Zijue taasisi ambazo hazipokei rushwa hata kwa mtutu wa bunduki

Mkuu kwanza kabisa ungeanza kwa kuipongeza serikali ya CCM kwa kuboresha maisha ya wafanyakazi wake hadi waiogope na kuichukia rushwa kama kansa vile.

Juzi juzi tu mama anaeupiga mwingi kaongeza mapesa kibao hadi watumishi wa kada ile wanamsifia na hakuna malalamiko mitaani.
 
Hahahahaaaa
 
Acha ufala mkuu πŸ˜ŽπŸ˜ŽπŸ˜ŽπŸ˜‚
 
Hao polisi traffic, ulitakiwa kuwaweka namba moja. Yaani hao askari wetu kwa kweli ni waaminifu sana. Yaani hawapokei kabisa rushwa!

Yaani wana maadili ya kazi kama zilivyo zile nguo zao nyeupe pee!!. Hakika hata kijana wangu nitamshauri akasomee uaskari polisi, ili baadaye awe askari wa usalama barabarani.

Pia kuna wale Mahakimu wetu wa mahakama za mwanzo na zile za Hakimi Mkazi! Pamoja na Makarani wao, wanajitahidi sana kujiepusha na vitendo vya rushwa.
 
Ikulu. Ngorongoro inaenda kwa waarabu kama kumsukuma mlevi vile!
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†! Unaongea kama vizee vya zamani.

Kanakupiga kingi hadi unajaa huku kamekaa na wewe happ hapo!

Na kanamtusi kabisa kanayemuongelea, kumbe anayeongelewa ni wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…