ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Cheki huyu jamaa!!! atakuwa amepatwa na wazimu duh masikini!!! mwe!!Yanga itacheza na Rivers Jumapili Mkapa Stadium. Naionea huruma Tanzania inaenda kuingia kwenye aibu kubwa ya mwaka.
Hii timu mazoezi inafanyia mitandaoni. Hii timu mazoezi inafanyia kwenye magazeti. Pre Season ya maana kabisa ilichezea kichapo kikali ikakata ringi kipindi cha kwanza tu. Pre season zingine imecheza na timu ndogo ndogo.
Furaha yangu Yanga afungwe. Mungu ibariki Rivers ya Nigeria
Aende jukwaa la siasa huko, huku hatupo kivyamaFuta hiyo kauli yako usiropoke hovyo
Mtaani wananiita Morison yaani Misukule fc wakiniona wanabadili njia maana ni mkero zaidi ya Kapumb_ siku ya mabwege.Hakunaga Shabiki wa Simba anaeanza na kusema βmimi ni Simbaβ tena kwa Capital Letters! Haya huwa wanafanya Utopolo peke yao.
huyu ndugu nilishamuonya awe consistent. mambo ya siasa ayaache Jukwaa la Siasa. hataki kuelewa kabisaFuta hiyo kauli yako usiropoke hovyo
Weka na ya Algeria walikufanyaje 4_0Nashindwa kufahamu ni AIBU gani anayo izungumzia mleta mada!
Katika Historia ya mpira wa Bongo ni Wenyenchi/Wananchi pekee wenye haki kutamba linapokuja suala la udharirishaji wa mpira wa Bongo.
Tunatamba sio kwa sababu tumecheza fainali CAF bali ni kwaababu hatijawahi kurudi nyumbani kichwa kikiwa makwapani.
I love You Yanga SC.
View attachment 1925819
huyu ndugu nilishamuonya awe consistent. mambo ya siasa ayaache Jukwaa la Siasa. hataki kuelewa kabisa
Wanadhani wanafurahishaHakuna kitu kinakera kama kuleta Siasa jukwaa hili.Hapa ni Simba vs Utopolo tu na sana sana hizi Team za Ulaya na hasa EPL.Wanaotaka Siasa si kuna Jukwaa lake lipo.
Pole sana kwa hali hiyo inayokukabili mama.Wewe naona uko kwenye heat unatumani hata ubakwe tu maana hujitambui
We kweli msukule,,, weka pia na matokeo ya kaizer chief 0-3 simba, weka tena matokeo vita 1-4 simba, alafu weka tena matokeo al ahly alivyokufa taifa,,,,Nashindwa kufahamu ni AIBU gani anayo izungumzia mleta mada!
Katika Historia ya mpira wa Bongo ni Wenyenchi/Wananchi pekee wenye haki kutamba linapokuja suala la udharirishaji wa mpira wa Bongo.
Tunatamba sio kwa sababu tumecheza fainali CAF bali ni kwaababu hatijawahi kurudi nyumbani kichwa kikiwa makwapani.
I love You Yanga SC.
View attachment 1925819
Pole sana, hali yako ni ya kawaida kwa nyie akinamamaKigololi kimekushuka unaparamia paramia wanaume shauri yako.
Mbowe anashabikia yanga lakini.Hivi kwanini chadema ni watu wanaoichukia yanga?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yule dawa yake ni kumweka juani na kumvua kofia hadi ababuke