Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Anatumia mafuta ya samakiHuyo Zele kavaa poa sana, anabeba chuma nini siku hizi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatumia mafuta ya samakiHuyo Zele kavaa poa sana, anabeba chuma nini siku hizi?
Anajua viongozi wengi Ulaya ni upinde wa mvua, hivyo anawaonesha tuviazi viazi amnase mmoja wao azae nayeHivi Zele ndio hana nguo za kubadilisha au anavaa hivo ili aonewe huruma
Unasema eneo hata moja lililobebwa na Urusi? Dogo 24% ya eneo la Ukraine lipo mikononi mwa Urusi.Mwezi 5 sasa taja eneo lilotangazwa rasmi na urusi kwamba wamefanikiwa kumega, russia anatumia zaidi ya $milioni 16 kwa siku vita ya Ukraine, na kwa taarifa za uhakika walizotoa Ukraine juzi Russia hupoteza askari 250 kila baada ya masaa 24., sasa kama bajeti ya Putin ni miezi 6 maana yake ni kwamba bado mwezi mmoja aendelee kufilisika bila ya mafanikio., Marekani wamepitisha bajeti ya miaka 5 kuisaidia Ukraine ikibidi vita kufikia muda huo., sasa inamisha kichwa chini ufikirie nani anaenda kuumia kwenye hii muiitayo operesheni.
kumpangia jirani yako aishije ni kazi ngumu, naona njia nyeupe kwa Ukraine kuingia EU mapema zaidi ya ilivyotarajiwa.Issue kubwa mkuu hapo ni Ukraine kujiunga na European union ambayo Putin aliapa ukraine wakijiunga atawasha moto., sasa Zelensky anataka kwa haraka Ukraine wakubaliwe ndio mjadala tu
Sawa my Ukraine wa buza ni mawazo Yako,kuunga mkono TU ushetani wa mabeberu ni ishara ya ushiriki wako katika mambo hayo, marekani na unaojiita umoja wa ulaya wanaojidai wamiliki wa dunia Hicho ndio sitaki na ndio asichotaka mrusi ,mchina na wengine wanaokandamindamizwa....dah nyiny ndo mnajiita waafrika sipat picha mngekuwa kile kizaz cha ukoron mngekuwa kila mkipigwa biti mnatoa had wake zenu kwa wafaransa , na ss hv ndo mnakuwaga wa kwanza kuwatukana akina Nyerere eti waliiongoza wapumbav , weny akili ndo nyiny hamjitambui , at the end of the day Urusi kashajifungulia njia mbaya iwe leo au baada ya miaka 5 ila tambua Urusi atashindwa tu na Ukraine ndo anafungua njia ya kujitenga na Urusi , hata akina Hitler na Napoleon walianza kwa kushinda maeneo makubwa zaid ya haya Putin kayateka ila mwishowe walishindwa , Hata huyo China inaeza fika point akamgeuka Urusi kwa sabab ya misimamo ya Urusi , kwasasa China anataka kuhakikishiwa kutoingiliwa maslai yake huko Hongkong na Taiwan , pia India sio wa Kutegemea kbs maana wanaujua uchumi wao so hawawez jiingiza kwenye mgogoro mzito namna hii , wahindi sio wa kuhamini kbs
Sasa unaweza kutoka urusi Kwa gari kupitia Ukraine iliyomegwa Hadi unaotokea cremia bado kidogo TU ,uweze kufika Romania na Moldova🏃Mwezi 5 sasa taja eneo lilotangazwa rasmi na urusi kwamba wamefanikiwa kumega, russia anatumia zaidi ya $milioni 16 kwa siku vita ya Ukraine, na kwa taarifa za uhakika walizotoa Ukraine juzi Russia hupoteza askari 250 kila baada ya masaa 24., sasa kama bajeti ya Putin ni miezi 6 maana yake ni kwamba bado mwezi mmoja aendelee kufilisika bila ya mafanikio., Marekani wamepitisha bajeti ya miaka 5 kuisaidia Ukraine ikibidi vita kufikia muda huo., sasa inamisha kichwa chini ufikirie nani anaenda kuumia kwenye hii muiitayo operesheni.
Tangu vita ianze naona anavaa t-shirt na kadet au jinsi.Huyo Zele kavaa poa sana, anabeba chuma nini siku hizi?
Nahis ni nguo zake za operation. Kikinuka karibu yake, anavaa koti la jeshi anaingia mzigoniHivi Zele ndio hana nguo za kubadilisha au anavaa hivo ili aonewe huruma
Wanayooshwa wenye vichwa ngumu,wanaojidai wababe wadunia na mahodari WA fitna na uonevu🤔Mwezi 5 sasa taja eneo lilotangazwa rasmi na urusi kwamba wamefanikiwa kumega, russia anatumia zaidi ya $milioni 16 kwa siku vita ya Ukraine, na kwa taarifa za uhakika walizotoa Ukraine juzi Russia hupoteza askari 250 kila baada ya masaa 24., sasa kama bajeti ya Putin ni miezi 6 maana yake ni kwamba bado mwezi mmoja aendelee kufilisika bila ya mafanikio., Marekani wamepitisha bajeti ya miaka 5 kuisaidia Ukraine ikibidi vita kufikia muda huo., sasa inamisha kichwa chini ufikirie nani anaenda kuumia kwenye hii muiitayo operesheni.
Nyie wote wachochezi kama walivyo mabeberu🤔Wabongo wa gongo la mboto sasa mna taaluma ya kusoma sura wazungu, kweli mnatisha sana, mlisema Zelensky kakimbia Ukraine vipi sasa na jamaa anaonekana anapiga chuma balaa, kwanini Putin hapo hakurusha japo kajiwe kadogo tu kikamgusa Macron?
Hiyo ziara nimiuonyesha dunia kuwa Ukraine maeneo yako salama
Urusi ilijitia kuwa I geiteka Kyiv ndaninya saa 72 ilishindwa
Sasa viongozi kutembelea wanatumia ujumbe kwa Russia kuwa hana chochote cha kuwafanya ukraine
Kuna watu humu wanabishana kwa kitu wasichokielewa.ebu twende kwa hoja , Ukraine aliikosea nini Urusi mpk ivamiwe ? ( ila km upo tyr kwa debate , km unaeka mahaba bas tuishie hapa )
Huyo choko ni my wakoSawa my Ukraine wa buza ni mawazo Yako,kuunga mkondo TU ushetani wa mabeberu ni ishara ya ushiriki wako katika mambo hayo, marekani na unaojiita umoja wa ulaya wanaojidai wamiliki wa dunia Hicho ndio sitaki na ndio asichotaka mrusi ,mchina na wengine wanaokandamindamizwa....
Kaamua ajiweke fiti,Huyo Zele kavaa poa sana, anabeba chuma nini siku hizi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pro NATO mnatia Sana hurumahahahahaaaa we jamaa punguza unafiki , Urusi haikulipi kitu
Ume analyse ukijenga hoja ipi.dah nyiny ndo mnajiita waafrika sipat picha mngekuwa kile kizaz cha ukoron mngekuwa kila mkipigwa biti mnatoa had wake zenu kwa wafaransa , na ss hv ndo mnakuwaga wa kwanza kuwatukana akina Nyerere eti waliiongoza wapumbav , weny akili ndo nyiny hamjitambui , at the end of the day Urusi kashajifungulia njia mbaya iwe leo au baada ya miaka 5 ila tambua Urusi atashindwa tu na Ukraine ndo anafungua njia ya kujitenga na Urusi , hata akina Hitler na Napoleon walianza kwa kushinda maeneo makubwa zaid ya haya Putin kayateka ila mwishowe walishindwa , Hata huyo China inaeza fika point akamgeuka Urusi kwa sabab ya misimamo ya Urusi , kwasasa China anataka kuhakikishiwa kutoingiliwa maslai yake huko Hongkong na Taiwan , pia India sio wa Kutegemea kbs maana wanaujua uchumi wao so hawawez jiingiza kwenye mgogoro mzito namna hii , wahindi sio wa kuhamini kbs