Zijue mascara na namna ya kupaka

Zijue mascara na namna ya kupaka

Nashindwa kuelewa Kwa nini huwa wanadhani mtu unataka kupendeza kwa ajili yao tu.
Mtu akijiweka vizuri hata anajisikia vizuri na kuwaza mazuri.
Basically, kupendeza lift up the mood.




Hahaha!, gaal!, mwisho kuvaa beach wear lini! [emoji2]
Again, all the best na safari! [emoji12]

Naomba dhawadi ya perfume, isiwe Pampula tyuu...lol
Halafu usiwaambie espy Heaven Sent na Neybright
Ntawapea ma empty bottles ikiisha..[emoji124]



Sent using Jamii Forums mobile app




hahaha bimafs mie hata kbl sijaolewa sijawah kupendeza nivutie mwanamume !yaan mie hata km nna masizi uson huwa natongozwaga tu hata niende shamba natongozwa tu na jssho langu ! ni kweli unakuwa na moody nzur tu !pole zenu sana nyie wanaume!

yes my dear nna safari babu kubwa ! hahahaa nitakuletea hata kabikin mweeeeeeeee!au ka bra kadhuri dhuri!hao usiwaambie kbsss
 
hahahahah naenda kuposwa upyaaaaaaaaaaa! hahahahahhaah chezea wewe !hv najifunza grammar mama! hahaha past tense ,past participle,future et al! tunalia lia humu weee kumbe tunadai bado kumbe !ngj nikatolewe mahari mie hahahah
Kabla ya kutolewa mahari ya pili hakikisha ya kwanza umerudisha . au ulichukuliwa kwa mkopo kama naniliuu? [emoji23] [emoji23]
 
DSC_2658.jpg
DSC_2658.jpg
Huyu hapa wajamen
 
Back
Top Bottom