu lako, Japo bado napata kigugumizi Sadam hussein walikamata na kwenda kunyongaKwasababu sheria zakinataifa au sheria za vita haziruhusu RAIS ama kiongozi wanchi husika
Kuuwawa ama kuuliwa wakati wa VITA
(Kuna mtu alinijibu hivi nluvyomuuliza swali kama lako)