Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Sij
Sijaona FREEMASON hapo haya mambo ni kushangaza sana
 
Huu wa kafara ya ndugu wa damu upo sana nyanda za juu. Wana msemo wa kuwa toa mmoja atajirishe wengine
 
Uo
Utajili upokweli? Mi natafuta siku zote
 
Nyoka au mtu wa kafara ni ngumu sana kufa, japo zake zikifika anakufa.

Na ikitokea amekufa, Utajiri wako utakuwa unlimited. Maana masharti yote utakuwa umeshayavuka.

Sio kweli kwamba akifa na wewe unakufa.
Ibilisi akupe pesa unlimeted??😀😀 labda ibilisi wa buza
 
Hii nitaitafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…