Zielewe kazi za Usalama wa Taifa (TISS) na mipaka yake

Teeth, ni Nani
 
Usibaki na maswali uliza, usipouliza akili ina kawaida ya kujitungia jibu jepesi kwenye masuala magumu.

Sijawahi kufanyakazi serikalini, kaka yangu alinisomesha hadi master's degree ili nimfanyie kazi yeye tu, wakati mwingine kazi za wenzake alizozileta kwangu. Nilipokuwa nafanyakazi nje ya nchi kama mtafiti na mshauri bado nilikuwa nafanyakazi za kaka yangu pia. Kwa maana nyingine mimi nilikuwa MSUKULE wa kazi nyingi za marehemu kaka yangu hadi ulipomkuta umauti. Sasa nimejitokeza tu kuelimisha kadri niwezavyo, sifungwi na kiapo chochote cha kazi yeyote.
 
Wakati mmoja nikakutana na Aunt yangu (mke wa baba yangu mdogo kabisa) kwenye daladala.... namsalimia naona kimya, mpaka nikaona niuchune tu. Nimerudi home namwambia mzee, akasema siku nyingine ukiona hajakuchangamkia muache tu. Nilikuja kujua baadae sana kumbe ni mfanyakazi wa idara, na siku ile alikuwa kazini anafuatilia drug dealers; baadae ndio nikaja nikajua pia kumbe baba mdogo na yeye ni nyoka 🤣 🤣 🤣

Those days watu walikuwa na ethics. Hata wakiongea, sauti zao ni za chini sana, akiwa anaongea na wewe meza hii, wa meza ya pili hawezi kusikia. Fast forward, mke wa baba yangu mkubwa akafariki. Loh, siku ya msiba namuona, former director mmoja msibani, 😳😳😳 kumbe yule mzee nae alikuwa nyoka tangu mwaka 1965 huko. That was the first time naongea na former director, nae haiba yake ilikuwa vile vile, very quite, very low voice; amechill tu sehemu kama sio yeye.

Anyways, mambo yanabadilika; siku hizi vijana wako nje nje... kidogo tu kashatoa mashine!
 
Pia hawaelewi kuwa hakuna kazi isiyo na misukosuko na frustration. Kitu chochote kikishaitwa "kazi", ujue ipo siku kitakukera tu 🤣 🤣 🤣
 
Sw
Membe S K Front companies, NGO's na Balozi zimekuwa zikiratibu Mambo ya ajabu kuliharibu taifa mbona watu makin huwa hawastuki wala kunusa Hadi tatizo litokee ?
Swali zuri, kama nilivyosema kwenye posts zangu za awali kwamba sikukusudia kufanya uchambuzi wa ufanisi wa TISS kwa namna yeyote badala yake kuweka wazi kazi na mipaka yake.

Nitoe angalizo tu kwamba mlaji au mtumiaji wa moja kwa moja wa shughuli au information za TISS ni rais na TISS yenyewe Tu. Hivyo umma hauna kipimo cha moja kwa moja cha ufanisi wa idara hii. Na uchambuzi wowote wa umma katika kupima ufanisi wa TISS paisipo "tukio la kitaifa la kiusalama" hautakuwa na maana wala mashiko.
 
Hongera
Umejitahidi kuandika mengi but ulichoandika hapa it's too general ambacho hata mtoto wa form 4 anakijua kama ni mtu wa movies na hadithi.

Tukitaka tuzipate hadithi za hawa jamaa zenyewe tena za Tanzania kwamba wao ni nani na wanafanya mission gani na mission gani walishawahi zifanya na walizifanyaje vipi ndo watu wataelewa lakini katu mtu wa kawaida hawezi kukwambia what they do inside

All in all umejitahidi
 
Wakikuambia wanachofanya na namna wanavyofanya basi juwa wewe ni (a) mmoja wao, (b) rais wa nchi au boss wao (c) wamefanya editing wakakufungashia uongo uutumie kutengenezea movie pasipo kukupa mbinu zao halisi au (d) anayekuambia alishaacha hiyo kazi na anakupa product ambayo iko expired. Ukiwa nje unachoweza kujua ni hiki unachosema hata mtu wa form four anaweza kukijuwa.

When you know your limit then you know.
 
Ndiyo,
Membe S K naona unazingatia Security Clearance.
Nimekusoma.
 
Hapo uliposema Ulikuwa MSUKULE wake nafikiri ushamaliza majibu ya maswali yangu yote hasa kwakuwa darasa ulilotoa juu pia linaeleza namna za ufanyaji kazi wao Kwa ujumla nimekuelewa vzr kwasasa sina swali Tena nimekuelewa vyema🙏
 
Teeth, ni Nani
Hiyo ni Jargon tu , sio kila unapotaka kusema Ng'ombe lazima utumie neno ng'ombe au cow muda mwngne unaweza sema MOO wenye Akili wanaelewa unamaanisha nn

Hata maji yakizidi unga unajitetea Kwa kutumia maana ya neno , kwahyo ww utakayetafsir Teeth ni Meno yupo atakayetafsri Kwa kuelewa hoja iliyopo juu.
 
Duh umeuliza kwa hasira na uchungu inavyoonyesha.

Nasikitika TISS hawana jukumu la moja kwa moja kwenye ubovu wa mikataba. Isipokuwa kama mikataba hiyo ina vipengere vinavyo compromise usalama wa taifa basi idara ya usalama itamulika mkataba huo, kutoa maazimio na kushauri. Lakini kumbuka ushauri wa TISS sio AMRI.
 
Ilikuwa ni kazi ya ndoto yangu, na ndoto ikaishia ndotoni
zi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…