Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Mbona kama umewaza mbali sana kwani hio ajali itasubiri hadi niume korodani yangu ndio itokee? tunatishana bhana!!!
Sio kuwaza mbali tatizo wewe sharti ulilochagua ndilo litakalokuja kuwa chanzo cha kuteteleka kwako au majuto yako,hv ulisoma ule mkasa wa Ally Mpemba wa ,UMUGHAKA ebu tizama yale masharti wewe ungeyaweza? Hauwezi kung'olewa pumbu then uwe unafanya kama kawaida never! Utakachotolewa ndicho wakati wa mafanikio yako kitakuwa kiu yako mfano leo unawaona watoto ni mzigo utakapokuwa na mali utawish ukae na wanao muinjoy life sasa kizalishio kishatolewa utafanyaje na hata km ulikuwa nao before ndio kinatengenezwa kibuyu unabaki mwenyewe na utajiri unakuwa pambo tu hauna furaha nao
 

Kweli kabisa. Kuna jamaa mmoja juzi pale tanga ajari imeua watu 20.ss anaandamwa kua katoa kafara
 
Ndo nilikua najaribu kumuelekeza ndugu yangu hawezi kushindana na ibilisi Kwa Hila😲😲
 
Hao ulionao hata kama ni 10 litatengenezwa tukio mfano mnaenda ktk tukio la lazima labda safari ya mkoani,kuzika,harusini au vyovyote vile linatengenezwa buyu tena unapumbazwa usiweke tahadhari hadi baada ya tukio
Wanateketea wote ili mradi wewe uishi Kwa msoto usifurahie Mali zako
 
Hayo yote uliyoyaandika hapo umesimuliwa , hakuna hata moja ulilolishuhudia kwa macho yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…