Haya tusubiri baada ya siku 6 uje kusoma hii comment yakoMpira hamuujui mnakariri tu. Mourinho akiwa kocha wa As Roma ya Italy msimu huu kacheza mechi ya pre season dhidi ya Raja Casablanca Manchester city kacheza hadi na timu inaitwa Yokohama na Blackpool. Mechi za majaribio wala haliangalii matokeo bali ni muunganiko wa timu na match fitness pamoja kuangalia mbinu za kiufundi kulingana na wachezaji waliopo.
Pre season hua inatumika kuangalia strength ya kikosi na kila combination unayoifikiria ndiyo maana Arsenal kacheza pre season na Millwall, Bayern kacheza na Jong (timu daraja la tatu) na akafungwa, Spurs kacheza na timu daraja la pili akafa.Pre season wanafanya na Pan African unategemea nini ,Sasa hivi wanakelele Sana kama kawaida yao,ngoja watandikwe na River United ,marudiano watandikwe tena halafu tunawamaliza kwenye ngao ya jamii kama hawajatimuana .
Naona mmeanza kuwa wapiga ramli. Lol.Pre season wanafanya na Pan African unategemea nini ,Sasa hivi wanakelele Sana kama kawaida yao,ngoja watandikwe na River United ,marudiano watandikwe tena halafu tunawamaliza kwenye ngao ya jamii kama hawajatimuana .
Kwani si tunaona timu ilivyo ya kuunga ungaNaona mmeanza kuwa wapiga ramli. Lol.
Ila si kwa YangaPre season hua inatumika kuangalia strength ya kikosi na kila combination unayoifikiria ndiyo maana Arsenal kacheza pre season na Millwall, Bayern kacheza na Jong (timu daraja la tatu) na akafungwa, Spurs kacheza na timu daraja la pili akafa.
So pre season siyo kipimo cha ukali wa timu ni kipimo cha combination ipi itafaa.
Sidhani kama hiyo ni sababu.Kwani si tunaona timu ilivyo ya kuunga unga
Hapana ,kwenye first 11 wameondoka wawili tuSidhani kama hiyo ni sababu.
Hivyo nyie hamjaunga unga? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yanga sasa ni spesho kesi. Hao sina cha kuwaambia.Ila si kwa Yanga
Oooh!! Tusubiri tuone Mkuu.Hapana ,kwenye first 11 wameondoka wawili tu
We umeona wapi timu inaenda pre season nje na ikarudi bila hata kufanya zoeziYanga sasa ni spesho kesi. Hao sina cha kuwaambia.
Usikimbie maana hamchelewiOooh!! Tusubiri tuone Mkuu.
Panapo uzima nitakuwa wa kwanza kuufukua huu uzi.
Wachawi hawajifichi kabisa wanawanga asubuhi na mapemaππ π π π π π π huu ndio uzuri wa Tanzania
Mi ni shabiki kinda kinda...ulichokisema nakubaliana nacho!Yanga itacheza na Rivers Jumapili Mkapa Stadium. Naionea huruma Tanzania inaenda kuingia kwenye aibu kubwa ya mwaka...
Tayari umebadili mada. Akili zako za utopolo wewe jamaa. Halafu matokeo hayo hayo leo yamekufanya leo unashiriki CAF. Mbeleko la SimbaNashindwa kufahamu ni AIBU gani anayo izungumzia mleta mada!
Katika Historia ya mpira wa Bongo ni Wenyenchi/Wananchi pekee wenye haki kutamba linapokuja suala la udharirishaji wa mpira wa Bongo...
unasubiri hamna?usijichocheOooh!! Tusubiri tuone Mkuu.
anajitoa akili huyo.We nyamaza kabisa usiongee ,hapo unapoenda kushiriki club bingwa umebebwa hujachangia point yoyote unasubiri mtelezo