Zijue Mbinu Hizi za Kuwa Tajiri("Milionea")

Asante milionea
 
chama cha wanaume bahili.
Luka 6:38(NEN)
"Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa. Kipimo cha kujaa na kushindiliwa na kusukwasukwa hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa vifuani mwenu. Kwa kuwa kipimo kile mpimacho, ndicho mtakachopimiwa."
 
Eti live below ur means 🤣🤣🤣
huo mshahara wenyewe tuu kwa budget simple ya ugali maharage ikifika tarehee 15 hela kwishney
Duh! Basi siku moja moja funga, unywe maji tu asubuhi mpaka jioni. Kufunga(fasting) ni afya na pia unasev pesa; hiyo itakuwezesha ku-live below ur means🤣🤣🤣
 
Mkuu hizi ulizotaja sio mbinu bali ni kanuni za kufuata ili kuwa tajiri,

Mbinu siku zote huwa hazina mambo mengi yani hazihitaji maandalizi mengi,

Mtu yeyote mwenye mbinu za kuwa tajiri aje atusaidie
 
Duh! Basi siku moja moja funga, unywe maji tu asubuhi mpaka jioni. Kufunga(fasting) ni afya na pia unasev pesa; hiyo itakuwezesha ku-live below ur means🤣🤣🤣
Mwee! Hiyo ugali maharage tayarinfunga tosha alafunwataka nigunge tena hapa aisee
Sie wengine tutaishia kuwa maskin tusijiumize sana ati
 
Mkuu hizi ulizotaja sio mbinu bali ni kanuni za kufuata ili kuwa tajiri,
Aliyenifundisha Kiswahili na Kiingereza ni mwalimu mzuri.
  • Mbinu (Strategies): Ni mipango ya utekelezaji ili kufanikisha jambo fulani. Katika muktadha wangu, hizo ni mbinu za kujijengea utajiri.
  • Kanuni (Principles): Ni misingi au mwongozo wa maadili na sheria zinazotawala jinsi mtu anavyopaswa kuishi au kufanya kazi.
 
Rubbish/ utumbo mtupu
Uwo mda ulotumia kuandika ungeutumia kusoma biblia au quran ungepata kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…