Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
Funguka ZZK,funguka,ndio usaliti wako unapoonekana,mbona hayo yote hukuwahi kuyasema?Kwa hiyo mafisadi kama wako CDM unawafumbia macho,mnafiki mkubwa,yako wapi ulivyokuwa unajipambanua unapiga vita rushwa,kumbe umewafuga ndani ya chama;unasubiri wanamwaga mboga unamwaga ugali!!Unajidhalilisha tu Zito,its better u shut up!!Kumbe kweli --------- kwa kuwa wakubwa zako ----------,utateteaje tena mali za Umma Zito kama sio unafiki?!

Aligundua kuwa jamaa ni mafisadi ndio maana akaandaa mkakati wa mabadiliko 2013, badala yake kaitwa msaliti na mhaini.
 
mbowe naye ajibu tuhuma zake,kama kweli amekuwa akichukua hella za ccm apigwe chini kwa speed ya ajabu.
Bora wewe umegutuka ,kuna misukule hata ikiambia nini kuhusu mbowe hawaelewi kitu ,
Ona alivyojibu tuhuma kwa kutumia akili ndogo adi utacheka wangu
Kwi kwi kwi kwi eti kikwete(ccm) au rostam(ccm) akupe fedha kwenye uchaguzi uhoji tena zinalengo gani(inategemea zina lengo gani)?
Ha ha ha too local
 


Tuhuma kuwa Mbowe alipewa pesa na zikatumika kwenye kampeni za chama, tarime (ubunge) na kwa Dr Slaa (uraisi), sioni kama ni tatizo. Tena tulitakiwa kumsifu Mbowe kama strategic CEO anayeweza kusolicit funds kufanikisha malengo ya organisation. Hii ni kwa sababu hapa hakupewa kama Mbowe, bali CHADEMA. Nadhani tuhuma za Zitto zingekuwa na mashiko kama angesema kama Mbowe alishapewa pesa kwa ajili ya kusaliti chama kama ilivyo kwa Zitto aliyepewa magari ili auze jimbo. After all Zitto kama mtu aliyekuwa naibu katibu mkuu tutamshangaa kwa kukosa collective responsibility na bado akajipambanua kama kiongozi anayefaa kuaminiwa. Mbona hajalalamikia pesa ambazo CHADEMA ilishawahi kupewa na Sabodo ambaye naye ni mwanaCCM? Zitto asitutoe kwenye reli, ajibu hoja, " je alihongwa na akauza majimbo ya uchaguzi kwa CCM? Full stop.

Pili, inawezekanaje sasa hivi Zitto anataka tumuamini kwa asemayo, ili hali maneno yake yamekuwa yakibadilika siku hadi siku. Ikumbukwe, ni Zitto huyu huyu aliyesema kwenye press conference kuwa alijiondoa kuwa signatory wa chama tangu mwaka 2010, ilhali kumbe hajawahi hata kuwa. Pili ni Zitto huyu huyu aliyejipambanua kuwa ana majina ya watu walioficha fedha Uswisi, na hadi leo kushindwa kuyatoa, na badala yake kuishia kuapa kuwa hana. Tatu, ni Zitto huyu huyu aliyetudanganya kuhusu mshahara wa waziri mkuu. Nne ni Zitto huyu huyu kwenye moja ya maandiko yake amewahi kusema ana magari matano, lakini jana kasema anayo mawili. Sasa tutamwaminije. je huoni kuwa kama ilivyo kawaida yake anataka kudivert attention yetu? Uongo wake unaweza kuorozeshwa kwa listi ndefu sana.

Zitto si msafi tena na hasafishiki. Period
 
Mkuu wangu,tukitumia the same principle uliyom judge ZZK ,kama anakihujumu chama tangia 2008 kwanini hawakumtimua intellijensia ya CDM ilikua wapi?
Na hii tuhuma ya magari ya nkono kwanini hawakuitaja muda muafaka inakuja kutajwa muda huu?ukifanya equation na analysis bila kuegema upande wowote utapata jibu
Na kwa majibu ya kitoto ya mbowe aliposema "ccm au kikwete kumpa fedha mtu wa cdm sio vibaya inategemea ana nia gani"
Hapo mkuu huoni kama mbowe ameshakubali kuwa alipewa fedha na hao mafisadi?huu ni uthibitisho wa waraka mkuu kuwa mh mbowe ni too local hawezi kujenga hoja akirushiwa tuhuma kidogo anatetereka sana
Mwisho kabisa namalizia ikiwa kama Mkono alimwambia mbowe kampa magari mawili zzk,mkono huyo huyo haachi kusema series ya fedha alizompa mbowe kwa ajili ya kuihujumu Cdm
"Nimempa hela yangu nyingi sana" by Nimrod Mkono.
 
Mbowe hakuongwa bali alikuwa akichangisha hela za kampeni.....zitto ana tapata tapata....tu

"Mkono alimpa Freeman tshs 20m za uchaguzi wa Tarime na Freeman akasema kwenye chama ametoa mkopo na akalipwa.

Lissu anajua kuwa gazeti la Tanzania Daima limeanzishwa na fedha za chama kutoka Conservative party?

Aeleze aliingia deal gani na Kinana na Sumaye mwaka 2005 kufuatia deni lake NSSF. Aweke wazi mkataba kati yake na NHC kuhusu nyumba ya Umma ilipo
Club Bilicanas."


.....MBOWE NI MWIZI AISEE, AISEE JAMAA NI FISADI BALAA, EBU PATA PICHA SASA PINDI AKIWA RAIS AU WAZIRI MKUU!!DUH....NI HATARI.....
 
Funguka ZZK,funguka,ndio usaliti wako unapoonekana,mbona hayo yote hukuwahi kuyasema?Kwa hiyo mafisadi kama wako CDM unawafumbia macho,mnafiki mkubwa,yako wapi ulivyokuwa unajipambanua unapiga vita rushwa,kumbe umewafuga ndani ya chama;unasubiri wanamwaga mboga unamwaga ugali!!Unajidhalilisha tu Zito,its better u shut up!!Kumbe kweli --------- kwa kuwa wakubwa zako ----------,utateteaje tena mali za Umma Zito kama sio unafiki?!
ZZK ZZK rafiki wa Jack Zoka! ona sasa anavyoumbuka!! na kutapika hovyo too late!
Niliwahi kumwomba hivi: ambapo amejilaani mwenyewe


ZZK ndugu yangu mbona ghafla mabadiliko? Umelipwa bei gani kuja kuvuruga? Lakini leo ninakuapisha mbele ya Mungu kama una mpango wa shetani!! wa kutumwa kuvuruga basi hutofika popote!!

Kwa sababu mpango wa ukombozi wa TZ ni mpango wa Mungu. Na soma katika vitabu vyote yaliyowapata wale waliojaribu kuingilia mpango wa Mungu!! Tafadhali sana!! tulia uongozi utaupata na hata urais!! Lakini kwa mtindo huu wa kuwafanya hata maadui wa CDM wakachekelea hutosamehewa believe me!!
 
Huyo kifaranga tu mganga njaa watu wanamtaka mama yake Mohamedi Mtoi kajichokea anaishi kwa kupandisha bendera na kufunga spika kwenye mikutano na kutumwa kwa Josephine na yule mwanamke aliyekuwa na Mbowe Dubai.

This too low for you.
 
Last edited by a moderator:
Zitto Kamjibu Lisu, kama kweli Mkono kamwambia alimpa magari mawili basi Mkono huyohuyo atakuwa kamwambia Na Mbowe alishampa pesa nyingi tu Mbowe mnaanza kuhoji kuwa Zito hakusema siku nyingi, amesema sababu Tundu Lisu kaambiwa aseme ya mkono, kwanini hakusema ya Mbowe kupewa pesa na Mkono?

Si unajuwa watu wagumu kuelewa!na Kasema ana magari mawilli,Freelander na ingine ipo Kg,
Naona mama wa vifaranga kajibu kiupole...!
 
waruhusu na bange pia, maana wao huwa wanasaka kura za waharifu kama walivyofanya mwanza. ushawahi kuona kituo cha watu 500 wanapiga kura watu 80 ndo maana ilikua rahisi kwao kushinda. ukitaka kuamini hili ni kwamba wenje katangaza kwenda kugombea rolya keshaona 2015 upepo hausomeki.
 
Mmmh siasa isije kuwa kikwazo cha maendeleo ndugu zangu..... Kweli hii ni Vuta n'kuvute.
 
CHADEMA mabingwa Mh. Mkono kwa inategemea wakati gani, kuna wakati anaitwa fisadi alafu pia kuna wakati ni Mfadhili... haya yote yanatoka kwa vinywa na maandishi ya viongozi wa CDM; Hongereni kwa kuchezea umma wa waTanzania.


Zito hana sifa ya kuzungumzia maisha ya ndoa kwani hajawahi kuoa wala kujua mabaya na mazurri ya ndoa,kama anadhani ndoa ni rahisi kiivyo akaoe hata kesho,uhuni ndio maisha yake kulkoni asioe au hajapevuka?
 
watanzania tunafanya mzaha sana na neno UZALENDO,mandela alipoelezwa kuwa atatolewa jela na makaburu kwa masharti,alisema ni vyema kufia humu kuliko kutoka kwa masharti tena anayekupa masharti ni mbaya wako.
Bado tunasafari ndefu sana ktk kupata viongozi wenye nia dhabiti ya kuleta kile tunachokifikilia.Tuelewe kuwa,ktk hii dunia ya sasa hakuna kitu cha bure,wazungu wanasema"NO FREE LUNCH"
Tuendelee kuwa tu washabiki wa kufuata upepo huku wao wakifaidi ushabiki wetu,tuendelee kuwaingizia mabilioni ya pesa huku sisi tukiwa hatuwezi kupata hata sent ya mkoloni.
kuna usemi unasema
1.Chamlevi huliwa na mgema.The drunkard's money is being consumed by palm-wine trapper
2.Lila na fila hazitangamani.Good and evil will never mix
 
Well noted! Zitto tumemrushia tuhuma za kutosha na binafsi sina mjadala tena juu ya usaliti wa Zitto.

Lakini hizi za Mbowe nazo ni tuhuma.Zijibiwe tupime!

Sheria msumeno tunataka Wapinzani sio Wakinzani!!

Safi kamanda tupo pamoja!tunaitaji mbadala wa kweli wa CCM
 
non allignment movement inahusika sana kwenye hili linchi! puuuuuuuuuuuuuuuu!
 
Alikuwa anawafichia aibu wazinzi wenzake. Ndo maana nilianzisha mada ya kuuliza nani msafi ndanimya CHADEMA. wote ni wachafu tu. mara ufisadi, mara mini kabang............
Lizaboni weweeeee!hadi mini kabang imo!!
 
Last edited by a moderator:
Mbowe kapoteza sifa za kuwa kiongozi wa chama cha siasa hafai kabisa tupa kule zitto ni kiboko yake.
 
CHADEMA Hawafai kupewa kiti cha urais kwa sababu wanaleta ubinafsi katika chama na ndo chanzo cha ugomvi wao hakuna mwenye chama bhana hakuna mbowe wala slaa chama ni cha wananch wote kwa hyo kuna uwezo wa kuwatoa na kuweka wengnd kwann mapadree hawa walete ugomvi? Mwisho wa siku itakuwa kama yale ya Sudan kusin kisa umimi katika vyama tumewachoka Mimi binafsi smchagui wa CHADEMA..CUF jiandaeni kwa kura za walionda shule na kufkiria na sio kuenda shule kutembea na kukua tu kama wana CHADEMA
 
- Kaka umesoma vizuri between the lines majibu ya Mwenyekiti wako au unakurupuka tu, soma vizuri uone anachokubali na asichokubali!1

Le Mutuz

Mkuu umeme umepanda tuache siasa za maji taka zijisafishe tupambane na EWURA
 
Back
Top Bottom