Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huwezi kuwa CCM ukawa siyo fisadi!Kaka siri ya ndoa siku zote inatoka nje pale ndoa inapoyumba hivyo si kitu cha ajabu siri za viongozi wa Chadema kutoka nje sasa maana ndoa ya Zitto na Chadema iko katika hati hati.
Hapa swala la alikuwa wapi siku zote halina maana yoyote tunachotakiwa kujua kama wanayosema ni kweli au si kweli. Tunaojua tumeshajua kuwa wote ni wakweli. Kazi kwenu CDM bora yangu niliyeamua kubaki CCM pamoja na kuwa kimevamiwa na mafisadi lakini bado kina misingi imara na nina imani siku moja tutapata kiongozi wa kufukuza mafisadi wote.
acha ukuku wewe, acha matusi sisi sio wajinga
huyo mgombea ni mtoto na hajitambui
unataka kusema wagombea wa CDM wanarubunika?? was it difficult kwa mkono kumface moja kwa moja??
fikiri kwanza
duhh
Dr.W.Slaa anaona aibu hata kuingia na kuchangia mijadala humu JF, Nafsi inamsuta.
sasa ndo mwisho wa chadema kuaminika na waTz,kwa maana wanataka kujenga chama na kusahau watanzania?Ktk post Yangu hiyo ulojibu nimesema Siasa ni vita! Sasa Km chama mfumo wake umegundua kua mtu Fulani ni pandikizi na dhamira Yake kwa chama sio nzuri wewe ndio unaita uzalendo au kitetea demokrasia?
Hizo porojo jiambie weye mwenyewe lkn kwa mtu anae elewa Siasa na kadhia zake huwezi kumdanganya kwa maneno yako!
Bora ya Mbowe aliyekuwa hata na mke kuliko Zitto una watoto 4 wa nje wote kila mmoja na mama yake ....kaa kimya bwana mdogo...we nakukumbuka sana ulivomtuma mhudumu pale double tree aje kuomba namba ya simu ya mke wangu na 300,000/= ukampa...form that day nilikudaharau sana ....
Zito... kama haya unayasema sasa, unaonekana ni Mnafiki na Msaliti mkubwa kwa Watanzania waliokuwa wakikuamini kwamba wewe ni kiongozi Shupavu unayejali maslai ya Watanzania wanyonge. Ni bora usingeyasema na iwe ni siri ndani ya Chama. kwa hali hii, ni dhahiri inatufanya kukuona wewe ni Mnafiki na Msaliti.
- Kaka umesoma vizuri between the lines majibu ya Mwenyekiti wako au unakurupuka tu, soma vizuri uone anachokubali na asichokubali!1
Le Mutuz
nyie ni sawa sawa na TL alivoitwa mbwa,kubwaka tu ovyo kwa kuwasikiliza wale mbwa wakubwaTumemwambia Dr. Slaa atuachie nyie VISEBENGO sisi ndo wadogo wenzenu, uwezo wa kuwaingilia hadi chooni tunao. Hamkatizi ni Kick tu kwa kwenda mbele mpaka mkamwambie yule mbunge kwa tiketi ya Mahakama kuwa mmekoma. CHOO CHA JELA we!
Kwa hiyo wewe kwa akili yako ndogo umekuja kumsafisha?Kwa mawazo yako unadhani zitto ni mwepesi kiasi hicho bora jipange tena kumchafua.
Na hawezi kuwa Chadema bila kuchukuwa pesa za mafisadi.huwezi kuwa CCM ukawa siyo fisadi!
Wakuu, inasemekana Zitto Kabwe ali-post facebook hii kitu halafu aka-edit later.
Original post:
Revised Post:
Kutoka Gazeti la Raia Tanzania
Nyerere mwenyewe alikuwa malaya na ilikuwa ni ngumu sana kuvujisha siri za serikali.
nyie ni sawa sawa na TL alivoitwa mbwa,kubwaka tu ovyo kwa kuwasikiliza wale mbwa wakubwaTumemwambia Dr. Slaa atuachie nyie VISEBENGO sisi ndo wadogo wenzenu, uwezo wa kuwaingilia hadi chooni tunao. Hamkatizi ni Kick tu kwa kwenda mbele mpaka mkamwambie yule mbunge kwa tiketi ya Mahakama kuwa mmekoma. CHOO CHA JELA we!