Punguka mihemko.... wamemwaga mboga naye kamwaga ugali.. tatizo liko wapi? Pipooooooz!!! GONGO FC UFIPA.
 
Kwani lisu alikuwa wapi kusema haya dogo kawashika pabaya lazima mtambike kama kawaida yenu.

nani atambike?
cpo huko nilishakombolewa cfanyi matambiko!

hakuna aliyeshikwa pabaya zaidi yake yy aliyekimbilia mahakamani.
kifupi its too leiiiiiit sio mwanachama tena wa cdm icpokuwa kwa mahakama tuuu
 
kinachomsumbua zitto sio kingine bali wivu dhidi ya mbowe,zitto anatamani sana kuitwa kamanda wa anga.....ila amesahau hayo yote yametokana na ubunifu wa mbowe....kwa yote niliyosikia kuhusu mbowe kamanda wa anga bado nina imani naye kwakuwa kipindi chote cha uongozi wake chama hakijawahi kushuka😛eace:
 
Mavi ya kale hayanuki hakuna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu
 
Kwa bhata mbaya,,,ni kama amechelewa,lakin najiuliza haya mambo yana tija kwetu???wananch wa kawaida kabisa

Ndio yana tija make yanawaanika watu wanaokuja kutuomba ridhaa kila baada ya miaka 5 ili tuwapime kama ni wasafi au lah. Zinduka ndugu.
 


Mkuu ata wachangiaji humu nashindwa kuwaelewa! Kwanini wasihoji au kuchangia juu kifo ch Chacha Wangwe Km ZZK alivyozungumza kupata uhalali Wa tuhuma zote za ZZK dhidi ya Mbowe na Cdm?

Maana kwa kauli ya ZZK juu ya kifo cha Wangwe tumepata pa kuanzia!
 
Leo nikiwa makao makuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), katibu mkuu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk Willibroad slaa amerusha kombora kwa Aliyekuwa naibu katibu mkuu wa CHADEMA Mheshimiwa Zitto Kabwe.


Kwa mujibu wa Dk Slaa,Zitto kabwe ni mnafiki mkubwa kumuhusisha mwenyekiti wa CHADEMA taifa mheshimiwa Freeman Mbowe na ufisadi wa kupokea pesa kutoka kwa Mheshimiwa Nimrod Mkono.


Dk Slaa amesema,ZITTO alikuwa wapi kufichua ufisadi huo hadharani wakati wa vikao vya chama tangu mwaka 2005 aje atoe shutuma na malalamiko yasiyo na ukweli leo anaposhughulikiwa na chama???.


Dk Slaa amesema, lengo la ccm,Zitto na vibaraka wote wa ccm akiwepo Habibu Mchange ni kutaka Mbowe na Dk Slaa wakosane ili chama kiyumbe ili wapate pa kusemea. Dk Slaa amesema Ccm na vibaraka wake walifanikiwa kuiangamiza NCCR-Mageuzi, TLP na UDP lakini mbinu hiyo chafu inayotumiwa na Ccm kupitia kwa Zitto haitafanikiwa kuiua CHADEMA.

Mapambano yanaendelea.
 
uzalendo uko wapi kila siku me nasema mtanzania ukombozi uko mikononi mwako hakuna mwanasiasa hata mmoja atakeye kukomboa kila mmoja ana matwaka yake, kwanza kubali ukatae lengo la mwanasiasa yoyote ni kupata madaraka bila kujali hayo madaraka atayapata katika mazingira gani? siasa za TANZANIA kwa sasa zimegeuka kuwa uchafu huyu anakuja na hili kesho huyu anakuja na lile, huku wakiacha kushughurikia matatizo ya watanzania, mtanzania amka tena amka acha kulala jikomboe mwenyewe.....wakati wanasiasa wanakula vinono wananchi tunatabika na kufa njaa huku wao wakichukua viposho vikubwa ss hatuna hata mia mfukoni je hawa wana nia nzuri na wewe.........fikra makini huzaa busara makini mikono yako ndo ukombozi wako
 
Huna kingine cha kuongea!? Maana hicho hakina umuhimu wa kuwepo hapa! Ongea point. Sio mipasho!

Afukuziwe mbali huyu zito...wakati wa kifo cha chacha wangwe alikuwa wapi asiongee huu uzandiki na uongo mpaka aje aongee wakati anafukuzwa chadema. Zito ni fisadi na mnafiki hafai hata kdg jamii inapaswa kumchukiya
 
Mbowe katuvunja moyo sana! Sikutarajia ujinga huu kutoka kwake

Unafikiri mbowe kakuvunja moyo zaidi kuliko aliye pewa suti yeye aka sign mkataba wa madini na gas??hahahaaaaaaaaa! Embu fungua akili kidogo basi achana na hivyo vituhuma vya kuokoteza ili kutafuta huruma ya kamati kuu'. Wewe lowasa anayajua mangapi ya jk. Lakini alipo tolewa uwaziri mkuu ameendelea na mambo yake? Zitto bado bwa mdogo sana kiakili bado ana zile zama za ''kanunua simu kampa demu walipo achana kampokonyaaaaaaaa" ni maneno tuu mkuu usihofu, waimbaji bwana utafikiri walijua zitto atamaanisha wimbo wao.
 
kwanini aliamua kuedit post ya awali? Nani alimshauri? Alipanic?
 
tuko nyuma yako kamanda ZZK,akupigae ngumi ya jicho....we mpge ya ckio
u wil never walk alone ZZK
 

Mkuu,usiamini hilo gazeti mia kwa mia,sbr kauli rasmi ya Mbowe,Dr Kitila na zzk ni waandishi wa makala humo,yawezakuwa Mbowe amelishwa maneno
 
Punguka mihemko.... wamemwaga mboga naye kamwaga ugali.. tatizo liko wapi? Pipooooooz!!! GONGO FC UFIPA.

Kuna majitu yana mtetea mbowe wakati mbowe mwenyewe kakubali leo kuwa alipokea hizo hela lakini hazikua na lengo la kusaliti chama! Lakini alipokea hela za mafisadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…