Funguka ZZK,funguka,ndio usaliti wako unapoonekana,mbona hayo yote hukuwahi kuyasema?Kwa hiyo mafisadi kama wako CDM unawafumbia macho,mnafiki mkubwa,yako wapi ulivyokuwa unajipambanua unapiga vita rushwa,kumbe umewafuga ndani ya chama;unasubiri wanamwaga mboga unamwaga ugali!!Unajidhalilisha tu Zito,its better u shut up!!Kumbe kweli --------- kwa kuwa wakubwa zako ----------,utateteaje tena mali za Umma Zito kama sio unafiki?!
Bora wewe umegutuka ,kuna misukule hata ikiambia nini kuhusu mbowe hawaelewi kitu ,mbowe naye ajibu tuhuma zake,kama kweli amekuwa akichukua hella za ccm apigwe chini kwa speed ya ajabu.
"Nimempa hela yangu nyingi sana" by Nimrod Mkono.Mkuu wangu,tukitumia the same principle uliyom judge ZZK ,kama anakihujumu chama tangia 2008 kwanini hawakumtimua intellijensia ya CDM ilikua wapi?
Na hii tuhuma ya magari ya nkono kwanini hawakuitaja muda muafaka inakuja kutajwa muda huu?ukifanya equation na analysis bila kuegema upande wowote utapata jibu
Na kwa majibu ya kitoto ya mbowe aliposema "ccm au kikwete kumpa fedha mtu wa cdm sio vibaya inategemea ana nia gani"
Hapo mkuu huoni kama mbowe ameshakubali kuwa alipewa fedha na hao mafisadi?huu ni uthibitisho wa waraka mkuu kuwa mh mbowe ni too local hawezi kujenga hoja akirushiwa tuhuma kidogo anatetereka sana
Mwisho kabisa namalizia ikiwa kama Mkono alimwambia mbowe kampa magari mawili zzk,mkono huyo huyo haachi kusema series ya fedha alizompa mbowe kwa ajili ya kuihujumu Cdm
Mbowe hakuongwa bali alikuwa akichangisha hela za kampeni.....zitto ana tapata tapata....tu
ZZK ZZK rafiki wa Jack Zoka! ona sasa anavyoumbuka!! na kutapika hovyo too late!Funguka ZZK,funguka,ndio usaliti wako unapoonekana,mbona hayo yote hukuwahi kuyasema?Kwa hiyo mafisadi kama wako CDM unawafumbia macho,mnafiki mkubwa,yako wapi ulivyokuwa unajipambanua unapiga vita rushwa,kumbe umewafuga ndani ya chama;unasubiri wanamwaga mboga unamwaga ugali!!Unajidhalilisha tu Zito,its better u shut up!!Kumbe kweli --------- kwa kuwa wakubwa zako ----------,utateteaje tena mali za Umma Zito kama sio unafiki?!
Huyo kifaranga tu mganga njaa watu wanamtaka mama yake Mohamedi Mtoi kajichokea anaishi kwa kupandisha bendera na kufunga spika kwenye mikutano na kutumwa kwa Josephine na yule mwanamke aliyekuwa na Mbowe Dubai.
Zitto Kamjibu Lisu, kama kweli Mkono kamwambia alimpa magari mawili basi Mkono huyohuyo atakuwa kamwambia Na Mbowe alishampa pesa nyingi tu Mbowe mnaanza kuhoji kuwa Zito hakusema siku nyingi, amesema sababu Tundu Lisu kaambiwa aseme ya mkono, kwanini hakusema ya Mbowe kupewa pesa na Mkono?
CHADEMA mabingwa Mh. Mkono kwa inategemea wakati gani, kuna wakati anaitwa fisadi alafu pia kuna wakati ni Mfadhili... haya yote yanatoka kwa vinywa na maandishi ya viongozi wa CDM; Hongereni kwa kuchezea umma wa waTanzania.
Well noted! Zitto tumemrushia tuhuma za kutosha na binafsi sina mjadala tena juu ya usaliti wa Zitto.
Lakini hizi za Mbowe nazo ni tuhuma.Zijibiwe tupime!
Sheria msumeno tunataka Wapinzani sio Wakinzani!!
- Kaka umesoma vizuri between the lines majibu ya Mwenyekiti wako au unakurupuka tu, soma vizuri uone anachokubali na asichokubali!1
Le Mutuz