Zielewe kazi za Usalama wa Taifa (TISS) na mipaka yake

Zielewe kazi za Usalama wa Taifa (TISS) na mipaka yake

Sijaona swali lako, uliza tena.
Nimeupenda Uzi na unaeleweka vzr ila Nina maswali madogo nataman kufahamu Je

1: Mleta Uzi ni miongoni mwa Teeth au unamaarifa tu kuhusu Teeth ?
Maana hapo chini naona Hadi namba za simu na email kiasi Cha kufanya mtoa comment fulan Kuomba kuunganishwa na kifurushi kama inawezskana πŸ™

2: Kama jibu ni Yes yaani ni mwanachama je hii inaweza ikawa ni miongoni mwa njia za recruitment ya kupata walengwa ?πŸ™
 
harmorapa-nape.jpg


Kama huyu jamaa, mkono ambao yupo active ni kulia, ye akaweka bastola kushoto kiunoni, hata jinsi alivyokuwa anaitoa alikuwa ana struggle.

Sasa angekutana na mwenye bunduki ipo karibu si ana ku shoot...

Sielewi sijui ni askari kanzu huyu sijui ni kitu gani..

Ukitizama watu makini kama Putin kuanzia anavyotembea , jamaa mkono wa kushoto ndio una swing, mkono wa kulia umetulia, Putin ni former KGB officer kwa miaka 16, KGB wanatembea hivyo ili kusudi muda wowote anakuwa tayari na kujiandaa kutumia silaha yake. Yani kuchomoa bastola au uzi kiunoni ni dk 0.

View: https://www.youtube.com/watch?v=bmamMPFQPYg

usalama wa chama wana vituko.
 
Hap
Nimeupenda Uzi na unaeleweka vzr ila Nina maswali madogo nataman kufahamu Je

1: Mleta Uzi ni miongoni mwa Teeth au unamaarifa tu kuhusu Teeth ?
Maana hapo chini naona Hadi namba za simu na email kiasi Cha kufanya mtoa comment fulan Kuomba kuunganishwa na kifurushi kama inawezskana πŸ™

2: Kama jibu ni Yes yaani ni mwanachama je hii inaweza ikawa ni miongoni mwa njia za recruitment ya kupata walengwa ?πŸ™
Jibu: Hapana mimi sio mtu wa idara na sina kazi yeyote serikalini. Kama ningekuwa mtu wa idara hiyo hata nisingekuwa huru kueleza ninachokifahamu pasipo kuremba remba.

Nina ufahamu mpana wa mambo mengi kutokana na elimu, ujuzi na kazi mbalimbali nilizofanya nje na ndani ya nchi. Zaidi ya yote nilikuwa mtafiti, mshauri, na mchambuzi wa masuala kadhaa yaliyohusu kazi za marehemu kaka yangu na viongozi kadhaa aliofanya nao kazi pamoja.
 
Hap

Jibu: Hapana mimi sio mtu wa idara na sina kazi yeyote serikalini. Kama ningekuwa mtu wa idara hiyo hata nisingekuwa huru kueleza ninachokifahamu pasipo kuremba remba.

Nina ufahamu mpana wa mambo mengi kutokana na elimu, ujuzi na kazi mbalimbali nilizofanya nje na ndani ya nchi. Zaidi ya yote nilikuwa mtafiti, mshauri, na mchambuzi wa masuala kadhaa yaliyohusu kazi za marehemu kaka yangu na viongozi kadhaa aliofanya nao kazi pamoja.
Nimependa jibu lako japo Kuna maandishi kama hujawahi kufanya kazi serikalini, kuwa mchambuzi ,mshauri wa maswala ya kazi ya Marehemu pamoja na viongozi kadhaa aliofanya nao kazi pamoja ,yameniongezea maswali zaidi ila acha maswali haya nijijibu mwenyewe inatoshaπŸ™πŸ™
 
Nimeupenda Uzi na unaeleweka vzr ila Nina maswali madogo nataman kufahamu Je

1: Mleta Uzi ni miongoni mwa Teeth au unamaarifa tu kuhusu Teeth ?
Maana hapo chini naona Hadi namba za simu na email kiasi Cha kufanya mtoa comment fulan Kuomba kuunganishwa na kifurushi kama inawezskana πŸ™

2: Kama jibu ni Yes yaani ni mwanachama je hii inaweza ikawa ni miongoni mwa njia za recruitment ya kupata walengwa ?πŸ™
TEETH ni nini
 
Nimeupenda Uzi na unaeleweka vzr ila Nina maswali madogo nataman kufahamu Je

1: Mleta Uzi ni miongoni mwa Teeth au unamaarifa tu kuhusu Teeth ?
Maana hapo chini naona Hadi namba za simu na email kiasi Cha kufanya mtoa comment fulan Kuomba kuunganishwa na kifurushi kama inawezskana πŸ™

2: Kama jibu ni Yes yaani ni mwanachama je hii inaweza ikawa ni miongoni mwa njia za recruitment ya kupata walengwa ?πŸ™
TEETH ni nini
 
Back
Top Bottom