Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
Hivi ile kauli ya "tulianza na Mungu na tutamaliza na Mungu imeishia wapi vile?" Samahani wanaJF. Baadae
 
Zito... kama haya unayasema sasa, unaonekana ni Mnafiki na Msaliti mkubwa kwa Watanzania waliokuwa wakikuamini kwamba wewe ni kiongozi Shupavu unayejali maslai ya Watanzania wanyonge. Ni bora usingeyasema na iwe ni siri ndani ya Chama. kwa hali hii, ni dhahiri inatufanya kukuona wewe ni Mnafiki na Msaliti.
 
Siasa siasa siasa, hiyo yote ni kupigania uheshimiwa saaaaaaaaana, kama yote hayo zito alikuwa nayo mbona hakuyasema wkt alipokuwa salama ndani ya chama? Tutulie chini tumalize tofauti kwa upole, tusiwe kama wanandoa wanapopeana talaka maneno maneno ya kashfa hayajulikani yanapotokea.
 
Kaka siri ya ndoa siku zote inatoka nje pale ndoa inapoyumba hivyo si kitu cha ajabu siri za viongozi wa Chadema kutoka nje sasa maana ndoa ya Zitto na Chadema iko katika hati hati.

Hapa swala la alikuwa wapi siku zote halina maana yoyote tunachotakiwa kujua kama wanayosema ni kweli au si kweli. Tunaojua tumeshajua kuwa wote ni wakweli. Kazi kwenu CDM bora yangu niliyeamua kubaki CCM pamoja na kuwa kimevamiwa na mafisadi lakini bado kina misingi imara na nina imani siku moja tutapata kiongozi wa kufukuza mafisadi wote.
huwezi kuwa CCM ukawa siyo fisadi!
 
acha ukuku wewe, acha matusi sisi sio wajinga

huyo mgombea ni mtoto na hajitambui

unataka kusema wagombea wa CDM wanarubunika?? was it difficult kwa mkono kumface moja kwa moja??

fikiri kwanza

duhh

Punguza jaziba. Ni wapi nimetukana? Hayo si maneno yangu bali Tundu Lissu jana kwenye mkutano na waandishi wa habari. Tena nimetumia neno kumrubuni kimakosa and to lighten the matter - kimsingi Zitto alihongwa ili kumzuia mgombea wa CHADEMA (Hii ina maana Zitto ni expert wa mambo hayo). I quote, "Lissu anaongeza kuwa Zitto mpaka sasa ana magari mawili ya Nimrod Mkono na Mkono mwenyewe ndie amewaambia taarifa hizo. Mkono amewaambia kuwa amempa Zitto hela nyingi sana na Zitto alishiriki moja kwa moja kumzuia mgombea wa Chadema katika Jimbo la Nimrod Mkono wakati Nimrod Mkono alikuwa ni namba sita katika orodha ya Mafisadi iliyotajwa pale Mwembeyanga."

PS. Mimi si kuku. I am human being like you.
 
KWA WALE WALIOELIMIKA NAWENYE UELEWA AMA IQ YA JUU NAWAPENDA KUJISOMEA VITABU,,WATAJUA KUWA SASA INADHIHILIKA LENGO NIKUIVUNJA CHADEMA ILA WAJUE WANAOJARIBU HAWATAWEZA HATA KIDOGO MAANA WATU KIBAO TUMESHAUMIZWA TUMEPOTEZA NDUGU ZETU NA MARAFIKI ZETU KISA HII CHADEMA WAFITINI WANAOTAKA KUIFITINI CHADEMa kwa hoja za ovyo na za kibnafsi kabisa,,,,,,labda watanzania wajue kuwa ni dokta huyu huyu katibu waleo amepitia tabu na shida nyingi sana akiwa mbunge na akiwa nje ya bunge niweke sawa arusha alivunjwa mkono na sehemu kibao kashafanyiwa mambo yakumuumiza ,,,,,,na ni mwenyekiti huyu huyu amejitoa kwa hali na mali kuibeba chadema from zero to hero,,,,,ni mwaka jana tu amekoswa na bomu arusha uwanja wa soweto,,,,,,,,JE HAWA VIONGOZI WETU NI KIPI HAWAJAKIFANYIA CHAMA AMBACHO ZITTO anaona kuwa atakifanyIA kwa kuwapaka matope,,,,,,,ELIMU YANGU NI DARASA LA SABA KINADHALIA ILA KIMADARASA NI MWANA CHUO NA MFUASI WA CHADEMA NA MWANACHAMA HAI,,,,,NI VIJANA WENGI TUMEINGIA CHADEMA KWASABABU WA UIMARA WA VIONGOZI WAKE NA MISIMAMO YA CHAMA CHETU NA SI ZIITTO,,,,,,,,,,,,,,,,,
 
Dr.W.Slaa anaona aibu hata kuingia na kuchangia mijadala humu JF, Nafsi inamsuta.

Tumemwambia Dr. Slaa atuachie nyie VISEBENGO sisi ndo wadogo wenzenu, uwezo wa kuwaingilia hadi chooni tunao. Hamkatizi ni Kick tu kwa kwenda mbele mpaka mkamwambie yule mbunge kwa tiketi ya Mahakama kuwa mmekoma. CHOO CHA JELA we!
 
Ktk post Yangu hiyo ulojibu nimesema Siasa ni vita! Sasa Km chama mfumo wake umegundua kua mtu Fulani ni pandikizi na dhamira Yake kwa chama sio nzuri wewe ndio unaita uzalendo au kitetea demokrasia?

Hizo porojo jiambie weye mwenyewe lkn kwa mtu anae elewa Siasa na kadhia zake huwezi kumdanganya kwa maneno yako!
sasa ndo mwisho wa chadema kuaminika na waTz,kwa maana wanataka kujenga chama na kusahau watanzania?
siasa si vita mkuu!labda maneno ya siasa ni vita wanatumia wanasiasa uchwara,
maana ya siasa kama mwanasiasa aliyekomaa ni
Siasa ni njia ya kufanya maamuzi katika taifa, mji au hata dunia nzima (siasa ya kimatatifa). Sehemu muhimu ya siasa ni majadiliano kati ya watu mbalimbali wenye nguvu au mamlaka.
 
Bora ya Mbowe aliyekuwa hata na mke kuliko Zitto una watoto 4 wa nje wote kila mmoja na mama yake ....kaa kimya bwana mdogo...we nakukumbuka sana ulivomtuma mhudumu pale double tree aje kuomba namba ya simu ya mke wangu na 300,000/= ukampa...form that day nilikudaharau sana ....

Unamhalalisha mke kwa siasa za tz?
 
Zito... kama haya unayasema sasa, unaonekana ni Mnafiki na Msaliti mkubwa kwa Watanzania waliokuwa wakikuamini kwamba wewe ni kiongozi Shupavu unayejali maslai ya Watanzania wanyonge. Ni bora usingeyasema na iwe ni siri ndani ya Chama. kwa hali hii, ni dhahiri inatufanya kukuona wewe ni Mnafiki na Msaliti.


Wanasiasa kutoka ccm wakifukuzwa ktk chama hua hawaendi wakitoa siri au kuwashambulia viongozi wao! Yani hua wanakaa kimya sn! Sasa tujiulize Huyu anapata wapi huu ujasiri Wa kuyasemsa haya? Au anatumika?
 
Tatizo kubwa ni maisha ya kawaida yalivyo pale mke ukishamuacha akipita huko na huko kumnanga mume watu wanachukulia simple tuu kwamba kuachwa si mchezo, Zitto ameshajua kuwa atalipoteza jimbo na jina lake litafifia soon so inampasa kuhara apendavyo.
 
Tumemwambia Dr. Slaa atuachie nyie VISEBENGO sisi ndo wadogo wenzenu, uwezo wa kuwaingilia hadi chooni tunao. Hamkatizi ni Kick tu kwa kwenda mbele mpaka mkamwambie yule mbunge kwa tiketi ya Mahakama kuwa mmekoma. CHOO CHA JELA we!
nyie ni sawa sawa na TL alivoitwa mbwa,kubwaka tu ovyo kwa kuwasikiliza wale mbwa wakubwa
 
Ama kweli zitto amechanganyikiwa,sasa anamtuhumu mbowe kwa kupewa mahela alafu anamtetea kua alizitumia kwenye kampeni,ama kweli maccm alili zao zinafanana alafu kaisha halibu kwa mzee mkono na Rostam azizi waliokua wanasaidia kuiondoa ccm na akika anatafuta kulimbokwa maana mpaka sasa ata ccm aitamtaka tena
 
Wakuu, inasemekana Zitto Kabwe ali-post facebook hii kitu halafu aka-edit later.

Original post:

Revised Post:


Kutoka Gazeti la Raia Tanzania


Ujana maji ya moto ila yakichemka sana Hukaukia.. ... Napita tu
 
Nyerere mwenyewe alikuwa malaya na ilikuwa ni ngumu sana kuvujisha siri za serikali.

Sawa ni malaya,aliweza kuzaa nje ya ndoa ? Kumpa mimba mbunge yoyote ? Ama kupora mke wa mtu ?
 
Tumemwambia Dr. Slaa atuachie nyie VISEBENGO sisi ndo wadogo wenzenu, uwezo wa kuwaingilia hadi chooni tunao. Hamkatizi ni Kick tu kwa kwenda mbele mpaka mkamwambie yule mbunge kwa tiketi ya Mahakama kuwa mmekoma. CHOO CHA JELA we!
nyie ni sawa sawa na TL alivoitwa mbwa,kubwaka tu ovyo kwa kuwasikiliza wale mbwa wakubwa
 
Naombwa kujuzwa uzalendo wa Mbowe ni upi, anapopiga kelele majukwaani kuwa anataka kuwakomboa watanzania uwa ana maanisha nini.
 
Back
Top Bottom