Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Lindi ng'ap ni story ya kwelii kabisaa huyooo alikua ana kawaida ya kufunga mzigo anannua mzigo Wa 5m kumbe misukule yake wanabeba mzigo Wa 10m Ndo akaja kukamatwa Tena alikua mfanyakazi wa yule mhindi ndo alimshtua bosi akamuambia boss kua jamaa ana watu wanabeba Wengine kimazingara ndo alivyomaliza akaambiwa pesa aliyotoa ndogo maana Kuna watu walikua wanasaidia kubeba mzigo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ndo ikawa mwisho wa Bahati mbayaa akafirisika na mpk anakufa Hana kitu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mhindi wa moto
 
Uc
Hapana siwezi Kwa kweli maana kama ningetaka ningekua mchawi wa kutisha nimeishi na watu wanaendaa ngende mpk namba nilipewa za ngende,mpiga miti Kwa bibi yule,masasi Kwa mabula Tena yule kipindi cha chaguzi hapatikani anatembea na wabunge ,pande ,mpk njinjo Tena njinjo uganga wa mapenzi balaaa [emoji1][emoji1787][emoji16][emoji1787] ila kubwa naogopa Sanaa shirk na Haina msaada Kwa mwanadamu namuogopa Sana Mungu na ni Dhambi kubwa kuliko zote....



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hawi hauna faida
 
alaf utakuta kwenye maFuso yao wanavyomtukuza Mungu kwa maneno matamu, Mashallah, Mungu yu mwema, alhamdulilah, taqbil, ni kwa neema tu, God is great n.k

kumbe ni pesa za damu kazi kujitakasa kwa maneno manono kuficha uhalisia kumbe tunawajua wapuuzi hawa.
 
Tuma picha ukiwa Tanzania
C5FE7F05-3043-445C-997B-5DE533512DF2.jpeg
 
Back
Top Bottom