Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhindi wa motoLindi ng'ap ni story ya kwelii kabisaa huyooo alikua ana kawaida ya kufunga mzigo anannua mzigo Wa 5m kumbe misukule yake wanabeba mzigo Wa 10m Ndo akaja kukamatwa Tena alikua mfanyakazi wa yule mhindi ndo alimshtua bosi akamuambia boss kua jamaa ana watu wanabeba Wengine kimazingara ndo alivyomaliza akaambiwa pesa aliyotoa ndogo maana Kuna watu walikua wanasaidia kubeba mzigo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ndo ikawa mwisho wa Bahati mbayaa akafirisika na mpk anakufa Hana kitu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hawi hauna faidaHapana siwezi Kwa kweli maana kama ningetaka ningekua mchawi wa kutisha nimeishi na watu wanaendaa ngende mpk namba nilipewa za ngende,mpiga miti Kwa bibi yule,masasi Kwa mabula Tena yule kipindi cha chaguzi hapatikani anatembea na wabunge ,pande ,mpk njinjo Tena njinjo uganga wa mapenzi balaaa [emoji1][emoji1787][emoji16][emoji1787] ila kubwa naogopa Sanaa shirk na Haina msaada Kwa mwanadamu namuogopa Sana Mungu na ni Dhambi kubwa kuliko zote....
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mi siishi baharini!Uchawi hauvuki bahari boss😀😀
Mkuu ulituma picha ya mfu, huyo jamaa alikufa kwenye vita ya Ukraine.Siku ya pili hii bado nadunda tu 🤣
Uchawi wa jamaa haujafanya kazi!
Ukiamini Mungu hakuna mtu atakurogaSiku ya pili hii bado nadunda tu [emoji1787]
Uchawi wa jamaa haujafanya kazi!
Ongo wewe. Bado sijafa mimi.Mkuu ulituma picha ya mfu, huyo jamaa alikufa kwenye vita ya Ukraine.
Naomba picha yako
Nipo Tanzania mimi.Boss si upo abroad? Kuna bahari ngapi hapo kati
Utakuwa umejizindika sana mkuu hatukuoni kwenye rada watu wa simiyu tunawajua kwa uchawi wenu wa gambosh hapo unataka nikujaribu kombora linirudie unigeuze mskule wakoOngo wewe. Bado sijafa mimi.
Uchawi haupo na ndo maana umeshindwa kuniroga.
Tuma picha ukiwa TanzaniaNipo Tanzania mimi.
Kumbe unajua ninapotoka eeh? Ndo ukome sasa kuniletea mchezo!Utakuwa umejizindika sana mkuu hatukuoni kwenye rada watu wa simiyu tunawajua kwa uchawi wenu wa gambosh hapo unataka nikujaribu kombora linirudie unigeuze mskule wako
Tuma picha ukiwa Tanzania
Mbona za yule yule aliye kufa
Ni yule yule kwa sababu sijafa bado!Mbona za yule yule aliye kufa