adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Cha juu kila day anacho hakibanduki kama muhuni wa Buza .Hivi Zele ndio hana nguo za kubadilisha au anavaa hivo ili aonewe huruma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha juu kila day anacho hakibanduki kama muhuni wa Buza .Hivi Zele ndio hana nguo za kubadilisha au anavaa hivo ili aonewe huruma
Unaongelea mkataba WA mwanzo kabisa bila kuongea Hali ya sasa na tabia za Ukrein Rusia alikubali kuilinda Ukrein na ata zamani alikubali kutoa majimbo yake Kwa Ukrein Ila ni nn Ukrein analipa Kwa Rusia? Tamaa na kuona kuwa Rusia ni adui kwao wanamkaribisha adui tena adui mkubwa kabisa na kujiisi Wana haki iyoo ndyo wanayoo VIP marekani angekubali haya yatokee Kwa Mexico Rusia akite kambi zake pale umeiandika kishabiki kama geopolitical ya dunia huijui kilichomtokea Ukrein Kwa Rusia ata Marekani angefanya Kwa Mexico unasma Rusia atajitenga mwenyewe Ila tatizo mnaichukulia Rusia kama Hungary au vinchi vingine vya ulaya mnabaki kusema Rusia Hana uchumi mkubwa Ila naona wote mmejionea jinsi dunia ilivyobadilika Kwa miezi hiii mitatuww unaeza kubali bint yako umpe uhuru binafs ila bado anakaa kwako yaan ndan ya nyumba yako yy awe na maamuz binafs na yaheshimiwe , akitaka kulala nje sawa ila akipata matatizo unayabeba ww , muda mwingine muache ushabiki maandaz , Ipo siku yakitokea kwenye nchi yako ndo utaelewa ,Putin kuvamia Crimea ndo alivunja makubaliano ya Uhuru wa Ukraine kutoka USSR kuwa Urusi haitokuja kuivamia Ukraine au kuhatarisha usalama wake ( hili ndio lilikuwa la kwanza mulizungumzuie ila mmeruka hadi matukio ya mbele kbs , najiulizaga tu hizi chuki zenu kwa MAREKANI na huku huyo MAREKAN ndo anawajengea vyoo watoto zenu shuleni wanye na pia mnatibiwa kwa misaada ya dawa za marekani bila kisahau vitabu mashuleni ni misaada ya Marekank hata bajeti yenu misaada ya Marekani , Siku USA ikijitoa kbs nchinI mwenu ndo mnakuwaga wakwanza kusema mbona zaman ilikuwa hv , waafrika bado tuna element za wanyama wa mwituni hatujitambui , Kobaz umeweka mbele kuliko akili )
Mkiulizwa puttin kasema lini atatumia masaa 72 mnaishi kuwa kimyaa hakuna anayejua operation ni ya muda gn na zaidi ya mwenyewe puttin mliobaki kauli za kujifariji wakati Ukraine inateketeaHiyo ziara nimiuonyesha dunia kuwa Ukraine maeneo yako salama
Urusi ilijitia kuwa I geiteka Kyiv ndaninya saa 72 ilishindwa
Sasa viongozi kutembelea wanatumia ujumbe kwa Russia kuwa hana chochote cha kuwafanya ukraine
Log off na ukombie kabisa 🏃🏃Mambo magumu
Nalog off Z
Mawazo Yako wakati nchi inaendelea kumegwa Kila kukicha,andelee kudanganywa na mabeberu aona siku kyvi ikifikiwa atafute pakutokea.Hiyo ziara nimiuonyesha dunia kuwa Ukraine maeneo yako salama
Urusi ilijitia kuwa I geiteka Kyiv ndaninya saa 72 ilishindwa
Sasa viongozi kutembelea wanatumia ujumbe kwa Russia kuwa hana chochote cha kuwafanya ukraine
ebu twende kwa hoja , Ukraine aliikosea nini Urusi mpk ivamiwe ? ( ila km upo tyr kwa debate , km unaeka mahaba bas tuishie hapa )Unaongelea mkataba WA mwanzo kabisa bila kuongea Hali ya sasa na tabia za Ukrein Rusia alikubali kuilinda Ukrein na ata zamani alikubali kutoa majimbo yake Kwa Ukrein Ila ni nn Ukrein analipa Kwa Rusia? Tamaa na kuona kuwa Rusia ni adui kwao wanamkaribisha adui tena adui mkubwa kabisa na kujiisi Wana haki iyoo ndyo wanayoo VIP marekani angekubali haya yatokee Kwa Mexico Rusia akite kambi zake pale umeiandika kishabiki kama geopolitical ya dunia huijui kilichomtokea Ukrein Kwa Rusia ata Marekani angefanya Kwa Mexico unasma Rusia atajitenga mwenyewe Ila tatizo mnaichukulia Rusia kama Hungary au vinchi vingine vya ulaya mnabaki kusema Rusia Hana uchumi mkubwa Ila naona wote mmejionea jinsi dunia ilivyobadilika Kwa miezi hiii mitatu
acha fuatilia , sio hawawez kukujib ila wanaona upo na low memoryMkiulizwa puttin kasema lini atatumia masaa 72 mnaishi kuwa kimyaa hakuna anayejua operation ni ya muda gn na zaidi ya mwenyewe puttin mliobaki kauli za kujifariji wakati Ukraine inateketea
nasikia Mrusi alitaka kurusha kitu hapa !!
Huwa nakuamini sana, lakini kwenye huu mgogoro naona unafanya makusudi na umeamua kusimamia unachokipenda na kuukwepa ukweli.Hiyo ziara nimiuonyesha dunia kuwa Ukraine maeneo yako salama
Urusi ilijitia kuwa I geiteka Kyiv ndaninya saa 72 ilishindwa
Sasa viongozi kutembelea wanatumia ujumbe kwa Russia kuwa hana chochote cha kuwafanya ukraine
Wabongo wa gongo la mboto sasa mna taaluma ya kusoma sura wazungu, kweli mnatisha sana, mlisema Zelensky kakimbia Ukraine vipi sasa na jamaa anaonekana anapiga chuma balaa, kwanini Putin hapo hakurusha japo kajiwe kadogo tu kikamgusa Macron?
Hawezi kuthubutu kufanya huo utaira.nasikia Mrusi alitaka kurusha kitu hapa !!
Issue kubwa mkuu hapo ni Ukraine kujiunga na European union ambayo Putin aliapa ukraine wakijiunga atawasha moto., sasa Zelensky anataka kwa haraka Ukraine wakubaliwe ndio mjadala tuMambo magumu
Nalog off Z
nyie hamjamuelewa zele kwa nn kavaa hivyo .yaani hiyo ni meseji ya kuwaonyesha kuwa kwa Sasa anawachukulia poa ,na sio watu muhimu kwake .na Hana la kupoteza kuhusu wao ,waje au wasije ,poa tu !! Huoni wanajichekesha lkn zele Hana hisia na vitabasamu vyao . halafu huyo mwenye pia ndefu ni Kama ana anamwambia zele kimoyomoyo pole dogo,mjini shule!![emoji23]Hivi Zele ndio hana nguo za kubadilisha au anavaa hivo ili aonewe huruma
Mkuu hiyo nguo sio ile mitumba ya kariakoo ni maalum kwa ajili ya kukingia risasi.,Huyu Zele suti zote zinampwaya sasa anavaa kama muhuni wa magomeni!!
Af nyie machoko ficheni upumbavu, hivi Russia anashindwa kuipiga hio Kiev kwa akili zenu za mavi mavi? Huo ni mji wa serikali ndio maana hataki kupaharibu.Hiyo ziara nimiuonyesha dunia kuwa Ukraine maeneo yako salama
Urusi ilijitia kuwa I geiteka Kyiv ndaninya saa 72 ilishindwa
Sasa viongozi kutembelea wanatumia ujumbe kwa Russia kuwa hana chochote cha kuwafanya ukraine
Zelensky kala New Balance na Bullet proof Tshirt kuashiria yupo tayari kufirigiswa na AK 47 ya Putin anytime
Mwezi 5 sasa taja eneo lilotangazwa rasmi na urusi kwamba wamefanikiwa kumega, russia anatumia zaidi ya $milioni 16 kwa siku vita ya Ukraine, na kwa taarifa za uhakika walizotoa Ukraine juzi Russia hupoteza askari 250 kila baada ya masaa 24., sasa kama bajeti ya Putin ni miezi 6 maana yake ni kwamba bado mwezi mmoja aendelee kufilisika bila ya mafanikio., Marekani wamepitisha bajeti ya miaka 5 kuisaidia Ukraine ikibidi vita kufikia muda huo., sasa inamisha kichwa chini ufikirie nani anaenda kuumia kwenye hii muiitayo operesheni.Mawazo Yako wakati nchi inaendelea kumegwa Kila kukicha,andelee kudanganywa na mabeberu aona siku kyvi ikifikiwa atafute pakutokea.